Thursday, January 9, 2014


Manchester City wakiwa kwao Etihad kucheza na West Ham katika Ligi ya Capital One Cup wameanza kupata bao lao dakika ya 12, Bao likifungwa na Álvaro Negredo na kufanya 1-0 dhidi ya West Ham United.Dakika ya 26  Álvaro Negredo anapewa pasi safi na kukimbia na mpira na kuifungia tena Manchester City bao la pili.
Dakika ya 40 Yaya Toure akaongeza bao la tatu na kufanya 3-0 dhidi ya West Ham. Manchester City walienda mapumziko wakiwa wanaongoza bao 3-0. 
Kipindi cha pili dakika ya 49 Álvaro Negredo akafunga bao lake la tatu na kufanya Man City kufikisha bao 4-0. Bao la tano lilifungwa na Dzeko dakika ya 60 kwa kuusindikiza mpira ndani ya lango la
West Ham. Dakika za lala salama ya 89 Dzeko akatupia bao la 6 na kuwamaliza zaidi nguvu West Ham United na mpira kumalizika.




Mashabiki wa City wakishangilia kwa raha zao Etihad!!! Poznan........
Ushindi huu wa City ni kama tayari wamekwisha chungulia hatua inayofuata maana hata marudiano yao na West Ham kwao hapo januari 21West Ham kubadilisha matokeo ni ndoto au miujiza!!
On strike: Toure scores City's third goal of the game on their way to the semi-final rout
 
 
Familiar sight: Carlton Cole (left) and Matthew Taylor look dejected as they are forced to kick off once again
 
Back in the action: Eden Dzeko rounded off the rout to further consign West Ham's misery
 
Man in the middle: Referee Jonathan Moss took a tumble after he slipped in the first halfBalaa! Mwamuzi Jonathan Moss alianguka kipindi cha kwanza Etihad.........
 

CAPITAL ONE CUP
NUSU FAINALI:RATIBA/MATOKEO:
[Saa 4 Dakika 45 Usiku]
Jumanne Januari 7

Sunderland 2 v Manchester United 1
Jumatano Januari 8
Manchester City 6 v West Ham United 0

Marudiano
Jumanne Januari 21

West Ham United v Manchester City
Jumatano Januari 22
Manchester United v Sunderland

waliotembelea blog