Saturday, September 5, 2015


MSHAMBULIAJI Sergio Aguero amefunga mabao mawili na kuseti matatu Argentina ikiifumua Bolivia 7-0 usiku wa kuamkia leo katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa BBVA Compass mjini Houston.
Mwanasoka Bora wa Ulaya, Lionel Messi amefunga mabaio mawili licha ya kuingia dakika 65 akitokea benchi, huku Ezequiel Lavezze akifunga mawili pia na linguine Angel Correa. Lavezzi alifunga dakika ya sita na 41, Aguero dakika ya 34 na 59, Messi dakika ya 67 na 75, wakati Correa alishindilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Bolivia dakika ya 84.
Kikosi cha Argentina kilikuwa; Romero, Casco/Roncaglia dk77, Funes Mori, Rodriguez, Mas, Pereyra, Kranevitter, Lamela/Banega dk77, Lavezzi/Correa dk81, Aguero/Tevez dk80 na Gaitan/Messi dk65.
Bolivia; Daniel Vaca, Raldes, Zenteno, Hurtado, Smedberg-Dalence/Ramallo dk65, Danny Bejarano/Cabrera dk46, Melean/Lizio dk46, Cardozo/Eguino dk46, Arce/Chumacero dk46, Martins na Veizaga.

Barcelona forward Lionel Messi also hit a brace despite only coming on in the 65th minute at the BBVA Compass Stadium


Ezequiel Lavezze, who notched a double of his own, celebrates with Aguero after the Manchester City striker's fine assist
Messi scored just two minutes after coming off the bench after rising above his marker to score a rare header

Messi rounds the goalkeeper to slot home his second of the game and give Argentina a 6-0 lead in Houston

Paris Saint-Germain forward Lavezzi strikes his volley past Bolivia captain Ronald Raldes on Friday night
Tottenham flop Erik Lamela (right) battles for the ball with Bolivia's Danny Bejarno during the first half in Texas

Angel Correa (left) celebrates with Boca Juniors striker Carlos Tevez after adding the finishing touches to the stellar vicory

One fan holds a 'Houston loves Messi' banner prior to kick off at the BBVA Compass Stadium on Friday night

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog