Wednesday, January 8, 2014


Leo zipo Mechi nyingine kadhaa za Kwanza za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ikiwa pamoja na ile ya Mabingwa wa Spain Barcelona wakiwa kwao Nou Camp kucheza na Getafe huku Duniani ikitarajia kumuona Nyota Lionel Messi akirejea dimbani baada kuwa Majeruhi kwa Miezi miwili.
 
Valencia jana walifanikiwa kutoka Sare ya Bao 1-1 na Mabingwa Watetezi wa Copa del Rey Atletico Madrid katika Mechi ya Kwanza ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 iliyochezwa Nyumbani kwa Valencia.
Timu hizi zitarudiana hapo Januari 14 huko Vicente Calderon Nyumbani kwa Atletico Madrid.
Bao la Atletico lilifungwa na Raul Garcia katika Dakika ya 72 na Valencia kusawazisha kwenye Dakika ya 90 kwa Bao la Helga Postiga.
Leo zipo Mechi nyingine kadhaa za Kwanza za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ikiwa pamoja na ile ya Mabingwa wa Spain Barcelona wakiwa kwao Nou Camp kucheza na Getafe huku Duniani ikitarajia kumuona Nyota Lionel Messi akirejea dimbani baada kuwa Majeruhi kwa Miezi miwili.
 
 
VIKOSI:
Valencia: Guaita; Guardado, Mathieu, Costa, Pereira; Fuego, Parejo; Bernat (Canales 73'), Míchel (Feghouli 63'), Fede (Piatti 77'); Postiga.
Goals: Postiga (93').
Atlético Madrid: Courtois; Felipe Luis, Alderweireld, Miranda, Juanfran; García, Gabi, Guilavogui (Arda 59'), Koke (Tiago 81'); Diego Costa, Adrián (Rodríguez 67').
Goals: García (72').

COPA del REY
Raundi ya Mtoano ya Timu 16
RATIBA/MATOKEO:
Jumanne Januari 7
Valencia 1 v Atletico de Madrid 1
Jumatano Januari 8
22:00 Real Betis v Athletic de Bilbao
22:00 Alcorcon v RCD Espanyol
24:00 FC Barcelona v Getafe CF
24:00 Real Racing Santander v UD Almeria
Alhamisi Januari 9
21:30 Real Sociedad v Villarreal CF
23:30 Real Madrid CF v Osasuna
23:30 Rayo Vallecano v Levante
Jumanne Januari 14
21:30 UD Almeria v Real Racing Santander
23:30 Atletico de Madrid v Valencia
Jumatano Januari 15
21:30 Athletic de Bilbao v Real Betis
21:30 RCD Espanyol v Alcorcon
23:30 Osasuna v Real Madrid CF
23:30 Levante v Rayo Vallecano
Alhamisi Januari 16
22:00 Villarreal CF v Real Sociedad
24:00 Getafe CF v FC Barcelona

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog