Wednesday, January 8, 2014


 
Dakika za nyongeza za kipindi cha kwanza 45+2 Giggs anafanya makosa anajifunga bao, Sunderland wanaenda mapumziko wakiwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Manchester United. Kipindi cha pili dakika ya 52 Nemanja Vidic anawasawazishia bao United kwa kufanya 1-1 baada ya kona kupigwa na Vidic kujituma kwa kufunga bao la kichwa. Dakika ya 65 United wanafungwa goli la pili kwa mkwaju wa penati wa utata na kufanya bao kuwa 2-1. mfungaji wa penati hiyo akiwa ni Fabio Borini. Ushindi huu wa Sunderland unawaweka pazuri wakija kurudiana huko Old Trafford mwezi huu  januari siku ya jumatano tarehe 22.
Up high: Nemanja Vidic powers his header past Vito Mannone to bring his side level
Nemanja Vidic akisawazisha bao na kufanya 1-1 hapa
 
 
 
 

Kocha wa Manchester United David Moyes akiwa amesimama kidete kuwaangalia vijana wake  
 
!. Subdued: Bryan Robson, Alex Ferguson and Bobby Charlton watch on in front of Anderson
 

N
 

 
 
Fabio Borini akichonga penati
 
 

VIKOSI:
Sunderland: Mannone, Bardsley, O'Shea, Brown, Alonso, Larsson, Cattermole, Ki, Borini, Fletcher (Altidore 72), Giaccherini (Johnson 56).
Subs: Gardner, Celustka, Colback, Ji, Dixon.

Booked: Bardsley, Giaccherini, Altidore.
Goal: Giggs, 45+2og, Borini 65pen
Man United: De Gea, Rafael Da Silva, Vidic, Evans (Smalling 61), Evra, Carrick, Cleverley (Fletcher 75), Valencia (Hernandez 87), Giggs, Januzaj, Welbeck.
Subs: Lindegaard, Kagawa, Buttner, Zaha.

Booked: Evra, Rafael, Smalling.
Goal: Vidic 52.
Referee: Andre Marriner


CAPITAL ONE CUP
NUSU FAINALI
[Saa 4 Dakika 45 Usiku]
Jumanne Januari 7

Sunderland 2 v Manchester United 1
Jumatano Januari 8
Manchester City v West Ham United
Marudiano
Jumanne Januari 21

West Ham United v Manchester City
Jumatano Januari 22
Manchester United v Sunderland

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog