Saturday, November 30, 2013

Soma Bango hilo, wafuasi wa CHADEMA jijini Arusha ,walioambatana na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Monduli Bw. Amani Salenga wakionyesha bango hilo kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) ,wakidai kuwa Mbunge Lema ndie chanzo cha vurugu kwenye Chama kwa kuanzisha kikundi cha vijana ambacho kimekuwa tishio kwa wale wanaojaribu kupingana na sera za Mbunge huyo. pia wamedai kuwa Arusha kwa sasa CHADEMA imegawanyika katika makundi mawili, amabyo ni CHADEMA ASILI na CHADEMA FAMILY.


MSANII filamu na muziki wa kizazi kipya wa Tanzania Baby Joseph Madaha maarufu kwa jina la (Baby Madaha) amesema kwamba msanii mwenzake wa muziki nchini,Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platinumz si msanii bali ni mfanyabiashara.
Madaha amesema kwamba Diamond si mwanamuziki na kwamwe huwezi kumlinganisha na msanii kama Barnaba Boy, anayefanya muziki kama sanaa na kazi kulingana na kipaji chake na kwamba Diamond si msanii wa muziki bali ni msanii ngono anayefanya biashara ya muziki kupitia mapenzi.


Baby madaha ambaye hivi sasa yuko nchini Kenya kwa shuguli za muziki amesema kwamba, Diamond hajui kuimba na ndiyo maana amekuwa msanii wa matukio huku nyota yake ikiegemea kwenye mapenzi na wasichana wenye majina makubwa hususn wasanii.
Akizungumza na kandili yetu katika mahojiano maalum leo baby Madaha alisema kwamba, “Binafsi niliposikia kwamba Diamond anaumiza kichwa kunasa penzi la msanii Elizabeth Michael maarufu kwa jina la (Lulu) sikushangaa hata kidogo. kwa sababu nilitambua kwamba soko lake la muziki limeanza kushuka hivyo lazima atafute eneo lingine la kujiimarisha kibiashara, ili jina lake liendelee kuwika”.

“Siku wanawake maarufu nchini Tanzania watakapo jitambua na kuacha kulewa penzi la Diamond ndiyo itakayokuwa mwisho wa maisha yake kimuziki,kwa sababu hatakuwa na jipya na hivyo soko lake litaanza kuporomoka”alifafanua Baby Madaha.




A tycoon has been accused of forcing a woman to perform oral séx on him and telling her there is nothing she can do about it because he has a lot of money.

32-year-old British Billionaire, Gregory Charles Cox faces two charges of séxual intercourse without consent with a 21-year-old tourist on the iconic Bondi Beach in Sydney, Australia.

During the assault, Cox reportedly told the victim: ‘You can tell the police, you can tell whoever you like but this will never go anywhere – I’ve got a lot of money.’

Court records have revealed that the pair then went to the beach after many hours drinking together when she remembers Cox sitting against a concrete wall while she had her back to the ocean.

‘She recalls being on her knees, trying to stand up but not being able to.

‘She recalls being held down, she recalls crying and being terrified’ - it was revealed in court.

In his opening address to the jury in May, prosecutor said: ‘She recalls being on her knees and she tried to stand up but being unable to stand up because something was holding her down. She recalls being terrified at that point.’

Cox is then said to have forced her to perform a séx act on him.

Afterwards she cried and hit Cox on the thighs as she told him: ‘Please stop, please stop – I don’t want this.’

Her cries for help were later heard by a young couple and she was taken to a police station, where officers described her as being ‘distressed, shivering and crying’.

Police were also said to have heard her say: ‘He told me over and over again that he had a lot of money.’

Cox, who founded the Manchester-based Quintessential Finance Group, was also on holiday in Australia when the alleged attack took place in January last year.


Few hours ago,nchi yangu Tanzania imepata bahati
 nyingine tena ya kutembelewa na ,kombe la dunia atakalo
 pewa mbabe wa kabumbu Duniani ,ni kombe linaloheshimika 
 sana duniani kote..Hafla ya kulipokea
imefanyika usiku
 huu ndani ya viwanja vya hotel ya
 Serena jijini Dar ,na
 mimi kama barozi wa Coca cola nilikuwepo na nilipangwa
 kama mmoja ya wasanii wa Kitanzania tuliotumbuiza
angalia picha chache hapa........




                              

                                    

                                                         
                                                    




                                                    
                                               


                                               
                                    
                                                                     

waliotembelea blog