Saturday, September 21, 2013

                                         Prezzo during his time in the BBA
By Cyrus Ombati
NAIROBI; KENYA: Controversial musician Prezzo is on the run after he was involved in a gun fight outside a popular club in Nairobi's Westlands area.
Police say they want Prezzo aka Jackson Makini to report to Parklands Police Station for grilling after he allegedly assaulted a Swiss military officer in the head with gun butt and holster on Saturday morning.
The two are said to have been involved in an argument outside Aqua Bar over a parking slot at about 3am.
According to Gigiri Division police boss Vitalis Otieno, Prezzo had obstructed the military colonel from Switzerland which prompted the argument.
"When the military officer came back ready to go, an argument broke out over the parking slot which degenerated to an assault using a gun. We want him to report at Parklands," said Otieno.
The military officer is attached to Amisom and was headed to Ethiopia Saturday morning when the incident occurred. He was forced to cancel his flight. Otieno said he was treated and discharged from MP Shah Hospital.
And after the drama, Prezzo is said to have tried to cock and shoot at the officer who was bleeding at that time.
Otieno cited witnesses who said Prezzo was restrained by his bodyguards who dragged him to his car and drove off.
A hunt on him was on-going on Saturday morning even as police appealed to him to surrender. 
Police visited his home but they did not find him.
It's not clear if Prezzo is a licensed gun holder. We could not reach him for a comment over the allegations as his mobile phone was switched off.
Kundi la Wanaume TMK Halisi likiongoza 
na msanii nguli Juna Nature wakilishambulia
 vyema jukwaa usiku huu kwa staili
 yao mapanga shaa shaa,huku mayowe yakipigwa kutoka mashabiki.
Kila shabiki alikuwa na mzuka wake.
Msanii mwingine anaefanya vyema hivi sasa 
katika anga ya muziki wa Bongofleva,Rich Mavoko akiwaimbisha
 mashabiki wake usiku huu,mbele
 ya wakazi wa mji wa musoma waliojitokeza
 kwa wingi kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2013,
ndani ya uwanja wa Karume mkoani Mara.
Madansa wa msanii wa muziki wa kizazi kipya,
Shilole wakitumbuiza jukwaani usiku huu ndani
 ya Uwanja wa Karume,ndani ya mji wa 
Musoma mkoani Mara,ambapo tamasha la serengeti fiesta 
2013 likiendelea hivi sasa.
Anajiita tajiri wa Mahaba Cassim Mganga kutoka
 Manzabay akiwaimbisha jukwaani 
wakazi wa mji wa Musoma,wakati
 tamasha la serengeti fiesta 2013 likiendelea hivi
 sasa ndani ya uwanja wa Karume.
Mashabiki wakijinafasi kwa raha zao.
 
Kundi la Wanaume TMK likiongozwa na Chege na Temba
 wakilishambulia jukwaa la serengeti fiesta usiku 
huu ndani ya uwanja wa Karume mjini Musoma mkoani Mara.
 
Mkali mwingine wa muziki wa Reggae kutoka kanda ya
 Ziwa,Jita Man akiwakumusha mashabiki wa muziki 
wake enzi hizo,mbele ya wakazi wa mji wa Musoma
 
Anaitwa Godzilla kutoka maskani ya Sala sala,akishusha 
mistari yake live mbele ya mashabiki wake
 waliojitokeza kwenye tamasha la serengeti fiesta usiku huu.
Makamuzi yakiendelea jukwaani usiku
Sehemu ya umati wa watu.
Msanii wa muziki wa bongofleva ambaye kwa 
sasa anafanya vyema kwenye anga hizo,Neylee
 akiimba jukwaani usiku huu wakati wa
 tamasha la serengeti fiesta 2013 likiendelea 
usiku huu ndani ya uwanja wa Karume,Musoma mkoani Mara.
Mashabiki wa tamasha la serengeti fiesta
 
 wakifuatilia yanayojiri ndani ya uwanja wa Karume hivi sasa
Sehemu ya umati wa watu ndani ya uwanja wa Karume.
Mwanadada Shilole akionesha umahiri wake 
wa kunengua jukwaani mbele ya maelfu ya 
watazamaji waliojitokeza usiku huu
 kwenye tamasha la Serengeti fiesta 2013.
Anaitwa Linah Sanga,kutoka nyumba
 ya vipaji THT akiimba jukwaani usiku huu
Watu kibao,kila mmoja akijaichai kivyake
 huku jukwaa likiwaka moto vilivyo kwa 
miondoko ya bandika bandua ya wasanii wanaotumbuiza. 
Wakali wengine wanaokuja kwa kasi
 katika anga bongofleva-hip hop,Stamina na Youngkiller
 wakilishambulia jukwaa kwa kushusha mistari mikavu live.
Shangwe kila kona za mashabiki zimetawala uwanjani hapa.
BAADA ya Chelsea kucheza mechi nne katika mashindano yote bila kupata ushindi, Jose Mourinho ameibuka na kusema chanzo cha yote hayo ni mmiliki wa timu hiyo, Roman Abramovich. Mourinho amesema shauku ya bilionea huyo kutaka kuona timu inatandaza soka ya kuvutia dimbani ndiyo chanzo cha matatizo yote. 
“Hatufungi mabao, hiyo ni dhahiri,” alisema Mourinho. 

“Huwezi kusema hatufungi mabao kwa sababu siyo timu ya kushambulia na haichezi soka ya kushambulia, na hatumiliki mpira, kwa sababu tuna mawazo ya kushambulia. 

“Nahisi tunakwenda katika mwelekeo mmoja, ni mwelekeo ambao tunataka kuwa tunacheza aina fulani ya mpira (kutandaza pasi kama Barcelona), lakini ukweli ni kuwa hatufungi. 

“Lakini pengine, kama tunacheza mchezo wa kujihami na kisha kufanya mashambulizi ya kushtukiza, pengine tutafika mbele ba kufunga mabao mawili au matatyu" Mourinho alisema hayo katika mahojiano na televisheni ya Al-Jazeera, ukionekana ujumbe maridhawa kwa Abramovich aliyekwenda kwenye vyumba vya kuvalia Stamford Bridge baada ya mechi ya Ligi ya Mabingwa ambayo Chelsea ilichapwa 2-1 na Basel Jumatano iliyopita.
Sam ameeleza kuwa hakuna kitu kinachomuuma sana kama siku alipomdondosha mdogo wake chini na kumsababishia kifo kutokana na kuanguka kwake,msanii huyo amesema kuwa kisa hicho kilitokea wakati mama yake akiwa shambani na kumuacha sam na mdogo wake na ilipofika mchana sam aliyekuwa kambeba mdogo wake huku akitokea ndani ndani akiwa kabeba uji wa huyo mtoto,ila kwa bahati mbaya sam alijikwaa na kudondoka chini na kumfanya yule mtoto alie sana hadi baba huyo wa kufikia wa sam alipokuja na kuanza kumfokea sam hadi mama yake alipokuja na kumnyonyesha mtoto na kulala ula usiku mtoto alianza kulia kwa staili ya kustuka ikapidi wampeleke hosptali ya mision na alipoangaliwa alionekana hana kitu ikabidi waondoke nae hadi kwa wataalamu wa jadi ila muda mfupi yule mtoto akafariki.

Sam anasema kuwa baada ya hapo baba huyo wa kufikia alisema sam kamuua mwanae maksudi na kuleta mtafaruku mzito katika familia yao jambo lililosababisha ndoa hiyo kuvunjika  na wakarudi kwa bibi yake mzaa mama  na ndipo walipokuja kushangaa baada ya  baba yao mzazi ambae waliambiwa kafa kurudi nyumbani akiwa mzima kabisa na ndio safari ya kuja dar kwa mara ya kwanza.
 

Moyes
David Moyes aliungana wachezaji wake pia
Rooney Coleen
 
 
Wayne na Coleen Rooney
 
 
VidicJohnny Evans arrives with his wife Helen McConnell
 
 
r
 
Chris SmallingCleverley
 
 
 

 
Ryan and Stacey Giggs
Ryan na Stacey Giggs
Robin and Bouchra van Persie.
 
 
 Robin na mkewe Bouchra van Persie  

Zaha Welbeck David DeGea and Antonio Valencia.
Cavalry: Alexander Buttner, Rio Ferdiand and Shinji Kagawa arrive at the team bonding meal in Manchester
 Alexander Buttner, Rio Ferdiand na Shinji Kagawa
 
 
Phil JonesAshley Young and girlfriend

Mdau wa michezo na mwanamichezo wa sports extra wa Clouds Fm (kushoto) Bw. Shaffih Dauda akiteta jambo na Mrisho Mpoto na (katikati) ni Ruge Mtahaba Mkurugenzi wa Vipindi,Uzalishaji na Mipango wa Clouds Group mapema na kabla ya semina kuanza kwenye ukumbi wa Lina's Club Bukoba mjini.
Mghani mahiri wa mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto akizungumza kwa msisitizo,masuala ya fursa mbalimbali zinazopatikana katika suala la Ujasiliamali mapema mchana wa leo kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club Bukoba Mjini.Semina hiyo iliyoandaliwa na Clouds Media Group,imefadhiriwa na shirika la NSSF;Zantel,MaxMalipo, Lake Oil.
Ruge Mtahaba Mkurugenzi wa Vipindi,Uzalishaji na Mipango wa Clouds Group akizungumza na Vijana waliojitokeza kwa wingi kwenye Ukumbi wa Lina's Club kuhusu swala zima la Fursa mbalimbali.Semina hiyo iliyoandaliwa na Clouds Media Group,imefadhiriwa na shirika la NSSF;Zantel,MaxMalipo, Lake Oil.

Bw. Willy O.Ruta wa Kiroyera Tours kushoto alikuwa mmoja wa wageni maalum waliokuwa kwenye meza kuu.

Baadhi ya wakazi wa Bukoba wakiwa kwenye semina ya Fursa ndani ya ukumbi Lina's  mapema leo, ambapo mada mbalimbali zimezungumzwa, ikiwemo mambo ya ujasiliamali kwa vijana, mikopo, akiba sambamba na namna ya kujiongezea thamani ya fursa unayoipata.Semina hiyo iliyoandaliwa na Clouds Media Group,imefadhiriwa na shirika la NSSF;Zantel,MaxMalipo, Lake Oil.

Baadhi ya wakazi wa Bukoba wakiwa kwenye semina ya Fursa ndani ya ukumbi Lina's  mapema leo, ambapo mada mbalimbali zimezungumzwa, ikiwemo mambo ya ujasiliamali kwa vijana, mikopo, akiba sambamba na namna ya kujiongezea thamani ya fursa unayoipata.



Baadhi ya wakazi wa Bukoba wakiwa kwenye semina ya Fursa ndani ya ukumbi Lina's  mapema leo, ambapo mada mbalimbali zimezungumzwa, ikiwemo mambo ya ujasiliamali kwa vijana, mikopo, akiba sambamba na namna ya kujiongezea thamani ya fursa unayoipata.

Baadhi ya wakazi wa Bukoba wakiwa kwenye semina ya Fursa ndani ya ukumbi Lina's  mapema leo, ambapo mada mbalimbali zimezungumzwa, ikiwemo mambo ya ujasiliamali kwa vijana, mikopo, akiba sambamba na namna ya kujiongezea thamani ya fursa unayoipata.kulia ni Bw. Mbonde nae alikuwepo mjini hapa Bukoba akizungumza kwa msisitizo,masuala ya fursa mbalimbali zinazopatikana katika suala la Ujasiliamali mapema mchana wa leo kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club Bukoba Mjini.
Ruge Mtahaba Mkurugenzi wa Vipindi,Uzalishaji na Mipango wa Clouds Group kwenye meza kuu akisikiliza kwa makini hoja za mchangiaji
Bw.kibonde  kushoto akimpa mic mmoja wa vijana kuuliza swali kwa viongozi kuhusu swala zima la Semina ya Fursa kwa Vijana kwenye ukumbi wa Lina's mjini Bukoba.

Maswali yakiendelea kuulizwa

Shaffih Dauda ,akizungumza mbele ya washiriki wa Semina ya Fursa ndani ya ukumbi


Wadau mbalimbali walijitokeza kwa wingi kwenye Ukumbi wa lina's Night Club leo hii.





Baadhi ya wakazi wa Bukoba wakiwa kwenye semina ya Fursa ndani ya ukumbi Lina's  mapema leo, ambapo mada mbalimbali zimezungumzwa, ikiwemo mambo ya ujasiliamali kwa vijana, mikopo, akiba sambamba na namna ya kujiongezea thamani ya fursa unayoipata.
Mrisho Mpoto alikubalika zaidi baada ya kutoa hoja zake kuhusu swala zima la Fursa kwa vijana.

Mghani mahiri wa mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto akipongezwa na Ruge Mtahaba Mkurugenzi wa Vipindi,Uzalishaji na Mipango wa Clouds Group baada ya kumaliza ungwe yake swala zima la Fursa kwa vijana.


waliotembelea blog