Thursday, April 27, 2017


Maruane Fellaini ameondeshwa kadi nyekundu baada ya kumpiga kichwa mchezaji wa City Kun Aguero huku akiwa na kadi ya njano kipindi cha pili. Pia mchezo huo uliomalizika bila ya kufungana kwa kutoka 0-0 umekuwa ni afueni kwa Man United kwa kuendeleza mechi nyingi bila kufungwa msimu huu. Na huku wakionekana kupanda kujihakikishia kuwa kwenye nafasi ya kugombea nafasi ya nne bora ili kucheza Klabu Bingwa msimu ujao. Man City v Man Utd, EPL MANCHESTER DERBY LIVE scoreVIKOSI: 
MAN CITY: Bravo, Zabaleta, Kompany (C), Otamendi, Kolarov, Fernandinho, Yaya Toure, Sterling, De Bruyne, Sane, Aguero
Akiba:
Caballero, Sagna, Fernando, Navas, Clichy, Gabriel Jesus, A. Garcia

MAN UNITED: De Gea, Valencia, Blind, Bailly, Darmian, Carrick, Herrera, Fellaini, Mkhitaryan, Martial, Rashford.
Akiba: Romero, Shaw, Fosu-Mensah, Tuanzebe, Young, Lingard, Rooney



waliotembelea blog