Wednesday, September 9, 2015


Wayne Rooney alifunga penati dakika ya 84 na kufanya bao kuwa 2-0 dhidi ya timu ya Switzerland. Wayne Rooney amevunja rekodi ya Sir Bobby Charlton wa England baada ya kuifungia bao timu yake ya Taifa usiku huu kwa mkwaju wa penati.Kane akishangilia bao lake

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog