Thursday, March 13, 2014


RVP and De Jong enjoying dinner together. (Instagram via @robinvanpersie)
Robin van Persie akiwa na kiungo wa Ac Milan, Nigel De Jong wiki hii kwenye chakula cha jioni. Tetesi zinasema kuwa Ac Milan wanamtaka RVP hivyo wanamtumia De Jong kumshawishi. 

Eric Cantona was arrested in London
Mshambualiji wa zamani wa Man utd, Eric Cantona akihojiwa na polisi kwa tuhuma za kumshambulia mtu mmoja jijini London. 
Nicked! Cantona steps into the police car after being arrested in north London
Cantona akipanda kwenye gari la polisi kuelekea kituoni kwa mahojiano zaidi 

More woe: Manchester City fans file through Newcastle airport after their flight was diverted
Washabiki wa Man city wakiwa kwenye airport ya Newcastle baada ya kutua kutoka Barcelona walipokwenda kuangalia mechi dhidi ya FC Barcelona. Ndege iliyowabeba washabiki hawa ililazimika kutua kwenye uwanja wa ndege wa Newcastle baada ya uwanja wa ndege wa Manchester kuwa na hali mbaya ya hewa. 
What is that? Samuel Eto'o was pictured wearing a leather shirt and a hat depicting a dog
Eto'o akiwa kwenye pozi la furaha baada ya mechi wikiendi iliyopita

Success: Erik is just 10 months old but may now get all the treatment he needs
Cristiano Ronaldo amejitolea kulipa matibabu yote ya mtoto Erik Ortiz Cruz mwenye matatizo ya ubongo. Mtoto huyu anatakiwa kufanyiwa upasuaji utakao gharimu paundi 50,240 pesa ambazo zilikuwa nyingi kwa wazazi wake, lakini Ronaldo baada ya kusikia jambo hili aliamua kujitolea. 
Money to a good cause: Erik Ortiz Cruz and his mother in hospital together
Erik Ortiz Cruz akiwa na mama yake 
Care: Erik was born with a neurological disorder and he desperately needed the operation
Promise: Ronaldo said that he would celebrate with children who have Leukaemia if he won the Ballon d'Or
High speed: Beckham rides a motorbike as part of filming for a new advert that took place in Rio
David Beckam akiwa anaendesha pikipiki jijini Rio nchini Brazil wakati akifanya tangazo 

Striker pose: Liverpool's Daniel Sturridge enjoyed his Sunday off in this all-white gear
Daniel Sturridge akiwa kwenye pozi nyumbani kwake baada ya kutoka mazoezini. Sturridge anategemewa kuongoza mashambulizi wikiendi hii kwenye game la Man utd vs Liverpool. 

Star day out: (from left to right) Dylan Hartley, Rio Ferdinand, Owen Farrell and Michael Carrick pose with the triple crown trophy after England's victory over Wales
Dylan Hartley, Rio Ferdinand, Owen Farrell na Michael Carrick akiwa kwenye picha ya pamoja baada ya England kushinda dhidi ya Wales kwenye rugby












1122 
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Edward Lowasa na Anna Tibaijuka wakimpongeza Mwenyekiti Mpya wa Bunge maalum la Katiba Bw. Samwel Sitta Mara baada ya Kutangazwa Kuwa Mshindi wa Nafasi hiyo kwa Idadi ya Kura 487 dhidi ya Hashim Rungwe aliyepata kura 69 na kura zilizoharibika  ni 7 DSC04961 
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na aliyekuwa Mgombe katika nafasi ya Uenyekiti Bw. Hashim Rungwe akinadi Sera zake kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kabla ya zoezi la Upigaji kura kwa nafasi hiyo jana Mjini Dodoma.
DSC05056 
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Edward Lowasa akiweka karatasi ya Kura yake ya Kumchagua Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba jana Mjini Dodoma 
IMG_3875 
Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Wakipiga Kura Kwa ajili ya Nafasi Ya Mwenyekiti wa Bunge Hilo Iliyokuwa Ikiwaniwa na Bw. Edward Lowasa na Bw. Hashim Rungwe jana Mjini Dodoma.

_MG_0354

WAKATI zoezi la upigaji kura kuchagua, mgeni rasmi, waimbaji na mikoa itakayofanyika tamasha la Pasaka mwaka huu, baadhi ya mameneja  wa viwanja vya michezo hapa nchini wamelizungumzia tamasha hilo kwamba ingekuwa vema lingefanyika kwenye mikoa yao.
Kwa kutambua umuhimu wa waumini,  mashabiki na wadau wa nyimbo za Injili hapa nchini, Kampuni ya Msama Promotions kupitia Mkurugenzi wake, Alex Msama imeyakabidhi masuala hayo mikononi mwa wadau hao ambao ndio watachagua wanachokitaka katika tamasha hilo la kumuimbia na kumtukuza Mungu kupitia waimbaji mbalimbali.
Msama amendelea kuwakumbusha watanzania namna ya kuwapigia kura waimbaji, mgeni rasmi na mikoa ambako ukitaka kumpigia mwimbaji andika Pasaka acha nafasi kisha andika jina la mwimbaji unatuma kwenda namba 15327.
Pia kwa mgeni rasmi  andika neno Pasaka acha nafasi kisha andika jina la mgeni rasmi unayetaka kumpigia kura tuma kwenda15327, wakati mikoa unaandika Pasaka acha nafasi jina la mkoa unaotaka kuupigia kura tuma kwenda namba 15327 piga kura uwezavyo ili upate mwimbaji na mgeni rasmi na mkoa unaopenda tamasha lifanyike.
Aidha Msama alitoa wito kwa mashabiki kupiga kura kwa wingi kuchagua maeneo hayo matatu yatakayofanikisha tamasha hilo, kwani litafanikiwa baada ya wao kufanya hivyo.
Meneja wa uwanja wa Majimaji, ambaye ni Katibu Msaidizi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma, Nebret Mwinisongole anasema Pasaka ni sikukuu ambayo inaelezea jinsi mkombozi wetu Yesu Kristo alivyoshinda mateso na kueleza kwamba tuendelee kuwa na imani naye kupitia sikukuu hiyo.
Mwinisongole anasema Watanzania  waendelee kudumisha amani ya nchi ambayo tumepewa na Mungu ambayo inatakiwa idumishwe zaidi na viongozi waliopo.
Katibu huyo alifika mbali zaidi kwa kueleza kwamba, Mkoa wa Ruvuma ndio mkoa unaoongoza kwa kuzalisha chakula kingi hapa nchini, hivyo kwa neema hiyo wanawakaribisha waimbaji  mbalimbali wa Kimataifa mkoani kwao kujionea vivutio vilivyoko mkoani humo.
“Mashabiki wa muziki wa Injili waje kwa wingi kusikiliza maneno ya Mungu kupitia waimbaji mbalimbali watakaokuwepo kwenye tamasha hilo,” alisema Mwinisongole.      
Meneja wa uwanja wa Samora mkoani Iringa, Lazaro Manila anasema mashabiki wa Mkoa wa Iringa kupiga kura kwa wingi ili mkoa huo upate nafasi ya Tamasha hilo kufanyika mkoani humo.
Manila anasema iwapo, Iringa watapata nafasi ya kuchaguliwa kufanyika kwa tamasha hilo mkoani kwao itasaidia kuongeza chachu ya waimbaji wazawa kuongeza juhudi za kufikia walipo wenzetu waliopiga hatua.
Meneja wa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Rich Urio anasema matamasha yanayoandaliwa na Msama Promotions ni bora na ni muhimu  kwa sababu yanazungumzia amani na kuongeza hofu ya Mungu.
Urio anasema mkoa wa Dar es Salaam hasa uwanja wa Taifa ni eneo muhimu ambalo linakusanya idadi kubwa ya waumini, hivyo anatoa wito kwa wakazi wa mkoa huo kupiga kura kwa wingi kuuchagua mkoa huo.
Urio anasema Msama afanikishe tamasha hilo katika mikoa mingi zaidi kwa siku moja Jumapili ya Pasaka kwa sababu ndio siku muhimu duniani.
“Matamasha yanayoandaliwa na Msama Promotions yana mvuto zaidi hasa wanavyowashirikisha waimbaji kutoka nje kama Solly Mahlangu na Ambassodors of Christ  ambao wanafikisha neno la Mungu inavyotakiwa,” alisema Urio.
Urio anasema viingilio vinavyopangwa na kampuni hiyo ni sahihi kwa sababu haviwaumizi waumini wanaohudhuria kwenye matamasha hayo.

SIMBASC21 

WEKUNDU wa Msimbazi Simba wamelaumu timu zinazoingia kwa kukamia wapinzani wao katika mitanange ya lala salama ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2013/2014.
Akizungumza na mtandao huu, afisa habari wa Simba Asha Muhaji amesema hali ya kukamiana uwanjani inaharibu ubora wa mpira katika mechi mbalimbali.
“Kuna wakati unaweza kushangaa, mchezaji fulani akawa na kazi ya kumkaba kwa nguvu mshambuliaji wenu. Mfano Amissi Tambwe kwa Simba, badala ya kucheza mpira kwa ufanisi, yeye anacheza kimabavu na kumjeruhi mwenzake. Sasa mpira kama huu hauna maana”. Alisema Asha.
Asha aliongeza kuwa kukamia mechi kwa kucheza mpira mzuri hakuna tatizo kwani kila timu kwa sasa inahitaji ushindi, lakini kukamiana kwa kuumizana si jambo zuri.
“Kuna timu zinahitaji ubingwa au nafasi nzuri za juu, vilevile kuna timu zinakwepa kushuka daraja. Mazingira haya yameifanya ligi iwe ngumu sana. Lakini tatizo ni uchezaji wa ubabe kwa baadhi ya timu. Kuumia ni kawaida katika mpira, lakini kuna mazingira mengine yanatokana na kukamiana”. Alisema Asha.

ks flu 
Msafara wa Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo asubuhi umeondoka jijini Dar es salaam kuelekea mjini Morogoro tayari kwa mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar siku ya jumamosi, mechi itakayopigwa kwenye dimba la Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Young Africans inayonolewa na makocha Hans Van der Pluijm kutoka Uholanzi, Charles Mkwasa na Juma Pondamali wazawa jana jioni ilifanya mazoezi katika Uwanja wa Kaunda ikiwa ni masaa 10 baada ya kuwasili kutokea jijini Cairo ilipocheza dhidi ya Al Ahly katika mashindano ya Klabu Bingwa barani Afrika.
Kuhusu mchezo wenyewe Kocha Hans amesema haifahamu vizuri timu ya Mtibwa Sugar lakini kwa kushirikiana na wenzake wamejiandaa kuhakikisha timu inafanya vizuri na kupata pointi 3 katika mchezo huo, yaliyotokea Misri yameshapita sasa kilichobakia ni kutetea Ubingwa wa Ligi Kuu.

PG4A1841
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Tovuti ya Taasisi ya Figo nchini baada ya kuhutubia katika  maadhimisho ya kilele cha wiki ya Afya ya figo kwenye viwanja wa Nyerere mjini Dodoma  Machi 13, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)PG4A1894 
Waziri Mkuu, MIzengo Pinda akizungumza  na watalaamu wa magonjwa ya figo katika maadhimisho  ya kilele cha wiki ya Afya  ya Figo, kwenye viwanja vya Nyerere mjini Dodoma Machi 13, 2014.Kutoka kushoto ni  Dr. Tulizo Sanga wa Muhimbili, Kulindwa Kasubi wa Muhimbili na Regina Ringo  wa Hospitali ya Mirembe ya Dodoma. Katikati ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mwenyekiti wa  wa Taasisi ya Taifa ya Figo Tanzania Jaji Frederick Werema na kushoto kwake ni Dr. Linda Ezekiel kutoka Wizara ya Afya. (Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)PG4A1924 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na baadhi ya viongozi baada ya kuhutubia  katika maadhimisho ya kilele cha wiki ya Afya ya  Figo kwneye  viwanja vya Nyerere mjini Dodoma Machi 13, 2014. Kushoto ni Naibu Waziri  wa Afya, Dr. Kebwe Stephen Kebwe na kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mwanasheria Mkuu wa serikali na  Mwenyekiti wa Taasisi ya Taifa ya Figo, Jaji Frederick Werema.

 

loga maelezo 
Kocha wa Simba SC, Mcroatia, Dravko Logarusic akitoa maelekezo kwavijana wake
Na Baraka Mpenja wa Fullshangwe, Dar es salaam
0712461976 au 0764302956
WEKUNDU wa Msimbazi Simba wamelaumu timu zinazoingia kwa kukamia wapinzani wao katika mitanange ya lala salama ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2013/2014.
Akizungumza na mtandao huu, afisa habari wa Simba Asha Muhaji amesema hali ya kukamiana uwanjani inaharibu ubora wa mpira katika mechi mbalimbali.
“Kuna wakati unaweza kushangaa, mchezaji fulani akawa na kazi ya kumkaba kwa nguvu mshambuliaji wenu. Mfano Amissi Tambwe kwa Simba, badala ya kucheza mpira kwa ufanisi, yeye anacheza kimabavu na kumjeruhi mwenzake. Sasa mpira kama huu hauna maana”. Alisema Asha.
 

Pix-1_1ee2f.jpg
Mtendaji Mkuu Bodi ya Filamu, Bi. Joyce Fisoo akiwasilisha Rasimu ya awali ya Sera ya Filamu wakati wa moja ya kikao cha wadau cha kujadili rasimu ya awali ya Sera ya Filamu kilichofanyika hivi karibuni. Kulia ni Mkurugenzi msaidizi kutoka Idara ya Sera na Mipango Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bi. Verediana Mushi, na Kushoto ni mdau wa filamu Bw. John Kitime.
Pix-2_12697.jpg
Baadhi ya wadau mbalimbali wa tasnia ya filamu wakijadiliana wakati wa kikao cha wadau cha kujadili rasimu ya awali ya Sera ya Filamu kilichofanyika hivi karibuni.
SERIKALI ya Tanzania imejipanga kuendeleza kwa dhati tasnia ya filamu nchini ili kuwa chanzo kikubwa cha ajira kwa wasanii na pia kuongeza uchumi wa nchi. Ni dhahiri kuwa sekta ya filamu ni njia madhubuti ya kutambulisha jamii kiutamaduni, kisiasa na kijamii na pia katika kukuza na kuongeza fursa za nchi katika uwekezaji na utalii.
Filamu na makala za filamu zikitumika vizuri zitaweza kuhamisha na kuondoa tofauti mbalimbali zilizopo ndani ya jamii na hivyo kuongeza umoja na mshikamano baina ya watu wa makabila na watu wenye asili mbalimbali, hivyo kuutambulisha utamaduni wa Mtanzania. Kazi na shughuli za Filamu nchini zimekuwa zikisimamiwa na Sera ya Utamaduni ambayo ilitayarishwa na kupitishwa mwaka 1997 pamoja na Sheria ya Filamu na Michezo ya Kuigiza na 4 ya mwaka 1976.
Katika kipindi cha kuanzia mwaka 1997 hadi mwaka 2013 kumekuwepo na maendeleo makubwa katika Tasnia ya Filamu nchini hivyo kuisababishia Sera ya Utamaduni ya Mwaka 1997 kutokidhi baadhi ya mahitaji ya tasnia ya filamu na kupelekea mahitaji ya kurekebisha Sera ya Utamaduni kama Sera mama na kutungwa kwa Sera ya Filamu.
Mnamo Desemba 12 mwaka 2013, wadau mbalimbali kutoka Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Bodi ya Filamu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi walishiriki katika kikao cha wadau cha kujadili rasimu ya awali ya Sera ya Filamu.
Wadau wengine ni Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Wizara ya Kazi na Ajira, BASATA, Idara ya Sanaa na Sanaa za Maonesho, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mamlaka ya Mapato Tanzania, Mtandao wa Muziki, Swahili Films, ROSAF, TAPAF, Umoja wa Mashirikiano wa Filamu, Filamu Cental, Chama cha Hakimiliki Tanzania, Shirikisho la Sanaa za Maonyesho pamoja na G&S Associates and Advocates.
Wizara inapenda kuujulisha umma kuwa imekua na inaendelea kushirikiana na wadau wa Filamu kwa kila hatua ili hatimaye ifanikishe azma ya kuwa na nyaraka zote muhimu katika kuendeleza, kusimamia, kuratibu na kukuza tasnia ya filamu nchini.
 

Picha zilizonaswa na mtambo wa satellite

Serikali ya Uchina imechapisha picha zilizonaswa na mtambo wake wa satelite zikionyesha mabaki ya kitu kipana kikielea katika bahari ya Kusini mwa Uchina.
Picha hizo zilipigwa siku ya Jumapili, saa ishirini na nne baada ya ndege ya abiria ya Malaysia kutoweka ikiwa na abiria 239, lakini haijabainika ikiwa vifaa hivyo ni vya ndege hiyo.
Huku ikiwa na raia wake 154, ambao walikuwa abiria kwenye ndege hiyo ya Malaysia, serikali ya Uchina imetuma mitambo kumi ya satellite kusaidia katika harakati za kutafuta ndege hiyo.
Picha za vifaa hivyo vitatu, ambavyo moja ina upana wa takriban mita 24 kwa 22, zilichukuliwa siku ya Jumapili, siku moja tu baada ya ndege hiyo kupotea, lakini zilichapishwa siku ya Jumatano.
Picha zilizonaswa na mtambo wa satellite
Ubawa wa ndege hiyo iliyopotea ina upana wa mita sitini na moja.
Picha hizo za satellite zimeweka vifaa hivyo takriban maili mia moja kutoka kwa njia iliyotarajiwa kutumiwa na ndege hiyo na sio mbali kutoka kwa kisima kimoja cha mafuta, ambako mfanyakazi mmoja aliripoti kuona kitu kilichokuwa kikichomeka angani siku ya Jumamosi asubuhi.
Lakini siku chache zilizopita, kumekuwa na fununu kadhaa kuhusiana hatma ya ndege hiyo lakini zote zimekuwa uongo.
Makundi ya uokozi hiyo vile vile wanatafuta mabaki ya ndege hiyo katika maji inayokaribiana na rasi ya Malaysia, kwa sababu wanaamini kuwa ndege hiyo ya Malaysia ilibadili mkondo na kuelekea Magharibi.



Read lads? Manchester City players were at the Nou Camp last night preparing for mission impossible
Sergio Aguero ndiye mfungaji hodari wa klabu ya Man city, kwenye mchezo wa kwanza dhidi ya Barcelona hakuweza kucheza kutokana na majeraha ya mguu. Aguero amerudi dimbani wiki mbili zilizopita akicheza mechi za ligi na FA cup. Muda aliyopata kwenye mechi hizi hakika ni mazoezi tosha kuweza kuwakabili Barcelona usiku wa leo. Ubutu wa mabeki wa Barcelona inaweza kuwa ni njia rahisi kwa Aguero kuiwezesha timu yake kupata magoli na hata kuweza kusonga mbele katika michuano hii. Mbali ya Aguero, Man city pia itawategemea Yaya Toure, Nasri na Silva wakiwa kama wachezaji tegemezi kwenye sehemu ya kiungo, ambapo ni lazima wacheze kwa juhudi na uwezo wote ili kupunguza umiliki wa mpira wa Barcelona. Mchezo uliyopita ulikwisha kwa Barcelona kushinda goli 2-0, hivyo ili Man city wasongembele wanatakiwa kushinda zaidi ya magoli 2. 

Kwa upande wa Barcelona, ingawa ni timu inayoonekana kama inachechemea kwenye ligi, bado ni timu tishio barani Ulaya na itashuka dimbani usiku huu ikiwa na machungu ya kufungwa kwenye mechi ya ligi jumamosi iliyopita. Ni timu chache sana ambazo zimeweza kuifunga Barcelona kwenye uwanja wake wa nyumbani ikiwa ni jambo ambalo si jepesi kutokana na umahiri wa wachezaji wake akiwemo Messi, Neymar, Xavi, Cesc na Iniesta. Mazingira haya yanaifanya Man city kuwa kwenye wakati mgumu sana kufikia malengo yao ya kufika hatua ya robo fainali. Ili kujua kitakachotokea usiku wa leo endelea kutembelea Michezoupdates. 
High spirits: Manuel Pellegrini gives a wave to the fans on his return to SpainGearing up: Manchester City players must overturn a two-goal deficit in BarcelonaStar quality: Sergio Aguero (left), Samir Nasri and Yaya Toure (right) could hold the key to City's successMain man: Aguero needs to get back to scoring ways for City to reach the last eight of the Champions LeagueReturning hero: Toure (right) will play at the Nou Camp for the first time since leaving the Spanish championsUp for the cup: The Nou Camp is an imposing setting for the City stars to shine in


Practice makes perfect: Luis Suarez tries out his new knitted football boots in Liverpool trainingGetting stuck in: Suarez isn't afraid to mix it up as he demos the world's first knitted boot during trainingCrunch: Team-mate Victor Moses refuses to give Suarez an easy ride despite his new footwearTripped: The skillful striker was also the victim of a late challenge by veteran defender Kolo ToureSharp shooter: Suarez is the Premier League's top goalscorer this season with 24 in 23 gamesDrought: Suarez has only scored one goal in his last five Premier League gamesSkills: Suarez shows off his close control to a captivated audience during Liverpool trainingClose-up: The boots appeared to stand up to the test of a full-blooded training session with ease

waliotembelea blog