Sunday, June 14, 2015




KIKUNDI BORA CHA MWAKA - BONGO FLEVA - YAMOTO BAND

KIKUNDI BORA CHA MWAKA TAARAB - JAHAZI MODERN TAARAB

BENDI BORA YA MWAKA - FM ACADEMIA

BENDI BORA YA MWAKA - FM ACADEMIA

MSANII BORA CHIPUKIZI - BARAKA DA PRINCE

Burudani Kidogo toka kwa Ommy Dimpoz.

WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI YA KITANZANIA (WAITE) - MRISHO MPOTO FT. FELLY KANO

WIMBO BORA WA ZOUK/RHUMBA - NITAMPATA WAPI - DIAMOND PLATINUMZ
VIDEO BORA YA MWANAMUZIKI YA MWAKA - MDOGOMDOGO - DIAMOND PLATINUMZ

MTUNZI BORA WA MWAKA- HIP HOP - JOH MAKINI
MTAYARISHAJI BORA WA MWAKA BENDI - ENRICO

WIMBO BORA WA R&B (SIKSIKII)- JUX

MTUNZI BORA WA MWAKA BENDI - JOSE MARA
RAPA BORA WA HIP HOP - KIPI SIJASIKIA ( PROF J FT. DIAMOND PLATINUMZ).

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda nae hakuwa nyuma kufuatilia, pembeni ni Katibu Mkuu wa BASATA, Godfrey Mngereza.

WIMBO BORA WA KISWAHILI BENDI (WALEWALE) - VIJANA WA NGWASUMA

WIMBO BORA WA TAARAB (MAPENZI HAYANA DHAMANA) - ISHA MASHAUZI,MWIMBAJI BORA WA KIKE TAARAB - ISHA MASHAUZI


Bao za Egypt zilifungwa kipindi cha pili baada ya kwenda 0-0 kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Group G. Bao za Egypt zilifungwa na Rami Rabia dakika ya 60, Bassem Morsi 64, Mohamed Salah 69.
Taifa Stars ilionekana kuzidiwa hasa kipindi cha pili ambapo muda mwingi ilikuwa ikishambuliwa na Wamisri walioonekana kuwa na njaa ya ushindi kwa muda wote wa mchezo kutokana na kutopata goli kwenye kipindi cha kwanza.Stars itakuwa na kibarua kigumu kwenye kundi lake kutokana na kupoteza mchezo wake wa kwanza na hali inaonekana kuwa mbaya zaidi kutokana na aina ya timu ambazo imepangwa nazo kwenye kundi moja.
Mbali na Misri, Stars ipo kundi moja na Nigeria pamoja Chad.
VIKOSI:
Kikosi cha Egypt:
Ahmed El-Shennawi, Mohamed Abdel-Shafi, Ahmed Hegazi, Rami Rabia, Hazem Emam, Ibrahim Salah, Mohamed Elneny, Mahmoud 'Kahraba', Mohamed Salah, Mohamed El-Gabbas, Ahmed Hassan Mekki 


RATIBA/MATOKEO
Sunday 14 June
Mozambique 0-1 Rwanda (Group H)
Scorers: Ernest Sugira 3
Ethiopia 2-1 Lesotho (Group J)
Scorers: Gatoch Panom 68, Saladin Saed 78 /
Cameroon 1-0 Mauritania
Scorers: Vincent Aboubakar 90
DR Congo 2-1 Madagascar (Group B)
Scorers: Mubele Ndombe 57, Kimuaki Mpela 78
Congo 1-1 Kenya (Group E)
Scorers: Prince Oniangue (pen.) 31 / Paul Were
Niger 1-0 Namibia (Group K)
Scorers: Soulemane Sacko (pen.) 39
Equatorial Guinea 1-1 Benin (Group C)
Scorers: Emilio Nsue 48 / Stephane Sessegnon 45
Togo 2-1 Liberia (Group A)
Scorers: Emmanuel Adebayor 89 / William Jebor 43
Ghana 7-1 Mauritius (Group H)

Jack Wilshere dakika ya 73 aliifungia bao la kuongoza England kwa kufanya 2-1dhidi ya Slovania. Bao la tatu lilifungwa na Nahodha wa Timu hiyo Wayne Rooney katika dakika za mwisho dakika ya 86 huku Slovenia wakifungiwa bao la pili kupitia kwa Nejc Pecnik dakika ya 84. Jack Wilshere aliisawazishia bao England kipindi cha pili dakika ya 57 na kufanya 1-1 wakiongozwa na Mwamuzi Undiano Mallenco. Kepteni wayne Rooney akitoa maelekezo Wayne Rooney akiachia shuti kaliRooney akijiuliza baada ya kuona wako nyuma ya 1-0Slovania wakishangilia bao lao 1-0 kipindi cha kwanza kilimalizika!Wayne Roone akijiuguza ankle mguu wake wa kuliaGally Cahill akichuana na Milivoje NovakovicJack wilshere akipambana Milivoje Novakovicndie aliyewafungia bao la kuongoza kipindi cha kwanza dakika 37 na kwenda mapumziko wakiwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Timu ya Taifa ya England.Kokosi cha Timu ya Taifa ya  England kilichoanza dhidi ya SloveniaKikosi cha Timu ya SloveniaRaheem Sterling akipagawa baada ya kukosa nafasi ya wazi kufunga bao
VIKOSI:
England:
Hart; Jones, Cahill, Smalling, Gibbs; Henderson, Wilshere, Delph; Sterling, Rooney, Townsend.
Slovenia: Handanovic; Brecko, Ilic, Cesar, Jokic; Mertelj, Kurtic; Kampl, Ilicic, Kirm; Novakovic.
Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya England Bw. Roy HodgsonAndros TownsendWayne Rooney akiwaongoza wenzake Ljubljana kwenye Uwanja wa Stozice Stadium


Paul Scholes, Andy Cole wakifurahia pamoja na Louis SahaWimbo kabla ya MechiManahodha wa Timu  Paul Scholes na Paul Breitner wakiingia UwanjaniKikosi cha Man United, akiwemo Paul Scholes, Edwin van der Saar, Dwight Yorke na wengine kwenye mchezo uliowakutanisha Magwiji hao wa soka na kucheza mchezo dhidi ya wajerumani Timu ya Bayern Munich(Magwiji) kwenye Uwanja wa Old Trafford.
Andy Cole akichuana na Mchezaji gwiji wa Bayern Munich Daniel Van BuytenPark Ji-Sung akituliza mpira kiuzuriLuis Saha ndie aliyeifungia Man United bao la kwanza.
Kwenye Mechi ya Hisani iliyochezwa hii Leo huko Old Trafford, Malejendari wa Manchester United wamewatwanga wenzao wa Bayern Munich Bao 4-2 mbele ya Mashabiki 50,128.
Mwaka Jana kwenye Mechi kama hii iliyochezwa huko Allianz Arena Jijini Munich, Timu hizi zilitoka Sare ya 3-3.
Katika Mechi ya Leo, Mabao ya Man United yalifungwa na Luis Saha, Dakika ya 9, Dwight Yorke, 39, Andy Cole, 45, na Jesper Blomqvist, 83, wakati yale ya Bayern yalifungwa na Zickler , Dakika ya16, na Tarnat, 42.
Luis saha akipongezwa na Andy coleMchezaji wa zamani wa Bayern Alexander Zickler akichuana na Jaap Stam Paul Scholes akiendesha Mchezaji wa zamani wa Bayern Alexander Zickler ndie aliyeipatia bao la kwanza Bayern MunichDwight Yorke aliipa bao la pili Man United na kufanya 2-1Dwight Yorke akishangilia bao lakeWakipongezanaPhille Neville akiachia shutiMichael Tarnat aliifungia bao la pili Bayern MunichWakipongezana na Paulo SergioMichael Tarnat akifurahia bao lake
Ji Sung park akibanwaAndy Cole lifunga la tatuScholes akifanya yakeQuinton Fortune akishangiliaJesper dhidi ya Robert Kovac

waliotembelea blog