Sunday, August 23, 2015


Klabu ya Chelsea  ya Uingereza ambayo hadi hivi sasa bado imewekeza nguvu nyingi za kusajili ili kuboresha kikosi chake na kulinda ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza ambao wenyewe ndio Mabingwa watetezi wa Kombe hilo, klabu ya Chelsea baada ya kumsajili Pedro August 22 ilithibitisha kumsajili kinda wa Kibrazil.
kenedy
Chelsea kupitia katika account yake ya twitter imethibitisha kumsajili kinda wa Kibrazili Kenedy aliyokuwa anaichezea klabu ya Fluminense ya kwao Brazil. Kenedy ambaye ana umri wa miaka 19 alikuwa ni sehemu ya timu ya Chelsea iliyosafiri na kwenda kuweka kambi Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu.
Kenedy alicheza mechi moja ya kirafiki kati ya Chelsea dhidi ya FC Barcelona, Washington katika maandalizi ya msimu mpya na August 22 ndio siku uhamisho wake ulipo kamilika.

Dakika 90 zimekamilika Ngoma kumalizika kwa 0-0!! Sasa mikwaju ya penati inafuata!

waliotembelea blog