Thursday, January 16, 2014

LEO FIFA imetangaza Listi ya Ubora Duniani na hakuna mabadiliko yeyote kwa Timu 25 za Juu na Spain, Mabingwa wa Dunia, wakibakiNambari Wani huku Tanzania ikipanda Nafasi mbili na sasa iko ya 118.
Kwa Nchi za Afrika, Ivory Coast ndio iko Nafasi ya juu kabisa ikikamata Nafasi ya 17.
Listi nyingine ya Ubora Duniani itatolewa Tarehe 13 Februari 2014.

20 BORA:
1        Spain
2        Germany
3        Argentina
4        Colombia
5        Portugal
6        Uruguay
7        Italyl
8        Switzerland
9        Netherlands
10      Brazil
11      Belgium
12      Greece
13      England
14      USA
15      Chile
16      Croatia
17      Côte d'Ivoire
18      Ukraine
19      Bosnia and Herzegovina
20      France
ILIPO TANZANIA:
116    Latvia          
117    Malawi
118    Tanzania [Imepanda Nafasi 2]
119    Sudanl
120    Mozambique
121    New Caledonia




Mwonekanao wa daraja kabula alijazinduliwa
Mkuu wa mkoa wa KAGERA, Kanali mstaafu FABIAN MASSAWE akipunga mkono kabla ya kukata UTEPE
Baada ya kuzindua DARAJA Mkuu wa mkoa wa KAGERA, Kanali mstaafu FABIAN MASSAWE




Viongozi mbalimbali wakishuhudia uzinduzi huo uliofanyika leo
kwenye uzinduzi wa Daraja la Mto kanoni
Mkuu wa mkoa wa KAGERA Kanali mstaafu Fabian Massawe akitoa neno kwa wananchi wa bukoba mjini
Mkuu wa mkoa wa KAGERA Kanali mstaafu Fabian Massawe  akitoa pongezi Mkuu wa mkoa wa KAGERA Kanali mstaafu FABIAN MASSAWE akitoa pongezi kwa wananchi wake
Manispaa ya Bukoba.wananchi nao hawakuwa nyuma
Meya wa Manispaa ya Bukoba, Anatory Amani

 
baada ya uzinduzi Mkuu wa mkoa wa KAGERA Kanali mstaafu Fabian Massawe wanapita juu ya daraja na viongozi mbali mbali






WENYEJI South Africa jana wametoka Sare ya Bao 1-1 na Mali katika Mechi ya Kundi A la Orange CHAN 2014, Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza ndani ya Nchi zao, iliyochezwa jana jioni huko Cape Town Stadium, Mjini Cape Town.
South Africa ndio waliopata Bao mwanzoni kwa Penati ya Bernard Parker kwenye Dakika ya 25 na Mali kusawazisha katika Dakika ya 54 kwa Bao la Sidibe.

Timu hizi zilishinda Mechi zao za kwanza kwa South Africa kuichapa Mozambique 3-1 na Mali kuifunga Nigeria Bao 2-1 na ndio zinakamata Nafasi mbili za juu za Kundi A huku South Africa wakiwa kileleni.



MSIMAMO:
KUNDI A
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
South Africa
2
1
1
0
4
2
2
4
2
Mali
2
1
1
0
3
2
1
4
3
Nigeria
2
1
0
1
5
5
0
3
4
Mozambique
2
0
0
2
3
7
-4
0
KUNDI B
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Uganda
1
1
0
0
2
1
1
3
2
Zimbabwe
1
0
1
0
0
0
0
1
2
Morocco
1
0
1
0
0
0
0
1
4
Burkina Faso
1
0
0
1
1
2
-1
0
KUNDI C
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Libya
1
1
0
0
2
0
2
3
2
Ghana
1
1
0
0
1
0
1
3
3
Congo
1
0
0
1
0
1
-1
0
4
Ethiopia
1
0
0
1
0
2
-2
0
KUNDI D
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Congo DR
1
1
0
0
1
0
1
3
2
Gabon
1
0
1
0
0
0
0
1
3
Burundi
1
0
1
0
0
0
0
1
4
Mauritania
1
1
0
0
0
1
-1
0
CHAN 2014
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Januari 11
South Africa 3 Mozambique 1
Mali 2 Nigeria 1
Jumapili Januari 12
Zimbabwe 0 Morocco 0
Uganda 2 Burkina Faso 1
Jumatatu Januari 13
Ghana 1 Congo 0
Libya 2 Ethiopia 0
Jumanne Januari 14
Congo DR 1 Mauritania 0
Gabon 0 Burundi 0
Jumatano Januari 15
South Africa 1Mali 1
Nigeria 4 Mozambique 2
Alhamisi Januari 16
1800 Zimbabwe v Uganda [Athlone Stadium]
2100 Burkina Faso v Morocco [Athlone Stadium]
Ijumaa Januari 17
1800 Ghana v Libya [Free State Stadium]
2100 Ethiopia v Congo [Free State Stadium]
Jumamosi Januari 18
1800 Congo DR v Gabon [Peter Mokaba Stadium]
2100 Burundi v Mauritania [Peter Mokaba Stadium]
Jumapili Januari 19
2000 Nigeria v South Africa [Cape Town Stadium]
2000 Mozambique v Mali [Athlone Stadium]
Jumatatu Januari 20
2000 Burkina Faso v Zimbabwe [Athlone Stadium]
2000 Morocco v Uganda [Cape Town Stadium]
Jumanne Januari 21
2000 Ethiopia v Ghana [Free State Stadium]
2000 Congo v Libya [Peter Mokaba Stadium]
Jumatano Januari 22
2000 Burundi v Congo DR [Peter Mokaba Stadium]
2000 Mauritania v Gabon [Free State Stadium]

waliotembelea blog