Sunday, May 25, 2014


  • Mkutano kuonyeshwa moja kwa moja na Star TV
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akikagua jukwaa la wageni waalikwa kwenye uwanja wa People's Singida.
 Katibu wa NEC itikadi na Uenezi Nape Nnauye akikagua jukwaa la kuhutubia ,wengine pichani ni Maafisa wa Chama Makao Makuu Nyakia Ally (kushoto) na Octavian Kimario(kulia)
 Magari ya kurushia matangazo yakiwa tayari kwenye eneo la mkutano.
 Mafundi mitambo wa Star TV wakiweka sawa mitambo yao, mkutano huu utaenda live mnamo muda wa saa tisa mchana.
 Star TV wakiendelea kufunga vyombo vya kurushia matangazo ya mkutano moja kwa moja kutoka viwanja maarufu vya People's Singida.
 Uwanja wa People's unavyoonekana wakati wa maandalizi.




Nahodha wa Real Madrid, Iker Casillas akiwa ameinua Kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuwafunga jirani zao, Atletico mabao 4-1 usiku huu Uwanja wa Luz mjini Lisbon, Ureno. Hilo linakuwa taji la 10 la michuano hiyo kwa Real.
Uplifting: Ronaldo gets his hands on the trophy in Lisbon after Real's extra time victory
Mfungaji wa bao la nne la Real, Cristiano Ronaldo akiwa ameinua Kombe
Landmark: Real Madrid's players celebrate their 10th European Cup triumph
Kikosi cha Real Madrid kikifurahia na Kombe hilo.

waliotembelea blog