Monday, January 20, 2014


 Naseeb Abdul “Diamond” ameweka kuhusu gharama za video yake ya Number One Remix aliyofanya na director Clarence Peters wa Nigieria.

Diamond anasema gharama hii hazijumuishi usafiri wala accommodation walivyokua huko Nigeria.

Diamond amelipa dola 25,000 sawa na Tsh millioni 40 za kitanzania kufanya production ya hii video ambapo ilijumuisha gharama za kila kitu hadi models na dancers.

MSIMAMO ULIVYO KWA SASA

2013-2014 Barclays Premier League Table

Overall
Home
Away

POS
TEAMPWDLFA
WDLFA
WDLFA
GDPts
1 Arsenal 22 16 3 3 43 19
8 2 1 20 6
8 1 2 23 13
24 51
2 Manchester City 22 16 2 4 63 25
11 0 0 42 8
5 2 4 21 17
38 50
3 Chelsea 22 15 4 3 43 20
10 1 0 25 9
5 3 3 18 11
23 49
4 Liverpool 22 13 4 5 53 28
9 1 1 29 8
4 3 4 24 20
25 43
5 Tottenham Hotspur 22 13 4 5 29 26
5 3 3 13 13
8 1 2 16 13
3 43
6 Everton 21 11 8 2 34 19
7 3 1 21 9
4 5 1 13 10
15 41
7 Manchester United 22 11 4 7 36 27
5 2 4 14 10
6 2 3 22 17
9 37
8 Newcastle United 22 11 3 8 32 28
5 3 3 17 12
6 0 5 15 16
4 36
9 Southampton 22 8 7 7 29 25
5 3 3 17 12
3 4 4 12 13
4 31
10 Aston Villa 22 6 6 10 22 29
2 2 7 8 16
4 4 3 14 13
-7 24
11 Hull City 22 6 5 11 22 28
5 3 3 15 8
1 2 8 7 20
-6 23
12 Norwich City 22 6 5 11 18 35
4 3 4 11 11
2 2 7 7 24
-17 23
13 Stoke City 22 5 7 10 22 36
4 5 2 14 12
1 2 8 8 24
-14 22
14 West Bromwich Albion 21 4 9 8 23 28
3 3 4 12 12
1 6 4 11 16
-5 21
15 Swansea City 22 5 6 11 27 33
2 4 5 19 20
3 2 6 8 13
-6 21
16 Crystal Palace 22 6 2 14 14 31
4 2 5 9 14
2 0 9 5 17
-17 20
17 Fulham 22 6 1 15 22 48
3 1 7 14 22
3 0 8 8 26
-26 19
18 West Ham United 22 4 6 12 22 33
2 3 6 13 19
2 3 6 9 14
-11 18
19 Sunderland 22 4 6 12 21 36
2 2 7 12 19
2 4 5 9 17
-15 18
20 Cardiff City 22 4 6 12 17 38
3 3 5 10 17
1 3 7 7 21
-21 18

 

Imetokea ajali mbaya huko Singida ambapo gari aina ya NOAH na Lori la mizigo yamegongana uso kwa uso na kisha gari hiyo aina ya NOAH kuingia chini ya uvungu wa Lori na kusababisha vifo vya watu hao 13 ambao wote walifia katika eneo la ajali.

Taarifa inasema gari aina ya NOAH ilikuwa imebeba abiria kutoka Itigi wakielekea Singida Mjini.

Dereva na utingo wa Lori walikimbia baada ya ajali hiyo kutokea.



Wafanyakazi wa shirika la Msalaba mwekundu wakiwasaidia waliojeruhiwa C.A.R
Kumekuwa na machafuko zaidi katika Jamhuri ya Afrika ya kati, siku moja kabla ya baraza la mpito kumchagua rais mpya wa nchi hiyo.
Mwandishi wa BBC katika mji mkuu wa nchi hiyo Bangui, ameona miili ya Waislamu wawili iliyoteketezwa moto.
Wapiganaji wa Wakristo wamesema waliwaua watu hao kulipiza kisasi mauaji ya awali ya muumini mmoja wa dini ya Kikristo.
Kamati ya Kimataifa ya Shirika la Msalaba Mwekundu, ICRC, inasema machafuko mapya ya kidini yalizuka siku ya Jumapili Kaskazini na Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo.
Muungano wa Ulaya unatarajiwa leo kuidhinisha kutumwa kwa kikosi cha wanajeshi wa Ulaya kujiunga na wale wa Afrika na Ufaransa walio nchini humo.
Mauaji hayo yanasadikiwa kuchochea machafuko mapya mjini Bangui.

Mapigano ya kidini

Wapiganaji wa Kikristo nchini C.A.R
Mtu wa kwanza aliyeuawa anasemkana kuwa ni Mkristo mmoja aliyejulikana vyema kutoka mtaa unaoitwa Sangoh.
Waliomvamia walimlenga kwa sababu za kushirikiana na Waislamu wa mtaa uitwao District five, ambao wakaazi wake wamelaumiwa kufanya mashambulizi dhidi ya mitaa jirani ya Wakristo.
Mwili huo ulichomwa wakati waandishi walipokuwa wanawasili katika eneo hilo.
Mara vurugu zikaanza tena, na mwanamme mmoja Muislamu aliyekuwa ndani ya taxi akavamiwa, na kushambuliwa hadi kufa.
Pia yeye akachomwa moto huku wavamizi hao wakiwasaka Waislamu wengine.
Hayo yote yamefanyika licha ya Kuwepo kwa kikosi cha wanajeshi wa nchi za kiafrika ambao walishindwa kuzuia ukatili huo.
Wakati huo huo wanachama 135 wa baraza la kitaifa la mpito wanatarajiwa kumchagua rais mpya wa mpito, baadaye Jumatatu.
Waandishi wa habari wanasema kiongozi huyo mpya atakuwa na kibarua kigumu kurejesha hali ya utulivu na utawala wa sheria nchini humo.


waliotembelea blog