Thursday, November 13, 2014



Katibu Bodi ya Filamu Tanzania, Bi. Joyce Fissoo akiongea na wahusijka wa Kampuni ya Kajala 

Entertainment wakati alipofanya nao mkutano leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya 

Mkurugenzi wa Kampuni ya Kajala Entertainment, Kajala Masanja akijitetea mbele ya Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania wakati aliitikia wito wa Ofisi ya Bodi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuelezwa juu ya Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu yake ya Mbwa Mwitu.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Kajala Entertainment, Kajala Masanja akijitetea mbele ya Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania wakati aliitikia wito wa Ofisi ya Bodi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuelezwa juu ya Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu yake ya Mbwa Mwitu.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Kajala Entertainment, Kajala Masanja akiweka sahihi ya kukubali kufanya marekebisho katika filamu yake pamoja na malipo ya faini mbele ya Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania wakati aliitikia wito wa Ofisi ya Bodi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuelezwa juu ya Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu yake ya Mbwa Mwitu.

Meneja ambaye pia ni Mratibu wa Kampuni ya Kajala Entertainment, Bi. Leah Mwendamseke akiweka sahihi katika fomu maalum ya kukubali kufanya marekebisho katika filamu iliyokaguliwa na Bodi hiyo mbele ya Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania wakati aliitikia wito wa Ofisi ya Bodi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuelezwa juu ya Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu ya Mbwa Mwitu.

Katibu Bodi ya Filamu Tanzania, Bi. Joyce Fissoo akiagana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Kajala Entertainment wakati alipofanya naye mkutano leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwapa Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu ya Mbwa Mwitu.(PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA, MAELEZO-DSM)

ARSENE WENGER APAGAWA!! MESUT OZIL NJE KWA WIKI 7!

Arsenal wamepata pigo baada kuibuka habari kuwa Kiungo wao kutoka Germany Mesut Ozil anahitaji Wiki 7 zaidi ili apone vizuri Goti lake.
Ozil aliumia mwanzoni mwa Oktoba wakati Arsenal inafungwa 2-0 na Chelsea na ilitegemewa atarejea Uwanjani mwishoni mwa Mwezi huu lakini hii Leo mwenyewe amethibitisha kuwa hataweza kucheza hadi Mwakani.
Hii Leo Ozil ametoboa: “Niko nje kwa Wiki 5 na ntakuwa nje kwa Wiki nyingine 7!”
The France striker (right) has returned early to training after suffering a serious ankle injury in August
Hali hii itampa kiwewe zaidi Meneja Arsene Wenger ambae pia anao Majeruhi wa muda mrefu Olivier Giroud na Mathieu Debuchy huku Sentahafu Laurent Koscielny akiungana nao baada kupata tatizo la Musuli.
Hata hivyo, habari njema kwa Arsenal ni kupona kwa kasi kwa Straika wao Olivier Giroud ambae alivunjika Mguu kwenye Mechi na Everton Mwezi Agosti.

Giroud alifanyiwa operesheni Agosti 27 lakini hivi sasa ameanza tena Mazoezi mepesi.
Mechi inayofuata kwa Arsenal ni Novemba 22 Uwanjani Emirates dhidi ya Manchester United.

waliotembelea blog