Friday, March 27, 2015


Kipindi cha kwanza Dakika ya 7 anaipachikia bao la kwanza England. Dakika ya 45 Danny Welbeck aliwapa ba la pili England na kufanya 2-0 na kwenda Mapunziko England ikiongoza kwa bao hizo za Rooney na D. Welbeck. Kipindi cha pili dakika ya 58
Raheem Sterling aliwafungia England bao la tatu na kufanya 3-0 dhidi ya Lithuania.

Harry Kane aliyeingia kipindi cha pili dakika ya 71 kuchukua nafasi ya Kepteni Wayne Rooney aliwafungia bao ndani ya muda mchache kama dakika mbili baada ya kukanyaga nyasi za Uwanja huo,  Bao la kichwa  la nne dakika ya 73 tu na kufanya 4-0 na mtanange kumalizika dakika 90 kwa bao hizo nne.
VIKOSI:
England:
Hart, Clyne, Cahill, Jones, Baines, Henderson, Carrick, Delph, Sterling, Welbeck, Rooney.
Akiba: Butland, Smalling, Walcott, Jagielka, Milner, Townsend, Kane, Mason, Barkley, Gibbs, Walker, Green.

Lithuania: Arlauskis, Freidgeimas, Kijanskas, Mikuckis, Zaliukas, Andriuskevicius, Zulpa, Mikoliunas, Chvedukas, Cernych, Matulevicius.
Akiba: Zubas, Vicius, Vaitkunas, Sirgedas, Kazlauskas, Luksa, Beniusis, Slavickas, Panka, Stankevicius, Borovskij, Cerniauskas.
Refa: Pavel Kralovec

Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam jana (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya tamasha hilo litakalofanyika Aprili 5, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi, Jimmy Charles. (Picha na Francis Dande)
Msama akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya tamasha hilo.

Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Jimmy Charles akifafanua jambo.
********************
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Pasaka litakalofanyika Aprili 5 mwaka huu jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama alisema maandalizi ya tamasha hilo yamekamilika kwa asilimia 97 hivyo amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi siku hiyo.
Alisema wameshakamilisha maandalizi ya tamasha hilo, ila kinachosubiriwa ni waimbaji wa kimataifa Ephraim Sekeleti wa Zambia, Ifeanyi Kelechi kutoka Uingereza, Rebeca Malope na Thori Mahlangu wote kutoka Afrika Kusini pamoja na Faustine Munishi ‘Malebo’ kuanza kuwasili nchini.


Bondia Wang Xin Hua kutoka China 'kushoto'  wakitunishiana misuli na Mohamed Matumla baada ya kupima uzito Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wao leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee
Bondia Wang Xin Hua kutoka China 'kushoto'  wakitazamana kwa usongo  na Mohamed Matumla baada ya kupima uzito Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wao leo katika ukumbi wa Diamond jubilee katikati ni Jay Msangi Promota
Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi 'Jiwe Gumu' katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Mfaume Mfaume kushoto na Cosmas Cheka baada ya kupima uzito jana kwa ajili ya mpambano wao wa leo

Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi 'Jiwe Gumu' katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Bondia Wang Xin Hua kutoka China 'kushoto'  na Mohamedi Matumla
 baada ya kupima uzito jana kwa ajili ya mpambano wao wa leo
Mabondia Japhet Kaseba (Kushoto) akitunishiana msuli na Mada Maugo baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa leo Ijumaa katika ukumbi wa Diamond

www.bukobasports.comChelsea have announced that club captain John Terry has signed a one-year contract extension to keep him at the club until the end of the 2015-16 season.
Terry, 34, had been on a deal at Stamford Bridge that was due to run out at the end of the current campaign, with the defender's future the subject of much speculation.
However, Blues boss Jose Mourinho confirmed after his side's Capital One Cup triumph earlier this month that Terry would be at the club next season, and the Premier League leaders have now secured the centre-back's services for another year.

Chelsea captain John Terry has signed a new contract keeping him at the club until the end of next season
The Blues centre back has signed a new contract worth £150,000 - the same terms as his previous deal
The Blues centre back has signed a new contract worth £150,000 - the same terms as his previous deal
Terry has made 661 appearances for Chelsea in an illustrious 17-year career at Stamford Bridge
Terry has made 661 appearances for Chelsea in an illustrious 17-year career at Stamford Bridge
Terry has won 13 major honours at Stamford Bridge since making his debut at the club in 1998
Terry has won 13 major honours at Stamford Bridge since making his debut at the club in 1998
The 34-year-old will be hoping to add to that tally of silverware with the Premier League title this season
The 34-year-old will be hoping to add to that tally of silverware with the Premier League title this season
Chelsea boss Jose Mourinho (left) celebrates winning the Capital One Cup earlier this month with Terry
Chelsea boss Jose Mourinho (left) celebrates winning the Capital One Cup earlier this month with Terry

waliotembelea blog