Monday, July 6, 2015


KLABU ya Barcelona imefikia maubaliano na Atletico Madrid juu ya kumsajili kiungo Arda Turan kwa Pauni Milioni 29. 
Winga huyo mwenye umri wa miaka 28 alizivutia pia Chelsea na Manchester United, lakini Barcelona imeshinda mbio za kuwania saini yake. 
Barcelona italipa Pauni Milioni 24 mbele na nyingine Pauni Milioni 5 zitalipwa baadaye kufuatia mwanasoka huyo wa kimataifa wa Uturuki kusaini Mkataba wa miaka mitano.

Barcelona imeposti picha hii ya 'kubumba' ya Arda Turan akiwa na jezi ya klabu hiyo baada ya kutangaza kumsajili

Turan jetted off to meet his agent Ahmet Bulut as Barcelona last week as clubs battled for his signature


Chelsea were interested in signing Turan but he will now move to Spanish champions Barcelona

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog