Saturday, February 28, 2015

Mkurugenzi wa Biashara Zanzibar Nd. Mohamed Baucha wa kulia akimkabidhi Tunzo ya Video bora ya mwaka muziki wa kizazi kipya Nassir Hassan (Vanila) mara baada ya kuibuka mshindi, tunzo hizo zimeandaliwa na Kampuni ya Zanzibar Media Corporation LTD katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Salama Hall Bwawani Mjini Zanzibar.
Mwanamitindo marufu wa Zanzibar Farouk Abdillahi…
Mkurugenzi wa Biashara Zanzibar Nd. Mohamed Baucha wa kulia akimkabidhi Tunzo ya Video bora ya mwaka muziki wa kizazi kipya Nassir Hassan (Vanila) mara baada ya kuibuka mshindi, tunzo hizo zimeandaliwa na Kampuni ya Zanzibar Media Corporation LTD katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Salama Hall Bwawani Mjini Zanzibar.
Mwanamitindo marufu wa Zanzibar Farouk Abdillahi akimkabidhi Tunzo ya Video bora mwaka ya Taraab Bi. Saada Nassor.
Meneja wa Zenji Entertainment Seif Moh'd (kushoto) akimkabidhi tunzo Mwanamuziki Bora wa kiume wa tarabu asili Cholo Ganun.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Dkt. Mwinyihaji Makame akimkabidhi tunzo ya muandaaji bora wa Tamasha Zanzibar Music Award mwaka 2015 Mbunge wa Jimbo la Uzini na Mkurugenzi wa Redio ya Zenji FM Mohamed Seif Khatib katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Salama Holl Bwawani Mjini Zanzibar.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Dkt. Mwinyihaji Makame katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya Zanzibar Midia Corporation LTD. Picha zote na Makame Mshenga wa Maelezo Zanzibar.



Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na mmiliki wa Blog ya The Habari.com Joachim Mushi (katikati) akizungumza wakati wa mkutano na waandishi. Kutoka kushoto ni mjumbe wa TBN Mkala Fundikira, Afisa wa kampuni ya mawasiliano na matangazo ya AIMS, Shafiq Mpanja wa AIM, Ofisa Uhusiano wa NMB Doris Kilale na mjumbe wa TBN Khadija Kalili.
Katika mkutano huo TBN imesema kesho Jumamosi jioni Bloggers takriban 100 kutoka sehemu mbalimbali Nchini watakutanika katika ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar es salam kwa ajili ya hafla ya mwaka mpya itayohudhuriwa pia na wadhamini na marafiki wa Bloggers.

Ofisa Uhusiano wa NMB Doris Kilale akifafanua jambo wakati wa mkutano.

Mmiliki wa Blog ya Bongoweekeend Khadija Kalili akizungumza wakati wa mkutano.

Father Kidevu (kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano.
Baadhi ya Bloggers na waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari wakifuatilia jambo wakati wa mkutano uliofanyika katika Ofisi za Idara ya Habari Maelezo Dar es Salaam.

 


Manchester United captain Wayne Rooney speaks with Jonny Evans ahead of the game at Old Trafford
Kepteni wa Manchester United Wayne Rooney akiteta jambo na Jonny Evans juu ya Mchezo huo ambao wote wamepeana hamasa ya kuibuka na Ushindi kesho dhidi ya Sunderland.Radamel Falcao trains at Carrington as Manchester United prepare to play Sunderland in the Premier League at Old Trafford
Radamel Falcao akijifua kwenye Uwanja wa Carrington, Manchester United wakijiandaa kuikaribisha Sunderland ngland, Premier League mchezo utakaopigwa kwenye Uwanja wa Old Trafford
Louis van Gaal admits he doesn't know when Dutch striker Robin van Persie will return to action
Meneja Louis van Gaal amezungumza ila hakuweka wazi juu Robin van Persie atakaa nje muda gani ila amesema ni wiki kadhaaVan Gaal
Robin van Persie leaves the Liberty Stadium on crutches and with his right leg in a protective boot 
Robin van Persie  aliumia wiki iliyopita wakati  wa Mchezo wao na Swansea City huko kwenye Uwanja wa Liberty, Aliumia Enka.

Michezo mitano ijayo ya MANCHESTER UNITED
February 28: Sunderland (nyumbani)
March 4: Newcastle (Ugenini)
March 9: Arsenal (Nyumbani)
March 15: Tottenham (Nyumbani)
March 22: Liverpool (Ugenini)
Van Gaal speaks to the media during a press conference ahead of United's game against Sunderland
Van Gaal akiteta kwenye Vyombo vya Habari juu ya mchozo wao na  Sunderland kesho jumamosi 28
Goalkeepers David de Gea (left) and Victor Valdes (right) in action during a training session on Friday
Makipa: David de Gea na Victor Valdeswakiteta jambo hii leo wakati wa mazoezi
Luke Shaw (left) and Juan Mata (right) are expected to line up against the Black Cats at Old Trafford
Luke Shaw na Juan Mata wote wanategemewa kucheza mchezo wao wa kesho Old Trafford dhidi ya Sunderland
Marcos Rojo (left) warms up as team-mates Daley Blind and Wayne Rooney observe
Marcos Rojo na Daley Blind pamoja na Wayne Rooney kesho kuonesha makeke yao

Van Pesrsie aliumia wakati wa Mchezo na Swansea City walipopewa kichapo cha bao 2-1

Friday, February 27, 2015


www.bukobasports.comLIGI KUU ENGLAND
RATIBA
Jumamosi Februari 28

15:45 West Ham v Crystal Palace
18:00 Burnley v Swansea
18:00 Man United v Sunderland
18:00 Newcastle v Aston Villa
18:00 Stoke v Hull
18:00 West Brom v Southampton

Jumapili Machi 1
15:00 Liverpool v Man City
17:05 Arsenal v Everton

Thursday, February 26, 2015



 Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Forward Formidable Enterprises (FFE) inayoandaa tamthilia mpya na ya kisasa ya “A boys mission” Johnson Lujwangana akifafanua jambo kuhusiana na tamthilia hiyo itakayoanza kurushwa kwenye vituo vya televisheni kuanzia mwezi septemba. Wengine katika picha kutoka kulia ni Jesca haule na Aisha bakari.
Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Forward Formidable Enterprises (FFE) inayoandaa tamthilia mpya na ya kisasa ya “A boys mission” Johnson Lujwangana katikati akifafanua jambo kuhusiana na tamthilia hiyo itakayoanza kurushwa kwenye vituo vya televisheni kuanzia mwezi septemba. Wengine katika picha kutoka kushoto ni Brian daniel, Neema Mung'anya, Samuel katabazi, Jesca haule, Aisha bakari na Victor Casmir.

 Waigizaji wa tamthilia ya “A boys mission” inayoandaliwa na kampuni ya Forward Formidable Enterprises katika picha ya pamoja.
Kampuni mpya katika utengenezaji wa filamu nchini, Forward Formidable Enterprises (FFE) inayoandaa tamthilia mpya na ya kisasa ya “A boys mission” inahitaji kiasi cha Sh milioni 800 ili ikamilike.
Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya FFE, Johnson Lujwangana alisema kuwa kwa sasa wameweza kutengeneza toleo la utangulizi "pilot episode' kwa ajili ya kuonyesha nini wanakifanya huku kila kitu kikiwa tayari kwa ajili ya kurekodiwa. Johnson alisema kuwa tamthilia yao inazungumzia changamoto na suluhisho mbalimbali kwa maisha ya vijana nchini na fedha hizo zinahitajika kwa ajili ya kughalimia gharama mbalimbali za kuzalisha rasmi tamthilia hiyo.
Baadhi ya gharama hizo kwa mujibu wa Johnson ni kulipa mtayarishaji bora, kuwalipa wasanii fedha kutokana na ubora wa kazi zao, kulipia vifaa vya kisasa, kulipa sehemu bora ya kurekodi tamthilia, usafiri, chakula na gharama nyinginezo.
“Kama msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond anatengeneza video ya dakika tatu kwa Sh Milioni 60, kwa nini tamthilia ambayo kila sehemu (episode) inatumia si chini ya dakika 45 hisifikia kiwango hicho cha fedha? Alihoji Johnson. Alisema kuwa wao wanataka kuwafaidisha wasanii wao kwa kuwalipa vizuri na kuendelea kudumu katika fani na kuwataka wadhamini kujitokeza kwa wingi kusaidia mradi huo.
“Hakuna hata msanii mmoja maarufu katika tamthilia hii, lengo si kama kuwatupa wasanii hao, bali ni kupanua wigo na kuwapa nafasi wasanii wengine, nataka kizazi kipya zaidi katika tasnia ili kuendeleza kuzalisha mastaa,” alisema. Alisema kuwa katika tamthilia imeonyesha na kutoa majibu ya nini vijana wanatakiwa kufanya hapa nchini na kuachana na fikra za kukimbilia nje ya nchi  kwa kudhani kuwa ndiko kutakuwa suluhisho la matatizo yao.
Alifafanua kuwa mara baada ya kufika huko, hali inakuwa tofauti na kukutana na changamoto nyingi zaidi za maisha na kuwaza kurejea nchini. “Tamthilia ni ya kisasa zaidi kwani lengo letu pia ni kuonyeshwa nje ya nchi na kuonyesha madhari ya kuvutia ya jiji letu la Dar es Salaam na kupromoti mji wetu tofauti na hali iliyozoeleka kwani tamthilia nyingi uonyesha maisha ya vijijini,” alisema Johnson.
Alifafanua kuwa kwa kuonyesha usafi wa mji, maeneo mbalimbali ya starehe ya hapa nchini, kutawavutia hata wasanii watayarishaji wa tamthilia nje ya nchi kuja kutayarishia kazi zao hapa nchini. Alisema kuwa tamthilia hiyo ina jumla ya sehemu 12 ambapo katika kila sehemu, muigizaji mkuu ma maudhui ya tamthilia pia yanabadilika.

1
  • Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akikata  keki na wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha  Salvatrion Arm jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya  siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi  watoto hao.

2
Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akiwalisha  Keki na wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati  alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha  Salvatrion Arm jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya  siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi  watoto hao.
3
Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akigawa  madaftari kwa wanafunzi wenye mahitaji wakati alipotembelea  kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha Salvatrion Arm
 jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya siku yake ya  kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi watoto hao.
4
Zawadi
6
Picha ya pamoja

Wednesday, February 25, 2015

 

2-0 Bao la pili la As Monaco lilifungwa na Berbatov dakika ya 53 na kuwaacha Arsenal wakiduwaa.2-0Emirates!!Ooops ..3-1Watajutaa!!
Muuaji wa bao la tatu Yannick Ferreira Carrasco. Kipa wa Arsenal David Ospina akiwa hoi baada ya kushonwa baoFuraha ya Ushindi Ugenini!! 3-1Kiongozi Prince  Albert akishangilia Ushindi mwishoni!! Baada ya timu ya As Monaco kuitoa kamasi Arsenal.Olivier Giroud akiwa hana hamu na kipute!
Hoi!! Hakuna cha Sanchez!!Hali tete!!2-1Alex Oxlade akishangilia baada ya kurudisha bao moja Baadhi ya Wachezaji wa Arsenal wakipagawa baada ya kufungwa na As Monaco
Kipindi cha pili dakika ya 53 Dimitar Berbatov aliwachoma bao la pili Arsenal na kufanya 2-0 dhidi ya Arsenal. Dakika ya 90 kwenye dakika za najeruhi Alex Oxlade-Chamberlainaliwapachikia bao lao la pekee lakini Yannick Ferreira Carrasco aliyeingia kipindi cha pili alimaliza mchezo kwa kufunga bao la tatu na kufanya 3-1 na mtanange kumalizika.
Geoffrey Kondogbia salamu salaam akituma!!Arsenal hoi!!Kimagumashi tuu As Monaco wameichakaza Arsenal kwao!Geoffrey Kondogbia akishangilia bao lake baada ya kuichapa bao Arsenal katika dakika ya 38.
Prince Albert was in attendance to watch his beloved Monaco take a giant step toward reaching the quarter-finals of the competition
Prince Albert nae alikuwemo kipenzi cha Monaco..kwenye uwanja wa Emirates usiku huu!
The travelling fans were in good voice all night, with Monaco giving their supporters much to cheer about on the pitch
Mashabiki walisafiri kuja kuipa kampani ya Nguvu timu yao As Monaco kwenye Uwanja wa Emirates!!
A Monaco fan holds up a sign acknowledging the work of Arsene Wenger and Eric Di Meco for the French club
Mashabiki wa Monaco na Ujumbe wao!! Shukrani zao!!
Geoffrey Kondogbia aliifungia bao dakika ya 38 kipindi cha kwanza na kufanya As Monaco kuongoza kwa bao 1-0 dhidi ya wenyeji Arsenal katika kipindi cha kwanza. Baada ya Per Mertesacker kuugusa mpira na kuuhamisha uelekea kwa kipa wake David Ospina langoni. Hadi mapumziko Arsenal 0-1 As Monaco.Kikosi kilichoanza cha ArsenalAlex SanchezGeofrey akichuana na Cazorla Kondogbia akiachia shuti kali1-0BaoKipa wa Monaco Danijel akipagawa kwa furaha kwa kuruka juu baada ya timu yake kushindaPongezi!!Wacezaji As Monaco wakipongezana Mtatukomaa!! Viongozi nao wa Monaco yale yale...full mzukaaa...Kocha wa As Monaco Leonardo Jardim Ni Arsenal vs AS Monaco
VIKOSI:
Arsenal:
Ospina, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Coquelin, Cazorla, Sanchez, Ozil, Welbeck, Giroud.
Akiba: Szczesny, Gabriel, Rosicky, Walcott, Oxlade-Chamberlain, Monreal, Chambers.
Monaco: Subasic, Toure, Wallace Santos, Abdennour, Echiejile, Dirar, Kondogbia, Fabinho, Joao Moutinho, Martial, Berbatov.
Akiba: Stekelenburg, Kurzawa, Matheus Carvalho, Bernardo Silva, Carrasco, Alain Traore, Diallo.
Refa: Deniz Aytekin (Germany)

waliotembelea blog