Monday, July 6, 2015


Wachezaji wa Liverpool wakiwa mazoezini leo hiiDejan na Lickie Lambert wakipasha
Jordan Henderson
Liverpool back trainingNathaniel Clyne kazini leo Liverpool
Raheem SterlingJoe Gomez nae ndani mazoezini


Wayne RooneyWayne Rooney kwenye gari akiingia mazoezini CarringtonMemphis DepayDepayRobin Van PersieDaley BlindWayne RooneyMichael Carrick na kipa Anders LindegaardRobin Van Persie


BONDIA Floyd Mayweather amepokonywa mkanda wa WBO uzito wa Welter alioshinda dhidi ya Manny Pacquiao- na Anthony Mundine ameomba kuzichapa naye Septemba.
Mayweather alishindwa kulipa wakati Ijumaa dola za KImarekani 200,000 ambayo ni ada ya mkanda kwa WBO na Kamati imeamua kumvua taji hilo mbabe huyo mwenye umri wa miaka 38. Inamaanisha Timothy Bradley JR anatarajiwa kuvikwa mkanda huo baada ya kumshinda kwa utata Jessie Vargas mwezi uliopita.
Mayweather bado ana siku 14 za kukata rufaa, ingawa uamuzi hautarajiwi kubadilishwa.

Floyd Mayweather (kushoto) amevuliwa mkanda wa WBO alioupata kwa kumshinda Manny Pacquiao

"Kamati ya ubingwa wa dunia ya WBO imeona hakuna namna nyingine zaidi ya kuendelea kumtambua Floyd Mayweather Jr. kama bingwa wa WBO uzito wa Welter duniani na kumvua mkanda kwa kushindwa kutimiza raratibu za mapambano ya ubingwa wa dunia wa WBO," imesema WBO Jumatatu.
Mayweather bado ni bingwa wa uzito wa Welter ma Super Welter wa WBC na WBA, ingawa mabondia hawaruhusiwi kushikilia mataji ya uzito tofauti.
Mayweather anatarajiwa kurejea ulingoni kwa mara ya 49 ambalo linaweza kuwa pambano lake la mwisho Septemba na Mundine – mshindani mkuu wa WBC katika uzito wa Super-Welter amemuandikia barua ya wazi bondia huyo kuomba awe mpinzani wake afuataye. 
MSHAMBULIAJI Memphis Depay amejiunga na wachezaji wenzake wa Manchester United kwa mara yaa kwanza tangu asajiliwe kwa Pauni Milioni 25 kutoka PSV.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 alikuwa sura mpya pekee viwanja vya Carrington jana wakati kikosi cha Louis van Gaal kiliporejea mazoezini kabla ya ziara ya Amerika kujiandaa na msimu mpya.
Depay alipigwa picha akiwa amevalia jezi namba 26 ambayo atakuwa anitumia United na inatarajiwa mashabiki hawatajali hilo zaidi ya kile atakachokifanya uwanjani.
Memphis Depay (wa pili kulia), akiwa mazoezini na wachezaji wenzake Man United, Wayne Rooney (kushoto), Phil Jones (kulia) na Michael

Depay trained for the first time as a Manchester United player
Depay was among the first team for the squad's return to pre-season training


KLABU ya Barcelona imefikia maubaliano na Atletico Madrid juu ya kumsajili kiungo Arda Turan kwa Pauni Milioni 29. 
Winga huyo mwenye umri wa miaka 28 alizivutia pia Chelsea na Manchester United, lakini Barcelona imeshinda mbio za kuwania saini yake. 
Barcelona italipa Pauni Milioni 24 mbele na nyingine Pauni Milioni 5 zitalipwa baadaye kufuatia mwanasoka huyo wa kimataifa wa Uturuki kusaini Mkataba wa miaka mitano.

Barcelona imeposti picha hii ya 'kubumba' ya Arda Turan akiwa na jezi ya klabu hiyo baada ya kutangaza kumsajili

Turan jetted off to meet his agent Ahmet Bulut as Barcelona last week as clubs battled for his signature


Chelsea were interested in signing Turan but he will now move to Spanish champions Barcelona

KIUNGO James Milner ametambulishwa kama mchezaji wa Liverpool leo na kusema kiu yake ni kushinda mataji na Medali kibao akicheza dimba la kati Anfield.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa England amesema anataka kuendeleza desturi ya kuinua mataji kama ilivyokuwa Manchester City baada ya kupata nafasi ya kufanya kazi na kocha Brendan Rodgers.
Ingawa hakusema moja kwa moja kuhusu Steven Gerrard baada ya kukabidhiwa jezi namba 7, Milner alisema pengo lililoachwa na gwiji wa Liverpool halitasumbua.
James Milner ametambulishwa leo Liverpool na kusema anataka kushinda mataji na Medali Anfield
James Milner has taken the No 7 shirt at Liverpool 

Milner said he hopes to show his best form straight away in a Liverpool shirt when the season begins
Milner said the appeal of regular football in central midfield at Liverpool was too good an offer to turn down



MKONGWE Andrea Pirlo ameondoka rasmi Juventus kuhamia New York City, klabu zote zimethibitisha.
Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Italia amecheza kwa miaka minne Juve ikiwa Serie A, na sasa ataungana na kiungo mwenzake mkongwe wa England, Frank Lampard timu hiyo ya Ligi Kuu Marekani, maarufu kama Major League Soccer itakayoanza Julai 21.
Pirlo anayetarajiwa kusaini Mkataba wa miezi 18, ameiambia tovuti ya klabu hiyo: "Nimekuwa nikihitaji uzoefu huu kwa muda mrefu na sasa fursa hii imekuja nataka kuichukua,"amesema. 
Andrea Pirlo ameondoka rasmi Juventus kuhamia New York City na klabu hiyo ya MLS imeposti picha katika tovuti yake
Pirlo will link up in midfield with new team-mate Frank Lampard in Major League Soccer from July 21

 
 
 
Pirlo poses in his new kit
Pirlo was at Yankee Stadium to watch New York City lose in their derby against Red Bulls last week
The Italian World Cup winner (centre) has completed a deal to join the Major League Soccer franchise
 
 


MGANDA aliyeifunga mabao mawili Tanzania ikilala 3-0 katika mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza kufuzu CHAN ya mwakani, Erisa Sekisambu amechukua nafasi ya John Raphael Bocco klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.
Azam FC ilikubali kumuuza mshambuliaji wake John Raphael Bocco ‘Adebayor’ kwa dola za Kimarekani 80,000 zaidi ya Sh. Milioni 160,000 za Tanzania kwa klabu ya Free State Stars, lakini mchezaji huyo ‘akazingua’.
Mrisho Khalfan Ngassa aliyesajiliwa na Free State Mei mwaka huu kutoka Yanga SC, ndiye aliyemuunganishia Bocco dili la kujiunga na timu hiyo ya Ligi Kuu ya ABSA.
Mazungumzo baina ya FS na Bocco yalifanyika vizuri na mshambuliaji wa Tanzania mwishowe akawaambia Azam FC; “Ninabaki hapa hapa, siendi popote, mimi bado”.
Sekisambu kulia akiwa na Mrisho Ngassa kwenye la FS kwa safari la Johannesburg kuweka kambi
Wachezaji wa FS walisimama kidogo 'kuchimba dawa' wakiwa njiani kuelekea Johannesburg
Mrisho Ngassa aliingia dukani kununua mahitaji madogo madogo ya kambini wakiwa njiani kuelekea Johannesburg 

FS ilimpa mshahara mzuri Bocco, mara mbili ya ule anaopata Azam FC kwa sasa, lakini haikutosha kumshawishi mshambuliaji mrefu ahamie Bethlehem, ndipo ikaamua kuhamia kwa Sekisambu aliyechangamkia dili ‘chap chap’.
Tayari Sekisambu yupo kambini na FS katika hoteli ya Lake View mjini Johannesburg kujiandaa na Ligi Kuu ya Afrika Kusini, inayotarajiwa kuanza Agosti 8, mwaka huu.
Timu hiyo ya kocha Mmalawi, Patrick Phiri inatarajiwa kuanza na Black Aces, wakati mechi ya pili watacheza na mabingwa watetezi, Kaizer Chiefs. Mechi ya kwanza, Kaizer wataanza kutetea taji lao dhidi ya Chippa United Agosti 8.
Kwa mujibu wa ratiba ya msimu wa PSL wa 2015-16, Mamelodi Sundowns wataanza na Platinum Stars, Orlando Pirates na SuperSport United, wakati timu mbili zilizopanda msimu huu, Golden Arrows na Jomo Cosmos watakuwa nyumbani na University ya Pretoria na ugenini na Maritzburg United.
Sekisambu anayetokea SC Villa ya kwao, ametua kwa bei rahisi Bethlehem na mshahara nafuu kuliko ambao FS ingetoa kwa Bocco. 
Tanzania, Taifa Stars baada ya kufungwa 3-0 na Uganda Zanzibar ilimfukuza aliyekuwa kocha wake Mholanzi, Mart Nooij na timu hiyo kukabidhiwa kwa mzalendo, Charles Boniface Mkwasa ambaye alikwenda kutoa sare ya 1-1 na Uganda katika mchezo wa marudiano mjini Kampala.
John Bocco amekataa kujiunga na FS, nafasi ambayo imechukuliwa na Mganda Sekisambu

Robin van Persie was back in Cheshire as he prepares to return to training after his summer break

Van Persie's agent has played down speculation that he is on the verge of leaving Manchester United

The Dutchman was out and about in the leafy suburb on Sunday evening after a meal with his family

Van Persie will return to training at Carrington with the rest of the United squad on Monday morning



cha
Marekani imefanikiwa kuitandika timu ya Japan mabao 5-2 katika fainali ya michuano ya kombe la duniani na kufanikiwa kutawazwa mabingwa wapya.
Katika mchezo huo Marekani ilifanikiwa kutawala mchezo kwa muda wote kwani ndani ya dakika 15 tayari wailikua wameshafunga mabao 4 na kuwachanganya zaidi wapinzani wao.
Hapa nimekuwekea pichaz wakati wakishangilia ushindi huo hapa jana.
MADEMU2
MADEM3
MADEM4
MADEM6
MADEM7
MADEM8
kisi
MADEM9
MADEM10
Rais wao Barack Obama hakuwaacha hivi hivi…

waliotembelea blog