Monday, July 6, 2015



cha
Marekani imefanikiwa kuitandika timu ya Japan mabao 5-2 katika fainali ya michuano ya kombe la duniani na kufanikiwa kutawazwa mabingwa wapya.
Katika mchezo huo Marekani ilifanikiwa kutawala mchezo kwa muda wote kwani ndani ya dakika 15 tayari wailikua wameshafunga mabao 4 na kuwachanganya zaidi wapinzani wao.
Hapa nimekuwekea pichaz wakati wakishangilia ushindi huo hapa jana.
MADEMU2
MADEM3
MADEM4
MADEM6
MADEM7
MADEM8
kisi
MADEM9
MADEM10
Rais wao Barack Obama hakuwaacha hivi hivi…

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog