Thursday, September 17, 2015

MECHI za Makundi ya UEFA EUROPA LIGI zinaanza Alhamisi Septemba 17 na England inawakilishwa na Liverpool na Tottenham ambazo zinaanzia hatua hii.
Awali West Ham na Southampton zilishiriki lakini zikatupwa nje kwenye Raundi za awali za Mchujo.
Mechi hizi za Makundi 12 ya Timu 4 kila moja zitaanza Septemba 17 na kumalizika Desemba 10.
Alhamisi Usiku, Liverpool, ambao wako Kundi B, watakuwa Ugenini huko France kucheza na Bordeaux wakati Tottenham, walio Kundi J, wako kwao White Hart Lane kuivaa Klabu ya Azerbaijan, QarabaÄŸ.

Miongoni mwa Mechi za mvuto hiyo Alhamisi ni ile ya Kundi A itakayochezwa huko Amsterdam kati ya Ajax na Celtic.

UEFA EUROPA LIGI
Alhamisi Septemba 17

KUNDI A
20:00 Ajax v Celtic
20:00 Fenerbahçe v Molde

KUNDI B
20:00 Bordeaux v Liverpool
20:00 FC Sion v Rubin Kazan

KUNDI C
2000 Borussia Dortmund v FK Krasnodar
2000 FK Qabala v PAOK Salonika

KUNDI D
2000 FC Midtjylland v Legia Warsaw
200 Napoli v Club Brugge

KUNDI E
20:00 SK Rapid Vienna v Villarreal
20:00 Viktoria Plzen v Dinamo Minsk

KUNDI F
20:00 FC Groningen v Marseille
20:00 Slovan Liberec v Sporting Braga

KUNDI G
2205 Dnipro Dnipropetrovsk v Lazio
2205 St Etienne v Rosenborg

KUNDI H
205 Skenderbeu Korce v Besiktas
2205 Sporting v Lokomotiv Moscow

KUNDI I
2205 Fiorentina v FC Basel
2205 Lech Poznan v Belenenses

KUNDI J
2205 Anderlecht v Monaco
2205 Tottenham v FK Qarabag

KUNDI K
2205 Apoel Nicosia v Schalke
2205 Asteras Tripolis v Sparta Prague


KUNDI L
2205 Athletic Bilbao v FC Augsburg
2205 Partizan Belgrade v AZ Alkmaar

MAKUNDI
Safari ya Fainali huko Basel, Uswisi:
Mechidei 1:
17 Septemba
Mechidei 2: 1 Oktoba
Mechidei 3: 22 Oktoba
Mechidei 4: 5 Novemba
Mechidei 5: 26 Novemba
Mechidei 6: 10 Desemba

KALENDA
Raundi ya Timu 32-Droo: 14 Desemba, Nyon
Raundi ya Timu 32-Mechi ya Kwanza: 18 Februari
Raundi ya Timu 32-Mechi ya Pili: 25 Februari
Raundi ya Timu 16-Droo: 26 Februari, Nyon
Raundi ya Timu 16-Mechi ya Kwanza: 10 Machi
Raundi ya Timu 16-Mechi ya Pili: 17 Machi
Robo Fainali-Droo: 18 Machi, Nyon
Robo Fainali-Mechi ya Kwanza: 7 Aprili
Robo Fainali-Mechi ya Pili: 14 Aprili
Nusu Fainali-Droo: 15 Aprili
Nusu Fainali-Mechi ya Kwanza: 28 Aprili
Nusu Fainali-Mechi ya Pili: 5 Mei
Fainali: 18 Mei, St. Jakob-Park, Basel, Uswisi


Barcelona ndio walioanza kuziona nyavu za As Roma kupitia kwa Luis Suárez dakika ya 21 nao As Roma walisawazishiwa bao na Alessandro Florenzi dakika ya 31 na kufanya 1-1 na mtanange kumalizika dakika 90 kwa sare ya 1-1.
VIKOSI:
Roma
: Szczesny, Florenzi, Manolas, Rudiger, Digne, Nainggolan, De Rossi, Keita, Falque, Salah, Dzeko. Subs: De Sanctis, Maicon, Iturbe, Totti, Vainqueur, Gervinho, Torosidis.
Barcelona: Ter Stegen, Sergi Roberto, Pique, Mathieu, Jordi Alba, Rakitic, Busquets, Iniesta, Messi, Neymar, Suarez.
Akiba: Masip, Rafinha, Mascherano, Bartra, Munir, Sandro, Adriano.
Referee: Bjorn Kuipers (Holland)


Junior Fernandes dakika ya 58 aliiongezea bao la pili kwa kichwa baada ya kuunganisha mpira wa kona na kufanya 2-0. Arsenal walizinduka na dakika ya 79 Theo Walcott aliwafungia bao la kwanza baada ya kuwazidi ujanja wa mbio mabeki wa Dinamo Zagreb na mtanange kumalizika kwa 2-1. Mtanange huu Arsenal walipata pigo pale mchezaji wao Giroud alipooneswa kadi nyekundu na kuifanya timu kucheza pungufu 10 Uwanjani.Bao la Dinamo Zagreb ni la kujifunga kupitia kwa Alex Oxlade-Chamberlain kipindi cha kwanza dakika ya 24. Olivier Giroud katupwa nje kwa kuoneshwa kadi nyekundu
VIKOSI:
Dinamo Zagreb: Eduardo, Ivo Pinto, Sigali, Taravel, Pivaric, Soudani, Paulo Machado, Ademi, Antolic, Fernandes, Pjaca.
Akiba: Jezina, Henriquez, Hodzic, Coric, Benkovic, Rog, Matel.

Arsenal: Ospina, Debuchy, Gabriel, Koscielny, Gibbs, Oxlade-Chamberlain, Cazorla, Arteta, Sanchez, Ozil, Giroud.
Akiba: Cech, Walcott, Monreal, Flamini, Chambers, Campbell, Coquelin.
Referee: Ovidiu Alin Hategan (Romania)

 

Moja ya miundombinu inayorahisisha usafirishaji ni pamoja na uimara wa madaraja, China ni miongoni mwa Mataifa makubwa duniani ambapo uchumi wake unazidi kukua pamoja na miundombinu yake..ndiyo nchi pekee inayoongoza kwa miundombinu ya madaraja yaliyovunja rekodi kwa ubora duniani.
Hapa ninayo hii list ya madaraja yaliyovunja rekodi kwa refu duniani…

1
1. Danyang Kunshan Grand Bridge-China

2
2. Tianjin Grand Bridge-Beijing China

3
3. Weinan Weihe Grand Bridge-China

4
4. Bang Na Expressway-Thailand

5
5. Beijing Grand Bridge-China

6
6. Lake Pontchartrain Causeway-USA

7
7. Manchac Swamp Bridge-China

8
8. Yangcun Bridge-China

9
9. Hangzhou Bay Bridge-China

10
10. Runyang Bridge-China


Patashika ya michuano ya vijana chini ya miaka 12 ya Airtel Rising Stars ngazi ya taifa,
Patashika ya michuano ya vijana chini ya miaka 12 ya Airtel Rising Stars ngazi ya taifa baina ya Mwanza na Morogoro.

Patashika ya michuano ya vijana chini ya miaka 12 ya Airtel Rising Stars ngazi ya taifa, imeendelea kutimua vumbi katika dimba la Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam, ambapo timu za Temeke na Mwanza zilipepetana kwa upande wa wasichana huku Mwanza na Morogoro walitifuana vikali kwa upande wa wavulana. 

Kwa kuanzia na mchezo ambao ulizikutanisha timu za wavulana, Mwanza waliwasambaratisha vibaya Morogoro kwa kuwashindilia magoli 3-1. Mwanza ambao walionekana kutakata kila idara, walijipatia bao la uongozi mnamo dakika ya 30 kupitia Lazaro Richard, baada ya kuitokea pasi nzuri iliyopigwa na David Richard na kumchambua vizuri kipa wa Morogoro kisha kuukwamisha mpira huo kimiani. 

Lionel Messi amefikisha mechi 100 za Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Barcelona ikilazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji wao AS Roma ya Italia.


ROMA (4-3-3): Szczesny (De Sanctis 50mins); Florenzi (Torosidis 85), Manolas, Rudiger, Digne; De Rossi, Keita, Nainggolan; Salah, Dzeko, Falque (Iturbe 82)
Subs not used: Totti, Maicon, Vainqueur, Gervinho
Goal: Florenzi 31 
Booked: Nainggolan  
BARCELONA (4-3-3): Ter Stegen; Roberto, Pique, Mathieu, Alba; Rakitic (Rafinha 62, Mascherano 65), Busquets, Iniesta; Neymar, Suarez, Messi
Subs not used: Bartra, Munir, Sandro, Adriano, Masip
Goal: Suarez 21 
Booked: Pique 
Referee: Bjorn Kuipers (Holland) 
Attendance: 57,836 












SOURCE: DAILY MAIL


Kituo cha Michezo kwa vija na cha Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam kinavyoonekana kutoka angani. Rais Jakaya Mrisho kikwete akitembezwa na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya umeme ya Symbion Bw. Paul Hicks wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha kisasa cha Michezo kwa vijana cha Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015. Kituo hicho kinajengwa kwa msaada wa Klabu ya Sunderland ya Uingereza na kampuni ya symbion. Rais Jakaya Mrisho kikwete akitembezwa na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya umeme ya Symbion Bw. Paul Hicks kwa mmoja wa wasimamizi wa mradi huo wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wakituo cha kisasa cha Michezo kwa vijana cha Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015. Kituo hicho kinajengwa kwa msaada wa Klabu ya Sunderland
ya Uingereza na kampuni ya symbion

Rais Jakaya Mrisho kikwete akitembezwa na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya umeme ya Symbion Bw. Paul Hicks kwa kocha wa vijana wa kandanda mwenye kutambulika na FIFA kutoka Uingereza wa mradi huo wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha kisasa cha Michezo kwa vijana cha Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015. Kituo hicho kinajengwa kwa msaada wa Klabu ya Sunderland ya Uingereza na kampuni ya symbion.
PICHA NA MICHUZI
1-0 Willian akipongezwa kwa bao
Chelsea waliongeza bao tena kupitia kwa Oscar dakika ya 45 na bao la tatu lilifungwa na Diego Costa kipindi cha pili dakika ya 58 na kufanya 3-0 dhidi ya Maccabi Tel-aviv.
Cesc Fàbregas alifunga bao la nne dakika ya 78 na kufanya matokeo kuwa 4-0.
Willian aipa Chelsea bao la kuongoza
VIKOSI:
Chelsea:
Begovic, Azpilicueta, Zouma, Cahill, Baba, Willian, Fabregas, Loftus-Cheek, Oscar, Hazard, Remy.
Akiba: Blackman, Ivanovic, Ramires, Traore, Costa, Matic, Terry.

Maccabi Tel-Aviv: Rajkovic, Spungin, Ben Haim I, Tibi, Ben Haroush, Ben Haim II, Mitrovic, Alberman, Igiebor, Rikan, Zahavi.
Akiba: Lifshitz, Itzhaki, Micha, Vermouth, Carlos Garcia, Peretz, Radonjic.
Referee: Felix Zwayer (Germany)



Mgambo Shooting ni kati ya timu zinazocheza soka la nguvu yaani kazikazi.


Katika mechi ya jana, Mgambo ikiwa nyumbani ililala kwa mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.

Lakini wachezaji wa Mgambo walikuwa wakicheza kazikazi kweli na mfano mzuri walivyokuwa wakimgaragaza nahodha wa Simba, Mussa Hassan Mgosi mara kwa mara.



Wakati Simba walilalamika Mgambo kucheza kindava, Yanga nao walilalamika kwamba Prisons walitaka kuwaumiza kwa makusudi kwa kucheza zaidi ya kazikazi.



Olympiacos: Roberto, Elabdellaoui, da Costa, Siovas, Masuaku, Leandro Salino, Cambiasso (Fortounis 66), Kasami, Pardo (Seba 82), Dominguez (Hernani 61), Ideye
Subs not used: Kapino, Botia, Finnbogason, Vouros
Booked: Kasami, Cambiasso, Elabdellaoui

Bayern Munich: Neuer, Lahm, Boateng, Alaba, Bernat, Vidal (Gotze 79), Alonso (Kimmich 76), Thiago, Muller, Lewandowski (Coman 59), Douglas Costa
Subs not used: Ulreich, Javi Martinez, Rafinha, Rode
Booked: Muller, Kimmich
Goals: Muller 52, 90+2, Gotze 89
Referee: Carlos Velasco Carballo (Spain)








waliotembelea blog