Sunday, August 2, 2015


Mshambuliaji mpya wa Liverpool, Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia timu yake jana katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji HJK Helsinki mchezo wa kirafiki. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na Philippe
Adam Lallana congratulates Origi after his opening goal for Liverpool 10 minutes after coming off the bench
Philippe Coutinho was among the Liverpool team that played HJK Helsinki in their pre-season friendly
Coutinho scored to settle the pre-season win after Origi's opener against HJK Helsinki


Mesut Ozil
Ligi kuu ya Uingereza inaanza tena siku ya jumapili wakati ambapo mabingwa wa ligi hiyo Chelsea wanakutana na washindi wa kombe la FA Arsenal katika kombe la Charity Shield itakayogaragazwa katika uwanja wa Wembley.
Mechi hiyo inajiri siku 64 baada ya kumaliza ligi hiyo na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Aston Villa katika fainali ya FA.
Pande zote mbili hazijafanya usajili mkubwa katika msimu huu ijapokuwa kipa Petr Cech ataanzishwa dhidi ya timu yake ya zamani Chelsea.
Makipa -  Emiliano, David Ospina na Petr Cech
Chelsea vilevile inaweza kumuanzisha mchezaji wao mpya Radamel Falcao.
Falcao mwenye umri wa miaka 29 alihudumu katika kilabu ya Manchester United msimu uliopita lakini hakuweza kutamba kwani aliweza kufunga mabao 4 katika mechi 29 alizocheza pekee.

Siku ya jumapili itazikutanisha timu hizo mbili huku mkufunzi wa Arsenal akitarajia kuishinda timu inayofunzwa na Mourinho kwa mara ya kwanza kati ya mechi 13 walizocheza huku wakufunzi hao wawili tayari wakitofautiana. Mourinho alisema kwamba Arsenal imetumia fedha nyingi msimu huu ikilinganishwa na Chelsea katika kipindi cha miaka kadhaa iliopita ,huku Wenger akijibu kwamba hasikizi kile watu wanachosema ama kufikiri.Aaron Ramsey Ramsey kwa furaha wakati wa mazoeziMesut Ozil Kocha Arsene Wenger akiwacheki Vijana wake wakati wa mazoeziAaron Ramsey akiwa kona akiwapigia wenzake konaGabrielHector akivutwa shati na IwobiOzilJeff nae kafanya mazoezi na kulia ni Aaron RamseyFlaminiGibbsChambers
Per Mertesacker na LaurentJeff na Iwobi nao wakijifuaChambers akibadilishana mawazo na wenzake


Kipigo!! 4-2 Kocha Pellegrini akijionea live bila chenga!Muda wa Mawazo mazito!
Stuttgart  4 vs 2 Man Cit? 
Daniel Ginczek akiifungia bao la nne Timu yake ya Stuttgart Raheem Sterling katiSterling alikabwa kila kona!


Dirisha la Usajili kwa Vilabu vya Ligi Kuu (VPL), Ligi Daraja la Kwanza (FDL) na Ligi Daraja la Pili (RCL) linatarajiwa kufungwa tarehe 06 Agosti, 2015.
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) linavikumbusha vilabu vyote kufanya usajili wa wachezaji wao mapema kabla ya kufungwa kwa dirisha hilo, ili kuondokana na usumbufu wa kufanya usajili dakika za mwisho.
Pindi dirisha hilo litakapofungwa Agosti 06, hakuna klabu au timu yoyote itakayoweza kufanya tena usajili wake, hivyo ni vyema vilabu vitahakikisha vinamaliza mausala ya usajili mapema kabla ya siku ya mwisho.


Mtangaza nia ya kuwania nafasi ya Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akiwapungia maelfu ya wafuasi na wapenzi wa Chama hicho, wakati alipowasili kwenye Ofisi ya Makao Makuu ya Chama hicho, Kinondoni Jijini Dar es Salaam jioni ya leo. Mh. Lowassa alifika ofisini hapo kurudisha fomu za kuomba ridhaa ya Chama hicho, kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.Kulia kwake ni Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi, Mh. Godluck Ole Medeye alieambatana nae.

maxresdefault
Kuelekea kuanza kwa Ligi Kuu Ujerumani Bundesliga August 1 imepigwa mechi ya Fainali ya Super Cup, mchezo huo ulizikutanisha timu za FC Bayern Munchen dhidi ya klabu ya Wolfsburg katika uwanja wa Volkswagen Arena.
Generated by  IJG JPEG Library
Mchezo umemalizika kwa Wolfsburg kuibuka washindi baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika kwa sare ya goli 1-1, hadi dakika ya 88 FC Bayern Munchen walikuwa wanaongoza kwa goli 1-0 goli lililofungwa na Arjen Robben dakika ya 47 ya mchezo kabla ya Nicklas Bendtner kufunga goli la kusawazisha dakika 89 kwa upande wa Wolfsburg.
482661198
Kevin De Bruyne akiwa na tuzo ya mchezaji bora wa mwaka

Hivyo ikalazimika kupigwa mikwaju ya penati ambapo Wolfsburg wakaibuka na ushindi kwa jumla ya penati 5-4 kwa upande wa FC Bayern Munchen kiungo wa Kihispania Xabi Alonso alikosa penati. Sambamba na hayo kiungo wa kimataifa wa Ubeligiji Kevin De Bruyne alipata tuzo ya mchezaji bora wa mwaka inayotolewa na waandishi wa habari za michezo Ujerumani.
Pichaz na Video nimekusogezea mtu wangu


Generated by  IJG JPEG Library



Generated by  IJG JPEG Library



482661198

Mourinho_Wenger_he_3394228b
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho ameingia tena kwenye headlines kwa kauli zake anazozitoa kuelekea mchezo wa Ngao ya Hisani, Chelsea itakutana na Arsenal August 2 saa 11 jioni kwenye uwanja wa Wembley wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 90,000. Mourinho ambae anajulikana kwa kuwa na uwezo wa kucheza na akili ya kocha wa timu pinzani amerudi na kauli nyingine dhidi ya Wenger.
download
“Sifikirii kuhusu nini kilitokea nyuma, nafikiria kuhusu mechi mimi kushinda mechi sita, saba, nane au tisa bila kupoteza mechi hata moja haiweki utofauti wowote na sifikiri kama itasaidia chochote kwenye huu mchezo, mechi inayofuata kwangu haina mahusiano yoyote na mechi iliyopita “>>>Mourinho
Mourinho_presser_3394231b
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger hajawahi kuifunga klabu ya Chelsea hata mara moja ikiwa chini ya Jose Mourinho, wachambuzi wa masuala ya soka wanatafsiri kauli za Mourinho kama ni njia ya kumdanganya kocha wa Arsenal Arsene Wenger ili ajiamini zaidi.
wengervsmourinho1
Mourinho amekuwa na rekodi nzuri dhidi ya kocha wa Arsenal kwani akiwa na kikosi cha Chelsea amewahi kucheza na Arsenal mechi 12 na kushinda mechi saba na kutoka suluhu mechi tano hivyo hiyo ni sababu inayoendelea kumtia jeuri.

waliotembelea blog