Thursday, July 11, 2013

UKISTAAJABU YA MUSA, UTAONA YA .....:: KIJANA WA MIAKA 23 AMUOA KIBIBI KIZEE CHA KIJERUMANI CHENYE MIAKA 83 

 

How can a 23 Year old boy marry a mama old enough to be his grandma?
They look so happy together. Big congrats to them. 

 

CHECK HAPA TID ALIVYOJIACHIA UK, WAZUNGU WAMSHANGAA WAMGEUZA KIVUTIO


1

T.I.D msanii wa long time kwenye game ya bongoflava tangu enzi za Zeze,Siamini hadi leo hii na Kiuno na bado anafanya vizuri. Wiki kadhaa zilizopita baada ya kumaliza msiba wa mshikaji wake Mangwea, T.I.D alisafiri kwenda England kufanya show ambako huko pia ndiyo alifanya interview inayozungumziwa sana hivi sasa kwenye mitandao. Chukua time kidogo kumcheki T.I.D akiwa kwenye mitaa ya huko UK.


2


3

4


5


6

















































China imekubali kutoa mkopo wa dola bilioni 1.1 kwa Nigeria ili kufadhili ukarabati wa miundo msingi.Mkataba huu umeafaikiwa wakati wa ziara ya Rais Goodluck Jonathan mjini Beijing,ambapo alikutana na mwenyeji wake Xi Jinping.
Fedha hizi zitasaidia ujenzi wa barabara, viwanja vya ndege na kujenga miji minne na njia mpya ya reli.China inawekeza kwa kiwango kikubwa Barani Afrika ambapo pia imekua ikipata raslimali za mafuta na madini.
Nigeria inaongoza kwa kuzalisha mafuta Afrika lakini kwa miaka imekua na miundo msingi mibovu, huku mamilioni ya raia wake wakiishi kwa umasikini. Bw. Xi amesema nchi mbili zinashirikiana kwa minajili ya kuboresha maisha ya watu wake.
Rais Jonathan anaongoza ujumbe wa wawekezaji wa Nigeria huko China na ziara ya siku nne itasaidia kuleta mshikamano wa karibu wa kibiashara.
Kampuni za ujenzi za Ki-China zimeanza kujenga barabara nchini Nigeria, kwa kandarasi ya dola bilioni 1.7.China kwa upande wake inatarajia kupata mapipa laki mbili ya matufa ghafi kutoka Nigeria ifikapo mwaka 2015.


Marekani inaendelea na mpango wake wa kutoa ndege za kivita kwa jeshi la Misri licha ya msukosuko wa kisiasa unaokumba nchi hiyo. Hatua hii inajiri wakati Marekani ikiendelea kutathmini matukio ya wiki jana ambapo jeshi lilimuondoa madarakani Rais Mohammed Morsi.
Msaada wa kijeshi kwa Misri ungesitishwa endapo Marekani ingelitaja matukio ya wiki jana kama mapinduzi ya kijeshi. Kundi la Muslim Brotherhood linalomuunga mkono Morsi linasisitiza arejeshwe madarakani.
Wafuasi wake wamekua wakiandamana karibu na kambi kuu ya jeshi ambapo anaaminika kuuzuiliwa. Hapo Jumatatu,wafuasi wa Brotherhood 51 waliuawa kwa kupigwa risasi na jeshi wakati wanakabiliano.
Utawala wa mpito umesema kwamba Bw. Morsi anazuiliwa eneo salama na kwamba haki zake zinazingatiwa.Maafisa wa Marekani wamesema ndege mpya za kivita aina ya F-16 zitawasilishwa katika wiki chache zijazo.
Mpango wa kufadhili jeshi ulianza kutekelezwa mapema mwaka huu na jeshi inatarajia kupokea ndege 20 za kivita. Msemaji wa ikulu ya Rais amesema Marekani haitabadilisha mpango wa kufadhili jeshi la Misri, japo inaendelea kutathmini kuhusu matukio ya kisiasa. Msaada wa kijeshi nchini Misri ambao hutolewa na Marekani hufikia dola bilioni 1.3 kila mwaka.
Hapo Jumanne, kibali cha kumkamata kiongozi wa Muslim Brotherhood Mohamed Badie kilitolewa pamoja na wakuu wengine tisa wa kundi hilo. Viongiozi hao wamelaumiwa kwa kuchochea ghasia mjini Cairo ambapo zaidi ya watu 50 waliuawa na mamia kujeruhiwa.

HII NDIO KAULI YA JOKETI BAADA YA DIAMOND KUJUTIA KUMUACHA  

Hivi karibuni, katika kipindi cha “Take One” cha Clouds TV na Zamaradi Mketema, msanii Diamond Platnumz aliongelea jinsi anavyojutia kumuingiza mrembo Jokate Mwegelo kwenye mapenzi halafu, halafu akachanganya mambo na Wema Sepetu.
 


kama uliikosa interview hiyo, click link ifuatayo kuiangalia video: VIDEO: Diamond – Najuta kumuingiza Jokate kwenye mapenzi, kisha nikamrudia Wema

  
Jokate amesema amefurahi kuona Diamond amefunguka na kusema ukweli.
Na hii ndio kauli yake:
“Watu wengi hawajui the real issue, I’m glad kama ame-acknowledge I was innocent in that whole matter,” amenukuliwa Jokate na mtandao huu.

waliotembelea blog