Friday, February 6, 2015



Santi Cazorla akiteta na Aaron Ramsey wakati wa Mazoezi hii leo huko London Colney kwenye Uwanja wa Mazoezi tayari kwa kipute chao na Spurs kesho jumamosi. Dabi ya London Kaskazini.

Cazorla akiwa full matabasamu

Hector Bellerin akifanya yake kwenye Mazoezi leo Ijumaa

Jumamosi kesho ndani ya White Hart Lane, Wenyeji Tottenham wataikaribisha Arsenal kwenye Dabi ya London ya Kaskazini na Mechi hii licha ya kuwa ni Dabi pia ina ushindani wake wa kulilia kuwemo 4 Bora kwani Arsenal wako Nafasi ya 5 wakiwa Pointi 2 mbele ya Tottenham walio Nafasi ya 6.

Alisajiliwa mwezi jana Januari  Krystian Bielik na leo kafanya mazoezi tayari kwa kipute cha kesho kati yao na Spurs kipute kitakachoanza mapema kesho jumamosi.

Spurs VS Arsenal

Cazorla, Ramsey, Per Mertesacker, Gabriel Paulista na Theo Walcott kwenye Mazoezi leo Ijumaa tayari kwa kukutana uso kwa uso na Spurs kesho Jumamosi kwenye Dabi ya London Kaskazini.

Nacho Monreal
Cazorla kwenye Mazoezi hii leo Ijumaa kwenye Uwanja mazoezi wa London Colney
Calum Chambers mchezaji aliyekuwa akikipiga katika Klabu ya  Southampton na sasa akikipiga Klabu ya Gunners akisalimiana na Meneja Arsene Wenger wakati wa Mazoezi hii leo Ijumaa.

Serge Gnabry

David Ospina kipa anayetumika badala ya Wojciech Szczesny ambaye ni  No 1 kwenye Klabu ya Arsenal

Meneja wa Arsenal Wenger akiwacheki Vijana Wake leo wakati wa Mazoezi

Jumamosi kesho kwenye Ligi Kuu England, Mechi ya kwanza kabisa ya Ligi huko White Hart Lane, Wenyeji Tottenham wataikaribisha Arsenal kwenye Dabi ya London ya Kaskazini na Mechi hii licha ya kuwa ni Dabi pia ina ushindani wake wa kulilia kuwemo 4 Bora kwani Arsenal wako Nafasi ya 5 wakiwa Pointi 2 mbele ya Tottenham walio Nafasi ya 6.
Mechi ya mwisho kwa Siku ya Jumamosi ni ile Dabi ya Merseyside Jijini Liverpool Uwanjani Goodison Park ambako Everton wataikaribisha Liverpool.
Katikati ya Dabi hizo mbili zipo Mechi 5 za Ligi zikiwemo ile ya Vinara wa Ligi Chelsea wakiwa Ugenini huko Villa Park kucheza na Aston Villa na Mabingwa Watetezi Man City kuwa Nyumbani Etihad kucheza na Hull City.
Jumapili zipo Mechi 3 za Ligi na mojawapo ni ile ya Uwanjani Upton Park wakati West Ham watakapoikaribisha Man United ambao wako Nafasi ya 3 kwenye Ligi.
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA:
Jumamosi Februari 7

15:45 Tottenham vs Arsenal
18:00 Aston Villa vs Chelsea
18:00 Leicester vs Crystal Palace
18:00 Man City vs Hull
18:00 QPR vs Southampton
18:00 Swansea vs Sunderland
20:30 Everton vs Liverpool
Jumapili Februari 8
15:00 Burnley vs West Brom
17:05 Newcastle vs Stoke
19:15 West Ham vs Man United

Jumanne Februari 10
22:45 Arsenal vs Leicester
22:45 Hull vs Aston Villa
22:45 Sunderland vs QPR
23:00 Liverpool vs Tottenham
Jumatano Februari 11
22:45 Chelsea vs Everton
22:45 Man United vs Burnley
22:45 Southampton vs West Ham

22:45 Stoke vs Man City
23:00 Crystal Palace vs Newcastle 

23:00 West Brom vs Swansea

Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akiimba kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar

Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 akiimba uku akipewa support ya nguvu na Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge( wa kwanza kushoto), Sam Mapenzi (wa pili kutoka kulia) pamoja na John Music ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar…


Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akiimba kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar

Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 akiimba uku akipewa support ya nguvu na Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge( wa kwanza kushoto), Sam Mapenzi (wa pili kutoka kulia) pamoja na John Music ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar

Sony Masamba akiendelea kuimba masebene ya nguvu huku akipewa support na Majembe ya Skylight Band yaliyojimwaga kwenye stage

Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar es Salaam Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti na Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Kisura mwingine wa Skylight Band anayefamika kwa jina la Baby.
Tukutane baadae tupunguze stress za wiki nzima kwa burudani iliyoenda shule na sehemu ya watu wastaarabu kama kawaida na mtonyo wetu ule ule getini.

Msanii wa Skylight Band Joniko akiendelea kutoa burudani huku vijana wa Skylight Band wakitimua vumbi jukwaani wakiongozwa na Sony Masamba ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar

waliotembelea blog