Thursday, March 13, 2014

PG4A1841
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Tovuti ya Taasisi ya Figo nchini baada ya kuhutubia katika  maadhimisho ya kilele cha wiki ya Afya ya figo kwenye viwanja wa Nyerere mjini Dodoma  Machi 13, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)PG4A1894 
Waziri Mkuu, MIzengo Pinda akizungumza  na watalaamu wa magonjwa ya figo katika maadhimisho  ya kilele cha wiki ya Afya  ya Figo, kwenye viwanja vya Nyerere mjini Dodoma Machi 13, 2014.Kutoka kushoto ni  Dr. Tulizo Sanga wa Muhimbili, Kulindwa Kasubi wa Muhimbili na Regina Ringo  wa Hospitali ya Mirembe ya Dodoma. Katikati ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mwenyekiti wa  wa Taasisi ya Taifa ya Figo Tanzania Jaji Frederick Werema na kushoto kwake ni Dr. Linda Ezekiel kutoka Wizara ya Afya. (Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)PG4A1924 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na baadhi ya viongozi baada ya kuhutubia  katika maadhimisho ya kilele cha wiki ya Afya ya  Figo kwneye  viwanja vya Nyerere mjini Dodoma Machi 13, 2014. Kushoto ni Naibu Waziri  wa Afya, Dr. Kebwe Stephen Kebwe na kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mwanasheria Mkuu wa serikali na  Mwenyekiti wa Taasisi ya Taifa ya Figo, Jaji Frederick Werema.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog