Saturday, February 28, 2015

Mkurugenzi wa Biashara Zanzibar Nd. Mohamed Baucha wa kulia akimkabidhi Tunzo ya Video bora ya mwaka muziki wa kizazi kipya Nassir Hassan (Vanila) mara baada ya kuibuka mshindi, tunzo hizo zimeandaliwa na Kampuni ya Zanzibar Media Corporation LTD katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Salama Hall Bwawani Mjini Zanzibar.
Mwanamitindo marufu wa Zanzibar Farouk Abdillahi…
Mkurugenzi wa Biashara Zanzibar Nd. Mohamed Baucha wa kulia akimkabidhi Tunzo ya Video bora ya mwaka muziki wa kizazi kipya Nassir Hassan (Vanila) mara baada ya kuibuka mshindi, tunzo hizo zimeandaliwa na Kampuni ya Zanzibar Media Corporation LTD katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Salama Hall Bwawani Mjini Zanzibar.
Mwanamitindo marufu wa Zanzibar Farouk Abdillahi akimkabidhi Tunzo ya Video bora mwaka ya Taraab Bi. Saada Nassor.
Meneja wa Zenji Entertainment Seif Moh'd (kushoto) akimkabidhi tunzo Mwanamuziki Bora wa kiume wa tarabu asili Cholo Ganun.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Dkt. Mwinyihaji Makame akimkabidhi tunzo ya muandaaji bora wa Tamasha Zanzibar Music Award mwaka 2015 Mbunge wa Jimbo la Uzini na Mkurugenzi wa Redio ya Zenji FM Mohamed Seif Khatib katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Salama Holl Bwawani Mjini Zanzibar.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Dkt. Mwinyihaji Makame katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya Zanzibar Midia Corporation LTD. Picha zote na Makame Mshenga wa Maelezo Zanzibar.



Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na mmiliki wa Blog ya The Habari.com Joachim Mushi (katikati) akizungumza wakati wa mkutano na waandishi. Kutoka kushoto ni mjumbe wa TBN Mkala Fundikira, Afisa wa kampuni ya mawasiliano na matangazo ya AIMS, Shafiq Mpanja wa AIM, Ofisa Uhusiano wa NMB Doris Kilale na mjumbe wa TBN Khadija Kalili.
Katika mkutano huo TBN imesema kesho Jumamosi jioni Bloggers takriban 100 kutoka sehemu mbalimbali Nchini watakutanika katika ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar es salam kwa ajili ya hafla ya mwaka mpya itayohudhuriwa pia na wadhamini na marafiki wa Bloggers.

Ofisa Uhusiano wa NMB Doris Kilale akifafanua jambo wakati wa mkutano.

Mmiliki wa Blog ya Bongoweekeend Khadija Kalili akizungumza wakati wa mkutano.

Father Kidevu (kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano.
Baadhi ya Bloggers na waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari wakifuatilia jambo wakati wa mkutano uliofanyika katika Ofisi za Idara ya Habari Maelezo Dar es Salaam.

 


Manchester United captain Wayne Rooney speaks with Jonny Evans ahead of the game at Old Trafford
Kepteni wa Manchester United Wayne Rooney akiteta jambo na Jonny Evans juu ya Mchezo huo ambao wote wamepeana hamasa ya kuibuka na Ushindi kesho dhidi ya Sunderland.Radamel Falcao trains at Carrington as Manchester United prepare to play Sunderland in the Premier League at Old Trafford
Radamel Falcao akijifua kwenye Uwanja wa Carrington, Manchester United wakijiandaa kuikaribisha Sunderland ngland, Premier League mchezo utakaopigwa kwenye Uwanja wa Old Trafford
Louis van Gaal admits he doesn't know when Dutch striker Robin van Persie will return to action
Meneja Louis van Gaal amezungumza ila hakuweka wazi juu Robin van Persie atakaa nje muda gani ila amesema ni wiki kadhaaVan Gaal
Robin van Persie leaves the Liberty Stadium on crutches and with his right leg in a protective boot 
Robin van Persie  aliumia wiki iliyopita wakati  wa Mchezo wao na Swansea City huko kwenye Uwanja wa Liberty, Aliumia Enka.

Michezo mitano ijayo ya MANCHESTER UNITED
February 28: Sunderland (nyumbani)
March 4: Newcastle (Ugenini)
March 9: Arsenal (Nyumbani)
March 15: Tottenham (Nyumbani)
March 22: Liverpool (Ugenini)
Van Gaal speaks to the media during a press conference ahead of United's game against Sunderland
Van Gaal akiteta kwenye Vyombo vya Habari juu ya mchozo wao na  Sunderland kesho jumamosi 28
Goalkeepers David de Gea (left) and Victor Valdes (right) in action during a training session on Friday
Makipa: David de Gea na Victor Valdeswakiteta jambo hii leo wakati wa mazoezi
Luke Shaw (left) and Juan Mata (right) are expected to line up against the Black Cats at Old Trafford
Luke Shaw na Juan Mata wote wanategemewa kucheza mchezo wao wa kesho Old Trafford dhidi ya Sunderland
Marcos Rojo (left) warms up as team-mates Daley Blind and Wayne Rooney observe
Marcos Rojo na Daley Blind pamoja na Wayne Rooney kesho kuonesha makeke yao

Van Pesrsie aliumia wakati wa Mchezo na Swansea City walipopewa kichapo cha bao 2-1

waliotembelea blog