Monday, October 21, 2013

denny boy

 Mzee pius Ngeze alietimiza umri wa miaka 70 akiwa na Baba Askofu Methodius Kilaini
                                     kanisa kuu la katoriki la bukoba ilipofanyika misa ya shukrani
                                                             picha ya familia ya mzee ngeze

 mzee pius ngeze  akiwa na mke wake na wanae,mzee pius ngeze ambae amekuwa kiongozi wa muda mrefu katika nchi ya tanzania katika nyadhifa mbalimbali,mzee ngeze amewahi kwa mbunge mstaafu wa willaya ya ngara,mwenyekiti msaafu wa ccm mkoa wa kagera zaidi ya miaka 20, mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm mstaafu, mwenyekiti wa bodi mbalimbali  za mashirika na taasisi,baada ya kustaafu ameendelea na shughuli zake binafsi.
                                                          watoto wa mzee ngeze
                                                familia wakiwa katika ibada
                      bwana pius ngeze na mke wake mama ngeze wakiwa wanatoa shukrani zao
                                                                 wakati wa matoleo
                     mama ngeze akiwa na mzee mgeze katika picha ya pamoja baada ya misa ya shukrani
                                  picha ya pamoja wanafamilia ya mzee pius ngeze na baba askofu kilaini


Naibu waziri wa mawasiliano, sayansi na teknolojia, Mhe. Januari Makamba
Naibu waziri wa mawasiliano, sayansi na teknolojia, Januari Makamba
Naibu waziri wa mawasiliano, sayansi na teknolojia, Januari MakambaNaibu waziri wa mawasiliano, sayansi na teknolojia, Januari Makamba (wa pili kulia) akikabidhi kombe kwa nahodha wa timu ya Mwananyamala,


Kikosi cha Simba
Kikosi cha YangaWaamuzi wa mtange huo na timu kapteini
Mashabiki wa Simba,
Baadhi ya Mbwembwe za mashabiki wa Simba


Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu (kulia) akiwatoka mabeki wa Simba, Joseph Owino na Gilbert Kaze, katika kipindi cha kwanza.

Mashabiki wa Yanga Mashabiki kadhaa walizimia,


mashabiki wa Simba wakishangilia


 Shabiki mwananke wa Yanga akitolewa kwenda kupata huduma ya kwanza baada ya kuzimia alipokuwa akishagilia bao la pili dhidi ya watani wao wa jadi Simba katika mechi ya  Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Timu hizo zimetoka sare ya mabao 3-3.
 Shabiki mwingine wa Yanga akiwa amezimia

 Wapenzi wa Yanga wakishangilioa
 Kikosi cha Yanga kilichopepetana na Simba
 Kikosi cha Simba kilichocheza na Yanga
 Yanga wakishangilia ushindi
 Shabiki wa Simba akiwa amezimia

 
Nicki Minaj ni msanii asiye na aibu ya kusema mambo gani anapenda kwenye maisha yake na yupo tayari kufanya nini kuyapata. Hivi karibuni alikuwa kwenye duka la K Mart akizindua nguo zake na aliwasili na gari yake mpya iliyo tengenezwa  na kuboreshwa kwa matakwa yake, Yes ndio hio Pink lamborghini Custom made for Minaj. 
Picha Zaidi Ziko Hapa.....


Na Lucy Mgina
KLABU ya Simba imemtaka kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa, aandae kabisa gari la kuzima moto kwenye nyumba zake kwa kuwa ina uhakika mchezaji huyo hataweza kutimiza ahadi yake ya kufunga au kutoa pasi ya bao.
Simba na Yanga zinakutana keshokutwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar na Ngassa ameahidi asipofunga au kutoa pasi itakayozaa bao, basi atazichoma moto nyumba zake tano.
Akizungumza na Championi Ijumaa, Ofisa Habari wa Simba, Ezekiel Kamwaga alisema hawana hofu na Ngassa na kwamba hana hata historia ya kuifunga Simba, hivyo cha msingi aandae zima moto haraka ili kuepuka hasara mapema.

“Siwezi kusema hatatufunga kwa kuwa ni majaaliwa ya kila mtu jinsi Mungu alivyompangia lakini sisi hatuna hofu naye, atambue kuwa hajawahi au hana historia ya kuifunga Simba, ila tunamshauri aandae zima moto mapema, tusijemtia hasara bure,” alisema Kamwaga.
Udaku Specially Blog


Wakati ile movie ya Temptation  iliozua Gumzo Jijini iliyowakutanisha tena Msanii wa muziki Diamond na Mcheza Filamu Wa Tanzania Wema Sepetu ambao waliwahi kuwa wapenzi ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Diamond Na Wema Week End Hii diamond Amekua na Show Ya kukata na shoka huko Guangzhou huku baadhi ya washabiki wakijiuliza mbona hawamuoni Maddam
Mkumbuke kuwa Maddam Na Diamond walikutana Hongkong na kwamba tayari Maddam amesharejea nchini, Labda show hiyo ni muendelezo wa Temptation ambayo location yake kuwa inaonekana kuwa Nje ya Nchi.
Cheki picha za show hiyo:-

 clip_image002 clip_image002[12]


clip_image002[19]


clip_image002[4]


clip_image002[25]

clip_image002[6]

clip_image002[8]

clip_image002[10]

waliotembelea blog