Wednesday, September 9, 2015


Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Wayne Rooney, siku kadhaa nyuma alifikia rekodi ya mfungaji bora wa muda wote wa timu ya taifa ya Uingereza Sir Bobby Charlton, usiku wa September 8 alivunja rekodi ya Sir Bobby Charlton kwa kufunga goli la 50.
2C1693CD00000578-3226944-image-a-70_1441746439612
Wayne Rooney alifunga goli la 50 kwa mkwaju wa penati  akiwa na timu yake ya taifa ya Uingereza wakati wa mchezo dhidi ya Switzerland wa kuwania kufuzu kucheza EURO 2016, mechi ilimalizika kwa Uingereza kuibuka na ushindi wa jumla wa goli 2-0.
2C16903E00000578-3226944-image-a-71_1441746470439
Baada ya mechi hiyo Rooney aliingia katika chumba cha kubadilishia nguo huku akipigiwa makofi na wachezaji wenzake pamoja na kocha na kukabidhiwa jezi namba 50 ambayo ni jumla ya magoli aliyofunga katika timu ya taifa ya Uingereza.
2C16911600000578-3226944-image-a-77_1441746577925
22
Hii video ya Rooney na wachezaji wenzie wakiwa dressing room.



Msanii wa Bongo Flava Diamond Platnumz anazidi kuipeperusha bendera ya Tanzania, Tuzo nyingi sana zinazidi kutambua juhudi na kazi ya Diamond  kwenye muziki wa Tanzania.
Good news kwako mtu wangu, mtu wetu Diamond Platnumz amepata nafasi nyingine kubwa ya kuiwakilisha Tanzania kwenye tuzo za kimataifa.
mtvema
Tuzo za MTV Europe Awards maarufu kama MTV EMA kwa mwaka huu wa 2015 zimemtaja Diamond Platnumz kuwa miongoni mwa wasanii kutoka Africa wanaowania kipengele cha ‘Best African Act’,  wasanii wengine waliobahatika kuingia kwenye kipengele hicho ni; Davido, AKA (South Africa) na Yemi Alade (Nigeria).
yemimtv
Yemi Alade ni msanii pekee wa kike kwenye kipengele hiki cha Best African Act.
davidoema
Davido kutoka Nigeria
akaema
AKA kutoka South Africa.
MTV EMA 2015 inahitaji mtu wa tano kukamilisha orodha ya ‘Best African Act’ mtu wangu na kama wewe ni mdau mkubwa sana wa muziki mzuri basi MTV EMA 2015 inakupa wewe nguvu na kibali cha kumchagua mtu wa 5 unaehisi atafaa kuchuana na Diamond Platnumza na wengine kwenye kipengele hiki..
ema2
kwenye wale watano waliopendekezwa wapo; Wizkid, KO (South Africa), Stone Bwoy (Nigeria), Cassper na DJ Arafat.
EMA
Kumpata mmoja kati ya watano hapo juu, utaratibu wa kuwapigia kura upo hivi… unaandika #MTVEMA ikifuatiwa na hashtag (#Nominate) na jina la msanii na kisha unatweet mara nyingi uwezavyo kwenye Twitter ili kumpata yule unayeona anastahili kufunga kipengele hiki.
EMA1
Tuzo za MTV EMA Awards 2015 zinafanyika tarehe 25 October jijini Milan, Italy. Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 14 September 2015.


Serena williams ameendelea kuwa bora zaidi duniani baada ya kumshinda dada yake Venus william katika mashindano ya US Open na kuzidi kusonga mbele.
vee

Serena ambaye anashika nafasi ya kwanza kwa rekodi bora duniani ameshinda dada yake kwa seti tatu ya 6-2 1-6 6-3 zilizompa nafasi ya kuweza kuingia kwenye mashindano ya nusu fainali huko New York,Marekani.
Serena Williams, left, hugs Venus Williams after winning their quarterfinal match at the U.S. Open tennis tournament, Tuesday, Sept. 8, 2015, in New York. (AP Photo/Julio Cortez)
Katika hatua ya nusu fainali,serena atachuana na mwanadada wa nchini Italia Roberta Vinci kesho.


Wakati mshambuliaji wa Italia na klabu ya AC Milan Mario Balotelli akiwa na wakati mgumu katika maisha yake ya soka, kwa kutokufanya vizuri msimu uliyomalizika katika klabu ya Liverpool kitu kilichochangia kutoitwa timu ya taifa. Mpenzi wake wa zamani Fanny Neguesha anaendelea kufurahia penzi lake jipya na Cheikhou Kouyate.
2C12498500000578-0-image-a-40_1441710062286
Fanny Neguesha ambaye amewahi kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na Mario Balotelli, sasa yupo katika mahusiano na kiungo wa kimataifa wa Senegal na klabu ya West Ham United Cheikhou Kouyate baada ya muda mrefu kupita toka ameachana na Balotelli.
2C1247E600000578-3226285-image-a-19_1441713709198
Mrembo huyo na Balotelli waliachana na mwezi September mwaka jana, baada ya hapo mrembo huyo aliingia katika mahusiano na Cheikhou Kouyate. Fanny na Cheikhou Kouyate inaripotiwa kwa mara ya kwanza walikutana photoshoot London, hapo ndio mwanzo wa penzi hilo, ila kwa hivi karibuni wamekuwa wakionekana kuweka wazi uhusiano wao.
2C12EECD00000578-3226285-image-a-55_1441711645712
2C124AFB00000578-3226285-image-a-14_1441713616812
2C124B0100000578-3226285-image-m-13_1441713609827
2C13156400000578-3226285-image-a-25_1441714276246
2C1247B900000578-0-image-a-39_1441710013609
2C12479500000578-0-image-a-36_1441709935783
2C1249C100000578-0-image-a-42_1441710110461
2C124A3A00000578-3226285-image-a-24_1441713748006


Wayne Rooney alifunga penati dakika ya 84 na kufanya bao kuwa 2-0 dhidi ya timu ya Switzerland. Wayne Rooney amevunja rekodi ya Sir Bobby Charlton wa England baada ya kuifungia bao timu yake ya Taifa usiku huu kwa mkwaju wa penati.Kane akishangilia bao lake


Embedded image permalinkBarcelona wamezoa Tuzo ya Klabu Bora Ulaya kwa Msimu wa 2014/15 iliyotolewa na Chama cha Klabu za Soka Ulaya, ECA(European Club Association).
Tuzo hiyo kwa Barcelona imekuja baada ya wao kutwaa Trebo, yaani Ubingwa wa La Liga, Copa del Rey na UEFA CHAMPIONS LIGI Msimu uliopita.

Sherehe za utoaji Tuzo zilifanyika Jana huko Geneva, Uswisi na Tuzo nyingine walitwaa Klabu ya Ukraine FC Dnipro Dnipropetrovsk waliopewa Tuzo ya Maendeleo Bora Mchezoni kwa kufika Fainali ya EUROPA LIGI bila kutarajiwa na kufungwa na Sevilla ya Spain.
Tuzo ya Ubora kwa Jamii na Programu Bora za Kijamii ilikwenda kwa Arsenal ambao wametambuliwa kwa mchango wao mkubwa kwa Jamii ya Jiji la London kukabiliana na tatizo la ajira kwa Vijana.
Tuzo ya 4 iliyotolewa na ECA ni ile ya Mafanikio Bora ambayo ilibebwa na Klabu ya Estonia Levadia Tallinn kwa mpango wao uitwao 'Pamoja Tutasonga' ambao ulilenga kusaidia Walemavu wanaohitaji msaada wa kuongozwa na Mbwa ili kuingia kirahisi Uwanjani kwa ajili ya Mechi.


Mechi za Makundi ya EURO 2016, Kombe la Mataifa ya Ulaya, zinakamilika Leo kwa ile Raundi ya Mechi za Septemba na kubakisha Mechi 2 kwa kila Timu ambazo zitachezwa Mwezi ujao huku tayari Timu 3 zimefuzu kuingia Fainali.
Fainali za EURO 2016 zitachezwa Mwakani huko France na Raundi hii ya Mechi imezifanya England, Iceland na Czech Republic waungane na Wenyeji France kwenye Fainali.
Bado zipo nafasi 20 kukamilisha idadi ya Timu 24 kwenye Fainali ambazo huchukuliwa na Washindi 9 wa Makundi, Washindi wa Pili 9, Mshindi wa 3 Bora mmoja pamoja na Timu 4 zitakazoshinda Mechi za Mchujo zitakazoshitikisha Washindi wa 3 Wanane.

Leo England wanacheza Mechi ya kukamilisha Ratiba ya Kundi E dhidi ya Switzerland Uwanjani Wembley Jijini London na macho yote yapo kwa Kepteni wao Wayne Rooney kama ataweza kuvunja Rekodi ya Ufungaji Bora England baada Juzi kwenye Mechi na San Marino kufunga Bao moja na kumfikia Mfungaji Bora Sir Bobby Charlton mwenye Bao 49 kwa Mechi 106.

Hii Leo ataichezea England Mechi yake ya 106.


RATIBA:
Jumanne Septemba 8

21:45 Belarus vs Luxembourg
21:45 Macedonia vs Spain
21:45 Slovakia vs Ukraine
21:45 England vs Switzerland
21:45 Slovenia vs Estonia
21:45 Lithuania vs San Marino
21:45 Liechtenstein vs Russia
21:45 Sweden vs Austria
21:45 Moldova vs Montenegro



.
.
Unakumbuka ile ishu ya bondia wa ngumi Francis Cheka ya kumpiga na kumuumiza meneja wa baa yake akimtuhumu kusababisha hasara?
Sasa good news ninayotaka kukusogezea ni kwamba bondia huyo wa mchezo wa masumbwi akiwa anatumikia kifungo cha nje kwa sasa anatarajia kwenda nchini Uingereza tarehe 15 mwezi huu kwenye mchezo wa masumbwi.
Leo sept 8 alikuta na ripota wa millardayo.com na kuzungumza machache kuhusiana na taratibu za safari yake pamoja na kifungo anachotumikia nje…’Kwanza namshukuru mwenyezi mungu niko katika hali ya salama kesi yangu katika ustawi wa jamii inaendelea vizuri na ustawi wa jamii niko nao katika hali ya kawaida sababu wao wanajua umuhimu wangu na kuweza kujua mimi Francis Cheka nahitaji nini kwa mashabiki wangu, mimi ni mtanzania ambaye ninawajenga umma wa watanzania kwenye michezo ya boxer’ – Francis Cheka
‘Ustawi wa jamii wamenipa ruksa ya kwenda kupigana kwenye pambano hilo nchini Uingereza nategemea kwenda tarehe 15 mwezi huu na mkurugenzi wa ustawi wa jamii ameweza kuniambia mawili matatu kuhusiana na taratibu au kitu gani ninachotakiwa kukifanya ili niweze kufanikisha safari yangu ya Uingereza’ – Francis Cheka

waliotembelea blog