Saturday, September 5, 2015



Kiungo wa Ufaransa, Paul Pogba akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo katika mchezo wa kirafiki usiku huu mjini Lisbon. Ufaransa imeshinda 1-0 bao pekee la Mathieu Valbuena
Anthony Martial applauds the fans after making his international debut against Portugal on Friday night

Mathieu Valbuena bends a free-kick over the Portugal wall to win it for France in the last five minutes

Portugal goalkeeper Rui Patricio dives in vain as Valbuena free-kick nestles in the top corner

Valbuena jumps for joy after finding the top corner from around yards out to win the game for France

The Lyon midfielder, on as a second-half sub leads the celebrations after sealing victory for France

TANZANIA leo inakutana na Nigeria katika mchezo wa Kundi G, kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia Saa 10: 30 jioni. Mara ya mwisho Tanzania kukutana na Nigeria ilikuwa Septemba 11, mwaka 2002 katika mechi ya kirafiki na Super Eagles ilishinda 2-0.  Lakini kwenye mechi za mashindano ilikuwa Desemba 20, mwaka 1980, katika mechi za kuwania kucheza Fainali za Kombe la Dunia na Taifa Stars ikafungwa 2-0 Uwanja wa Taifa.
Huo ulikuwa mchezo wa marudiano baada ya awali Tanzania kutoa sare ya 1-1 Uwanja wa Surulele mjini Lagos, Nigeria Desemba 6, 1980
Tanzania inakutana na Nigeria leo baada ya miaka 35, je italipa kisasi cha mwaka 1980?
Ahmed Musa (kushoro) na Anthony Ujah (kulia) walikuwepo katika kikosi cha U23 ya Nigeria kilichoitoa Tanzania mwaka 2011


REKODI YA TANZANIA NA NIGERIA

Julai 6, 1972 Mechi ya kirafiki Tanzania 0-0 Nigeria Janauri 12, 1973 Michezo ya Afrika Nigeria 2–1 Tanzania (Surulele, Lagos) Machi 8, 1980 Fainali za Mataifa ya Afrika Nigeria 3–1 Tanzania (Surulele, Lagos) Desemba 6, 1980 kufuzu Kombe la Dunia Nigeria 1- 1 Tanzania (Surulere, Lagos) Desemba 20, 1980 kufuzu Kombe la Dunia  Tanzania 0-2 Nigeria (Uhuru, Dar es Salaam) Sep 11, 2002 Mechi ya kirafiki Nigeria 2-0 Tanzania


Taifa Stars mwaka huo ilikuwa moto wa kuotea mbali, kwani katika Raundi ya Kwanza iliitoa Kenya, Harambee Stars kwa jumla ya mabao 6-3 ikianza kufungwa 3-1 Nairobi Julai 5, mwaka 1980, kabla ya kushinda 5-0 Dar es Salaam Julai 19, 1980. Kwa ujumla mwaka 1980 Tanzania na Nigeria zilikutana mara tatu, pamoja na kwenye mchezo wa Kundi A Fainali za Mataifa ya Afrika Machi 8, 1980 Eagles wakishinda 3–1 Uwanja wa Surulele, Lagos. Mara ya kwanza kabisa Tanzania kukutana na Nigeria ilikuwa katika mchezo wa kirafiki Julai 6, mwaka 1972 na kutoka sare ya 0-0, lakini mechi ya kwanza ya mashindano ilikuwa Janauri 12, mwaka 1973 katika fainali za Michezo ya Afrika.  Nigeria waliokuwa wenyeji ilishinda 2-1 mjini Lagos na kwa bahati mbaya Tanzania ilipoteza mechi zote ikifungwa pia 4-2 na Algeria na 1-0 na Ghana hivyo kushika mkia na Kundi A.
Sunday Oliseh hajawahi kukutana na Tanzania enzi zake anachezea Super Eagles
Faida moja tu katika Michezo ya Afrika mwaka huo ni wachezaji kipa Omar Mahadhi na mshambuliaji Maulid Dilunga (wote sasa marehemu) kuchaguliwa kombaini ya Afrika. Zaidi ya hapo, Tanzania na Nigeria zimekuwa zikikutana katika mechi za kirafiki na kufuzu za vijana tu na leo hatimaye miaka 35 baadaye zinakutana tena katika mchezo wa kufuzu AFCON ya 2017.

MATOKEO YA MECHI 10 ZILIZOPITA ZA TAIFA STARS

Nov 16, 2014: Swaziland 1-1 Tanzania Machi 29, 2015: Tanzania 1-1 Malawi Mei 18, 2015: Tanzania 0-1 Swaziland Mei 20, 2015: Madagascar 2-0 Tanzania Mei 22, 15: Lesotho 1-0 Tanzania Juni 7, 2015: Rwanda 2-0 Tanzania Juni 14, 2015: Misri 3-0 Tanzania Juni 20, 2015: Tanzania 0-3 Uganda Julai 4, 2015: Uganda 1-1 Tanzania Agosti 28, 2015: Tanzania 1-2 Libya
Kocha wa sasa Tanzania, Charles Boniface Mkwasa hakuwa mchezaji wa kikosi cha kwanza cha Stars timu hizo zilipokutana mara ya mwisho mwaka 1980 na mwaka 2002 alikuwa amekwishastaafu.
Kocha wa sasa Nigeria, Sunday Oliseh alikuwa ndiyo anaibuka kisoka wakati timu hizo zinakutana mara ya mwisho mwaka 1980 na mwaka 2002 licha ya Nigeria kutumia wachezaji wa ligi ya nyumbani pekee, lakini pia alikuwa amekwishastaafu soka ya kimataifa
Lakini Mshauri wa Ufundi wa Taifa Stars, Alhaj Abdallah Athumani Seif ‘King Kibadeni’ alicheza mechi dhidi ya Nigeria kwenye Michezo ya Afrika mwaka 1973. 
Sahau kuhusu historia, Tanzania inakutana na Nigeria ikiwa imetoka kucheza mechi 10 bila kushinda. Mara ya mwisho Taifa Stars ilishinda 4-1 dhidi ya Benin Oktoba 12, mwaka jana Dar es Salaam na tangu hapo imekuwa ikichezea vichapo mfulilizo na kutoa sare.
Safu ya ushambuliaji wa Nigeria leo itawategemea Anthony Ujah aliyesajiliwa na Werder Bremen ya Ujerumani Mei mwaka huu na Ahmad Musa wa CSKA Moscow ya Urusi, ambao walikuwemo kwenye kikosi cha U23 ya nchi yao kilichoitoa Tanzania Juni mwaka 2011.
Tanzania ilifungwa 3-0 mechi ya kwanza Kaduna na Musa na Ujah wote walifunga wakati mchezo wa marudano, Nigeria walipigwa 1-0 bao pekee la Thomas Ulimwengu.
Ulimwengu, Shomary Kapombe na Himid Mao leo wanakutana tena na akina Musa na Ujah Taifa tangu walipokutana mara ya mwisho Juni mwaka 2011.
Charles Boniface Mkwasa hakuwahi kukutana na Nigeria enzi zake anachezea Taifa Stars 

Mkwasa na Oliseh ni makocha wapya walioanza kazi mwezi uliopita baada ya kufukuzwa kwa Stephen Keshi Nigeria na Mholanzi Mart Nooij kwa Tanzania.
Kwa Oliseh huu ni mchezo wa kwanza kabisa kuiongoza Nigeria, wakati Mkwasa atakuwa anaiongoza Tanzania katika mechi ya tatu, baada ya awali kutoa sare ya 1-1 na Uganda mjini Kampala kabla ya kufungwa 2-1 na Libya mjini Kartepe, Uturuki wiki iliyopita.   
Ni Tanzania au Nigeria leo? Dakika 90 zitatoa majibu katika mchezo huo wa kihistoria unaokuja baada ya miaka 35.
Wachezaji wa sasa Super Eagles wanamkumbuka Thomas Ulimwengu aliwafunga walipokutana naye katika mechi ya U23 mwaka 2011

 Kabla ya mechi kuanza naomba nikusogezee first eleven ya timu zote mbili. Taifa Stars Vs Nigeria, mechi itakayopigwa muda mchache kuanzia hivi sasa uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.

Kikosi cha Taifa Stars
 


 Kikosi cha Nigeria Super Eagles




 



Hatua ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON2017) kundelea weekend hii katika viwanja tofauti tofauti barani Afrika, Nimeona nikusogeze na ratiba ya mechi za Septemba 5 na 6 za michezo kadhaa ya hatua ya hii.
Ratiba ya mechi za Jumamosi ya Septemba 5
  1. Tanzania Vs Nigeria      16:30
  2. Liberia Vs Tunisia         19:00
  3. Sudan Kusini Vs Equatorial Guinea 16:30
  4. Comoros Vs Uganda 15:00
  5. Botswana Vs Burkina Faso  17:00
  6. Sao Tome and Principe Vs Morocco 18:30
  7. Rwanda Vs Ghana 16:30
  8. Seychelles Vs Ethiopia 15:30
  9. Burundi Vs Niger 16:30
  10. Namibia Vs Senegal 16;30
  11. Mauritania Vs Afrika Kusini 20:00
  12. Guinea-Bissau Vs Congo 19:00
Ratiba za mechi ya Jumapili Septemba 6
  1. Madagascar Vs Angola 14:30
  2. Central African Republic Vs DR Congo 17:00
  3. Benin Vs Mali 18:00
  4. Kenya Vs Zambia 16:00
  5. Libya Vs Cape Verde 20:00
  6. Chad Vs Misri 17:30
  7. Mauritius Vs Msumbiji 14:00
  8. Sierra Leone Vs Ivory Coast 18:00
  9. Lesotho Vs Algeria 16:00
  10. Swaziland Vs Malawi 16:00
  11. Zimbabwe Vs Guinea 16:00
  12. Gambia Cameroon 19:30

MSHAMBULIAJI Sergio Aguero amefunga mabao mawili na kuseti matatu Argentina ikiifumua Bolivia 7-0 usiku wa kuamkia leo katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa BBVA Compass mjini Houston.
Mwanasoka Bora wa Ulaya, Lionel Messi amefunga mabaio mawili licha ya kuingia dakika 65 akitokea benchi, huku Ezequiel Lavezze akifunga mawili pia na linguine Angel Correa. Lavezzi alifunga dakika ya sita na 41, Aguero dakika ya 34 na 59, Messi dakika ya 67 na 75, wakati Correa alishindilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Bolivia dakika ya 84.
Kikosi cha Argentina kilikuwa; Romero, Casco/Roncaglia dk77, Funes Mori, Rodriguez, Mas, Pereyra, Kranevitter, Lamela/Banega dk77, Lavezzi/Correa dk81, Aguero/Tevez dk80 na Gaitan/Messi dk65.
Bolivia; Daniel Vaca, Raldes, Zenteno, Hurtado, Smedberg-Dalence/Ramallo dk65, Danny Bejarano/Cabrera dk46, Melean/Lizio dk46, Cardozo/Eguino dk46, Arce/Chumacero dk46, Martins na Veizaga.

Barcelona forward Lionel Messi also hit a brace despite only coming on in the 65th minute at the BBVA Compass Stadium


Ezequiel Lavezze, who notched a double of his own, celebrates with Aguero after the Manchester City striker's fine assist
Messi scored just two minutes after coming off the bench after rising above his marker to score a rare header

Messi rounds the goalkeeper to slot home his second of the game and give Argentina a 6-0 lead in Houston

Paris Saint-Germain forward Lavezzi strikes his volley past Bolivia captain Ronald Raldes on Friday night
Tottenham flop Erik Lamela (right) battles for the ball with Bolivia's Danny Bejarno during the first half in Texas

Angel Correa (left) celebrates with Boca Juniors striker Carlos Tevez after adding the finishing touches to the stellar vicory

One fan holds a 'Houston loves Messi' banner prior to kick off at the BBVA Compass Stadium on Friday night

.
.
Tukiwa bado kwenye headlines za Uchaguzi 2015 kuna taarifa ambazo zilikuwa zinasambaa hivi karibuni kwamba Mahakama ya kimataifa ya ICC itakuja Tanzania kusimamia Uchaguzi.
Sasa leo ripota wa millardayo.com & Amplifaya alikutana na Mkurugenzi wa huduma za kisheria wa tume ya Uchaguzi, Emmanuel Kawishe kupata majibu sahihi kuhusiana na taarifa hizo..‘Kawaida taasisi ili ije kutazama uchaguzi lazima itume barua ya maombi lakini kwa ICC bado hawajaomba na kuna category  za taasisi  zinataka kuomba kwa hiyo kama itaangukia kwenye sifa basi tutaruhusu lakini kama hiyo taasisi haina sifa haturuhusu, kwa sasa tumepokea taasisi za kimataifa kama 20 na za hapa ndani ni zaidi ya 60’
Ugonjwa wa moyo ni ugonjwa ambao unawasumbua watu wengi, kwa wanasoka ugonjwa huu mara nyingi hufanya wastaafu soka ili kulinda maisha yao, iliwahi kumtokea uwanjani Fabrice Muamba wakati anachezea klabu ya Bolton, moyo wake ulisimama kufanya kazi kwa dakika 78, kwa mapenzi ya mungu na jitihada za madaktari walifanikiwa kuokoa uhai wake.
2BF38F8D00000578-0-image-a-3_1441325338346
Tukio hilo lilihitimisha maisha ya soka ya Fabrice Muamba akiwa na umri wa miaka 24 wakati huo, sasa imemtokea kwa mcheza tennes huyo wa Marekani Jack Sock ambaye Septemba 4 mtandao wa dailymail.com umeripoti mcheza tennes kustaafu US Open.Baada ya kuanguka kwa shock katika mechi dhidi ya Ruben Bemelmans.
2BF36BBD00000578-0-image-a-5_1441325405610
Jack Shock akiwa na umri wa miaka 22, anaingia katika list ya wanamichezo waliyowahi kupata matatizo ya moyo kati kati ya mchezo.
2BF36F9D00000578-0-image-a-9_1441325515207

waliotembelea blog