Friday, April 17, 2015


Van Gaal-Kocha wa Man UnitedMeneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema Manchester United ni tishio licha ya kukabiliwa na Majeruhi kadhaa kitu ambacho Meneja wa Man United Louis van Gaal amesema kitatoa nafasi kwa Wachezaji wengine.
Hii itakuwa mara ya pili kwa Jose Mourinho na Louis van Gaal, ambao walikuwa pamoja huko Barcelona Miaka 20 iliyopita wakati Van Gaal akiwa Meneja na kumpa nafasi Mourinho kuwa Msaidizi wake, kukutana Nchini England baada ya kutoka Sare 1-1 Old Trafford Mwezi Oktoba.
Mourinho, ambae Timu yake Chelsea ipo Pointi 8 mbele ya Timu ya 3 Man United na pia wana Mechi 1 mkononi, amesema: "Kikosi chao kinashangaza. Kila Wiki naangalia Vikosi vya Wapinzani na Wiki hii nilishangazwa na Wachezaji waliokuwa nao."

Mourinho, akiongea na Wanahabari, aliongeza: "Mnataka nitaje Wachezaji wao? Mata, Di Maria, Januzaj, Rooney, Van Persie, Herrera, Carrick, Blind, Fellaini...Mabeki? Rafael na Valencia, Luke Shaw Beki wa Kushoto, Sentahafu Smalling.....ndio watawakosa Evans na Jones, lakini wapo Blackett, McNair. Washacheza hawa. Van Gaal ni Kocha bora kuendeleza Vijana!"
Mourinho atamkosa Straika wake mkubwa Diego Costa ambae anasumbuliwa na Musuli za Pajani.
Nae Van Gaal, akiongea na Wanahabari, amekiri kukosekana kwa Wachezaji wake Majeruhi, hasa Blind na Carrick, kunaweza kumfanya amrudishe Kepteni Wayne Rooney kucheza kama Kiungo Mkabaji na hii itafungua njia kwa Robin van Persie kuanza kama Straika baada ya kuwa nje kwa Miezi Miwili akiuguza Enka yake.
Lakini habari njema kwa Van Gaal ni kupona kwa Fulbeki wa Kushoto Luke Shaw ambae alikuwa Majeruhi kwa Wiki 6.
Akizungumzia mbio za Ubingwa, Van Gaal amesema ingawa upo uwezekano kwao kutwaa Ubingwa lakini hali halisi ni kuwa Chelsea ndio wana nafasi kubwa kushinda.
Hata hivyo, Van Gaal amesisitiza kuwa wao hawakati tamaa na wataipa presha Chelsea hadi mwisho.
Kwenye Mechi hii muhimu ya Ligi Kuu England itakayochezwa Stamford Bridge Jumamosi, Man United itawakosa Wachezaji muhimu Wanne ambao ni Michael Carrick, Marcos Rojo, Daley Blind na Phil Jones.
Lakini Mourinho amesisitiza Kikosi cha Louis van Gaal, ambacho kimeshinda Mechi zao 6 zilizopita, kina Wachezaji wengi na ni rahisi kuziba mapengo.


LA LIGA - RATIBA
Ijumaa Aprili 17
21:45 Levante vs Espanyol
Jumamosi Aprili 18
17:00 Barcelona vs Valencia
19:00 Deportivo La Coruna vs Atletico Madrid
21:00 Real Madrid vs Malaga
23:00 Athletic Bilbao vs Getafe
Jumapili Aprili 19
13:00 Rayo Vallecano vs Almeria
18:00 Granada vs Sevilla
20:00 Villarreal vs Cordoba
22:00 Eibar vs Celta Vigo
Jumatatu Aprili 20
21:45 Elche vs Real Sociedad

Mbio za Ubingwa wa La Liga huko Spain sasa zinaelekea ukingoni zikiwa zimebaki Mechi 7 na Vinara Barcelona wakiwa Pointi 2 tu mbele ya Real Madrid wakati Mabingwa Watetezi Atletico Madrid wakiwa wametupwa Nafasi ya 3 Pointi 7 nyuma ya Real.
Kwenye Ufungaji Bora, ambako Bingwa hutwaa Tuzo ya Pichichi, Cristiano Ronaldo, ambae ndie Mchezaji Bora Duniani, yuko mbele ya Lionel Messi kwa Bao 4.

MSIMAMO ULIVYO KWA SASA: BARCA WAKO JUU!
Standings
#
Team
GP
W
D
L
GF
GA
GD
PTS
1
Barcelona
31
24
3
4
87
19
68
75
2
Real Madrid
31
24
1
6
92
27
65
73
3
Atlético Madrid
31
20
6
5
59
25
34
66
4
Valencia
31
19
8
4
56
23
33
65
5
Sevilla
31
19
5
7
57
36
21
62
6
Villarreal
31
14
9
8
44
30
14
51
7
Málaga
31
13
7
11
34
35
-1
46
8
Espanyol
31
11
8
12
37
38
-1
41
9
Athletic
31
11
7
13
28
37
-9
40
10
Celta Vigo
31
10
9
12
36
34
2
39
11
Real Sociedad
31
9
11
11
36
42
-6
38
12
Rayo
31
12
2
17
36
59
-23
38
13
Getafe CF
31
10
6
15
28
41
-13
36
14
Eibar
31
8
7
16
28
43
-15
31
15
Elche
31
8
7
16
26
54
-28
31
16
Deportivo
31
6
10
15
27
49
-22
28
17
Almería
31
7
7
17
27
50
-23
28
18
Levante
31
7
7
17
28
58
-30
28
19
Granada
31
4
12
15
20
56
-36
24
20
Córdoba


LIGI KUU ENGLAND
Jumamosi Aprili 18

17:00 Crystal Palace v West Brom
17:00 Everton v Burnley
17:00 Leicester v Swansea
17:00 Stoke v Southampton
19:30 Chelsea v Man United
Jumapili Aprili 19
15:30 Man City v West Ham
18:00 Newcastle v Tottenham

MSIMAMO ULIVYO KWA SASA: CHELSEA KILELENI.
English Premier League
#
Team
GP
W
D
L
GF
GA
GD
PTS
1
Chelsea
31
22
7
2
64
26
38
73
2
Arsenal
32
20
6
6
63
32
31
66
3
Man United
32
19
8
5
59
30
29
65
4
Man City
32
18
7
7
65
34
31
61
5
Liverpool
32
17
6
9
47
36
11
57
6
Southampton
32
17
5
10
44
22
22
56
7
Tottenham
32
16
6
10
50
46
4
54
8
Swansea City
32
13
8
11
38
40
-2
47
9
West Ham
32
11
10
11
42
40
2
43
10
Stoke City
32
12
7
13
36
40
-4
43
11
Crystal Palace
32
11
9
12
42
43
-1
42
12
Everton
32
9
11
12
40
43
-3
38
13
Newcastle
32
9
8
15
33
51
-18
35
14
West Brom
32
8
9
15
30
46
-16
33
15
Aston Villa
33
8
8
17
24
45
-21
32
16
Sunderland
32
5
14
13
25
48
-23
29
17
Hull City
32
6
10
16
29
45
-16
28
18
QPR
33
7
5
21
38
59
-21
26
19
Burnley FC
32
5
11
16
26
50
-24
26
20
Leicester City
31
6
7
18
32
51
-19
25
 


www.bukobasports.comFA CUP
Nusu Fainali
Mechi zote kuchezwa Wembley, London

Jumamosi Aprili 18
19:20 Reading v Arsenal
Jumapili Aprili 19
18:00 Aston Villa v Liverpool
Michezo yote ya FA CUP wikiendi hii kuchezewa kwenye Uwanja wa Wembley, London
Huko Uingereza, Mechi ya Nussu Fainali ya FA CUP ya Reading vs Arsenal itaonyeshwa na TV ya BBC1 na ile ya Ligi ya Chelsea vs Man United itarushwa na Sky Sports.
Kutokutenganishwa kwa muda wa kuanza Mechi hizi kumezua mjadala mkubwa huko England na Wadau mbalimbali kuponda uroho wa Makampuni ya TV katika ushindani wao.
Akiongelea kuhusu mgongano huo, Arsene Wenger, Meneja wa Arsenal, ameponda uamuzi wa kuzigonganisha Nusu Fainali ya FA CUP na Mechi kubwa ya Ligi.
Amesema: "Lazima wangefanya uamuzi. Hili halipaswi kutokea katika Nchi moja. Kombe kubwa la FA CUP linagonganishwa na Mechi kubwa ya Ligi!"


Mechi za Jumamosi za Nusu Fainali ya FA CUP na Bigi Mechi ya Ligi Kuu England ambazo zote zitachezwa Jijini London huko Uingereza zimezua tafrani kubwa baada ya kutokea mgonganoo kwa sababu tu ya matakwa ya Makampuni ya TV.
Jumamosi Uwanjani Wembley itachezwa Nusu Fainali ya Kombe kubwa na kongwe ya FA CUP kati ya Reading na Arsenal kuanzia Saa 1 na Dakika 20 Usiku kwa Saa za Bongo na Dakika 10 baadae huko Stamford Bridge itaanza Bigi Mechi ya Ligi Kuu England kati ya Chelsea na Manchester United.

Huko Uingereza, Mechi ya Nussu Fainali ya FA CUP ya Reading v Arsenal itaonyeshwa na TV ya BBC1 na ile ya Ligi ya Chelsea v Man United itarushwa na Sky Sports.Kutokutenganishwa kwa muda wa kuanza Mechi hizi kumezua mjadala mkubwa huko England na Wadau mbalimbali kuponda uroho wa Makampuni ya TV katika ushindani wao.
Akiongelea kuhusu mgongano huo, Arsene Wenger, Meneja wa Arsenal, ameponda uamuzi wa kuzigonganisha Nusu Fainali ya FA CUP na Mechi kubwa ya Ligi.
Amesema: "Lazima wangefanya uamuzi. Hili halipaswi kutokea katika Nchi moja. Kombe kubwa la FA CUP linagonganishwa na Mechi kubwa ya Ligi!"
Jack W. kwenye mazoezi
Kocha Arsene Wengerakiwacheki Vijana wake kwenye Mazoezi wakijiandaa dhidi ya Timu ya Reading kesho jumamosi usiku saa 1 na dakika 20.Mesut OzilHector BellerinAlexis Sanchez of Arsenal during a training session at London Colney Alexies SanchezWojciech Szczesny of Arsenal during a training session at London Colney
Kipa wa Arsenal Wojciech Szszesny

Laurent na Santi Cazorla
Jack Whilshere
Sant Cazorla

waliotembelea blog