Friday, July 12, 2013


 


Mm ni kijana wa miaka 23 sasa nililelewa na wajomba mkoani Kagera, nilipokuwa na umri wa miaka 17 niliwahi kulawitiwa na mjomba angu kwa kipindi cha mwaka mzima na nikivuta kumbukumbu zangu nadhani ilifikia zaidi ya mara nane. Nilipomaliza for 4 nikaondoka huko Kagera na kuja kuishi Dar kwa dada yangu ili niweze kujiendeleza maana matokeo yangu hayakuwa mazuri.
Nilipofika Dar nimesomea course mbili ambazo ndo zimenisaidia kumudu maisha yangu mjini na kipindi nimeingia Dar tayari nilikuwa nishazoea guys sexual yani nilitamani sana maana nilikuwa namkumbuka mjomba kwa jinsi alivyokuwa akinifanya na nikatamani kupata tena hilo tendo.

mwaka baada ya kumaliza course yangu nilipata kazi sehemu na nikawa nafanya hiyo kazi nilipofikisha umri wa miaka 20 nikapata tena mtu mwingine wa kufanya nae, ki ukweli nilikuwa nafurahia ilo jambo kwa sana na nikaona ni zuri kwangu.

sasa toka kufanya na mjomba nimeshafanya na watu zaidi ya wanne.

Sasa nataka kwenda nyumbani kusalimia maana nina muda sijaenda kuwasalimia kitu kinachoniumiza kichwa ni mjomba na yeye ameshaowa na naogopa anaweza akataka tena.

Je mnanishaurije wana jamii wenzangu?





 


0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog