Saturday, May 16, 2015

 Muonekano wa ndani wa ukumbi mpya wa mikutano uliojengwa na CCM mjini Dodoma ambao uko katika hatua za mwisho kukamilika kabla ya kuanza kutumika.Ukumbi huu upo karibu na jengo la  Benki Kuu, njia ya kuelekea Chuo Kikuu cha Dodoma - UDOM.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Dodoma unaojengwa na  CCM.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Dodoma unaojengwa na  CCM. Kulia ni makamu mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na makandarasi wanaojenga ukumbi wa kimataifa wa Mikutano wa Dodoma unaojengwa na  CCM, leo.Ukumbi huu upo karibu na Benki Kuu, njia ya kuelekea Chuo Kikuu cha Dodoma.

Muonekano wa ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Dodoma. Picha na Freddy Maro.


Steven Gerrard aliingia Uwanjani na Watoto wake wakati wa Mechi ya kumuaga rasmi leo Anfield.Wachezaji wenzake wa Liverpool wakimpa heshima Steven GerrardPicha ya PamojaSteven G. akiondoka Uwanjani na wanae tayari mchezo kuanza AnfieldHeshima kwa mkongwe Steven GerrardTaswiraBye bye Anfield!!Kila shabiki leo alikuwa na hamu kubwa ya kumuaga Steven Gerrard.Shujaa Steven GerrardTaswiara ya Uwanjani Anfield leo wakati wa kumuaga Kepteni Steven Gerrard.


RATIBA
Jumamosi Mei 16

14:45 Southampton vs Aston Villa
17:00 Burnley vs Stoke City
17:00 QPR vs Newcastle United
17:00 Sunderland vs Leicester
17:00 Tottenham vs Hull
17:00 West Ham vs Everton
19:30 Liverpool vs Crystal Palace
Jumapili Mei 17
15:30 Swansea vs Man City
18:00 Man United vs Arsenal
Jumatatu Mei 18
22:00 West Brom vs Chelsea
Jumatano Mei 20
2145 Arsenal vs Sunderland

waliotembelea blog