Sunday, January 26, 2014

MASHABIKI  NA KUFUNGA BAO LILILOIWEZESHA REAL KUKAA KILELENI 

 

Centre of attention: All eyes and cameras are on Ronaldo as he shows off his personal award


 Bao la Ronaldo, la 22 kwenye La Liga na ambalo linamfanya aongoze katika ufungaji Mabao, lilifungwa katika Dakika ya 56.
Karim Benzema alipiga Bao la Pili katika Dakika ya 74 baada kazi njema ya Ronaldo na Marcelo.
Kesho Jumapili Mabingwa Watetezi na Vinara wa La Liga, Barcelona, watakuwa kwao Nou Camp kucheza na Malaga.
Barca wataingia kwenye Mechi hii huku Klabu yao ikikumbwa na mgogoro mkubwa baada Juzi Rais wao, Sandro Rosell, kujiuzulu kutokana na Skandali ya Uhamisho wa Neymar.
Hiyo hiyo Jumapili, Atletico Madrid, ambao wako Nafasi ya Pili Pointi sawa na Barca, watakuwa Ugenini kucheza na Rayo Vallecano.

 
 Ronaldo akishangilia bao lake
All that glitters: Ronaldo stands in between teammates including world record signing Gareth Bale (2R) with his trophy

Bao za Cristiano Ronaldo na Karim Benzema leo wameipa ushindi Real  wa Bao 2-0 walipocheza na Granada Uwanjani Santiago Bernabeu na kutwaa uongozi wa La Liga wakiwa Pointi 2 mbele ya Barcelona na Atletico Madrid zennye Mechi 1 mkononi.
 There's no I in team: Ronaldo poses for a team photo with Real Madrid teammates and field delegate Agustin Herrerin (C)

 





 




MSIMAMO ULIVYO KWA SASA TIMU ZA JUU.
2013/2014 SPANISH PRIMERA DIVISIÓN TABLE
 OVERALL
HOME
AWAY
 
POS
TEAMPWDLFA
WDLFA
WDLFA
GDPts
1Real Madrid2117226021
901328
8212813
3953
2Barcelona2016315413
900316
731237
4151
3Atletico Madrid2016314812
920347
711145
3651
4Athletic Bilbao2012353626
9202711
315915
1039
5Villarreal2111463922
6322312
5141610
1737
6Real Sociedad209653830
621237
3441523
833

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog