Wednesday, September 9, 2015


Wakati mshambuliaji wa Italia na klabu ya AC Milan Mario Balotelli akiwa na wakati mgumu katika maisha yake ya soka, kwa kutokufanya vizuri msimu uliyomalizika katika klabu ya Liverpool kitu kilichochangia kutoitwa timu ya taifa. Mpenzi wake wa zamani Fanny Neguesha anaendelea kufurahia penzi lake jipya na Cheikhou Kouyate.
2C12498500000578-0-image-a-40_1441710062286
Fanny Neguesha ambaye amewahi kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na Mario Balotelli, sasa yupo katika mahusiano na kiungo wa kimataifa wa Senegal na klabu ya West Ham United Cheikhou Kouyate baada ya muda mrefu kupita toka ameachana na Balotelli.
2C1247E600000578-3226285-image-a-19_1441713709198
Mrembo huyo na Balotelli waliachana na mwezi September mwaka jana, baada ya hapo mrembo huyo aliingia katika mahusiano na Cheikhou Kouyate. Fanny na Cheikhou Kouyate inaripotiwa kwa mara ya kwanza walikutana photoshoot London, hapo ndio mwanzo wa penzi hilo, ila kwa hivi karibuni wamekuwa wakionekana kuweka wazi uhusiano wao.
2C12EECD00000578-3226285-image-a-55_1441711645712
2C124AFB00000578-3226285-image-a-14_1441713616812
2C124B0100000578-3226285-image-m-13_1441713609827
2C13156400000578-3226285-image-a-25_1441714276246
2C1247B900000578-0-image-a-39_1441710013609
2C12479500000578-0-image-a-36_1441709935783
2C1249C100000578-0-image-a-42_1441710110461
2C124A3A00000578-3226285-image-a-24_1441713748006

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog