Sunday, July 17, 2016



July 17 2016 headline kutoka Ikulu Dar es salaam ni pamoja na hii Rais John Pombe Magufuli kumteua Profesa Longinus Rutasitara kuwa makamu mwenyekiti wa bodi ya mamlaka ya usafiri wa anga (TCAA), Rutasitara anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dk. Nyamajeje Weggoro ambaye muda wake umemalizika.
Pia Rais Magufuli amempandisha cheo kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Kedmon Mnubi kuwa kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi (SACP)
WhatsApp-Image-20160717
JK Comedian ni mchekeshaji ambaye amebarikiwa kipaji cha kuweza kuigiza sauti za watu mbalimbali wakiwemo mastaa wa Tanzania, leo katuonyesha ubora wake kwa kuziigiza sauti za wachekeshaji wa kundi la original comedy linaloundwa na mastaa kama vile Masanja, Joti, Mpoki, Wakuvanga na Makregani.
Unaweza kumtazama kwenye hii video hapa chini kisha niachie comment yako ukiniambia ni sauti ya nani katisha nayo zaidi…

waliotembelea blog