Thursday, January 2, 2014

 Askari wa Kikosi cha Zima moto na Uokoaji Wakiwa wamepanda juu ya Mnara wa Simu Uliopo Ubungo Jijini Dar Es Salaam Muda mfupi uliopita kwaajili ya kumuokoa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Hassan Ambaye alipanda juu ya mnara huo kwa lengo la kufikisha Ujumbe wa kutaka kuonana na Raisi Kikwete ili aweze kumwelezea kwa kile anachodai kuwa jeshi la polisi lilimbambikia kesi na hatimaye kuhukumiwa kifungo cha Miaka 6 kwenda jela

 Askari wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji wakiendelea na zoezi la kumuokoa Kijana Hassan kwaajili ya kutojirusha kutoka Juu ya Mnara wa Simu Muda mfupi uliopita Ubungo Jijini Dar Es Salaam Leo
Hapa akishushwa na askari wa Kikosi Cha Zimamoto na Uokoaji
Hapa Askari wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji akiwa amemuweka begani na Kushuka nae chini Mara baada ya kufanikiwa Kumshika vizuri kwaajili ya kumteremsha chini bila kupata madhara
 Kijana aliyefahamika kwa jina moja la Hassan akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kushushwa juu ya Mnara wa Simu na Askari wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji muda mfupi uliopita Ubungo jijini Dar
 Tukio likiendelea huku wakazi wa jiji la Dar Wakiendelea kushuhudia. 
 Raia wakishuhudia tukio hilo
 Wakazi wa Jiji la Dar wakishuhudia tukio hilo lililotokea muda mfupi uliopita Ubungo Jijini Dar leo
Gari la Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji likiwa limetia timu eneo la tukio kwaajili ya Kuokoa

Wakazi wa Jiji la Dar wakishuhudia gari la Polisi likiondoka na Kijana Hassan ambaye alipanda juu ya Mnara leo Ubungo jijini Dar Es Salaam.


Wadau mbalimbali walitembelea sehemu ya pande za Maruku Beach ikiwa ni katika kuukaribisha mwaka mpya wa 2014.
Dj Anold (kushoto) kutoka Kampuni ya Pro24 ya Jijini Dar es salaam na (kulia) ni Dj Slay wa Radio Kasibante Fm 88.5 ya mjini hapa Bukoba wakipeana neno wakati wanatoa burudani ya Muziki leo kwenye fukwe za ziwa Victoria pande za Maruku Beach.
Vijana nao hawakubaki nyuma walikuwepo
Teso Boy(kulia) akiteta na rafiki yake Oda Man kwenye fukwe hizo za Maruku Beach jioni ya leo. kumbuka hawa wote ni waigizaji wa filamu, wenda wakawa wanaujadili mwaka kuanza vyema kazi zao.
Dada wakiwa kwenye mtumbwi wakipata raha juu ya maji huku wakitoa mawazo ya mwaka jana 2013 na kuukaribisha mwaka mpya 2014 kwa furaha zao.
Hakika wamefurahia kuwa mahala hapa...karibu mwaka 2014!! Tumepitia mengi...
Dada nao mhh...karibu Maruku Beach 2014!
Kila mtu alikuwa na furaha yake na kujiona yu katika hali ya utulivu amani na pendo kuwa katika fukwe hii.
Tupo hapa kwa Amani na upendo....kila kitu tunataka kiende sawasawa! Tunashukuru kwa yote mpaka tumeweza kufika hapa na kuusherekea mwaka 2014 vyema na kwa usalama.
......Tusogee mbele zaidi
Nyama choma, chipsi, hapa ni kiwandani!!!Jikoni kama kawaida kuweka tumbo safi, maandalizi yalikuwa safi kwani watu wameweza kula na kunywa kama kawaida katika sehemu hiyo pendwa ya Maruku Beach.
Karibu rafiki yangu....mwaka mpya vipi?
Hawa waliamua kufurahia mwaka mpya sehemu hii kama unavyowaona!! Dada Maua akiwaongoza wenzake!
Dada Maua akiteta jambo na dada Adra katika fukwe hizo za Maruku
Hakika ilikuwa Beach Party ya kweli hii
Kifamilia zaidi hapa!! Hii ni Beach Party! kulia ni Dada Mainda Kassim akiongoza jopo lake sehemu hiyo pendwa ya Maruku Beach.
Mwaka mpya na mambo mapya!! karibu 2014
Na sisi tupo!
Pamoja sana...Seki
Kushoto ni Athman na T.Martin wakijuzana madude kabla ya kujiachia hapa Maruku Beach.Maelfu ya watu duniani walijiandaa na sherehe za kuupokea mwaka mpya wa 2014, huko katika mji wa Sydney nchini Australia tayari walikwisha upokea mwaka mpya wa 2014 kuliko maeneo mengine yote duniani, na sisi baadhi hapa Bukoba Tumeupokea na leo tulikuwa tunausherekea kwa pamoja mahala hapa.
Wakina dada wakipeana michapo mipya ya mwaka 2014
Full kukoki!!
Ki ufukwe ufukwe zaidi!!
Ukodak ukiendelea...kwenye camera yetu....Dada Mainda akiwa amebeba mtoto.
Mama na mwana wakilipuka ki 2014!!!
Ras Anold Kalikawe akitupia kiaina.....tupo pamoja one lavuu..swaggazz kubang bang
Ras Anold Kalikawe
Wengine stori zilipitiliza!!!
Mpango mzima ni furaha za mwaka mpya 2014
Mtu wa watu....na watu!!!
Full ukodak
Watoto wakichora michoro ufukweni
Hapa ndipo staili zinaanzia mpaka mwisho wa mwaka!
Pool nalo limesogezwa pande hiiSatty kulia katikati ni DJ Slay na Mc
Hapa ndipo Burudani ya Muziki ilipokuwa inasukwa chini ya Ma Dj wakali
Pamoja sana ...
Mpaka Giza likaanza kuchukua sehemu yake
Hapa walishazimika....full midundo na swagga..
Mambo ya Ngwasuma!!!
kuukaribisha na kuupokea mwaka mpya 2014 si mchezo!!!!
Funga mwaka hii na fungua mwaka!
Ras Anold na Gody Mwombeki wakitokelezea!!
Wadau
full mizuka!

Karibu mwaka 2014....................wanakwambia!! Wetohye!!

waliotembelea blog