Saturday, November 23, 2013

20no13-tpm-a-tunis 5438 13850511431 fa313
TP Mazembe tayati imetua mjini Tunis, Tunisia kwa ajili ya Fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji Sfaxien kesho ikiwa na washambuliaji wawili wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta na Thomas Emanuel Ulimwengu. Ulimwengu na Samatta waliicheza Tanzania, Taifa Stars Jumanne mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe ulioisha kwa sare ya bila kufungana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na baada ya mechi wakaenda kuungana na klabu yao iliyokuwa kambini GhanaBaada ya wiki moja ya kambi yake Lizzy Sports Complex mjini Accra, Mazembe iliondoka Jumatano asubuhi na kutua jioni Tunis. Baada ya safari ya saa nne (4) na dakika 45 kwenye ndege, waliwasili Uwanja wa ndege wa Carthage mjini Tuni
Baada ya kuwasili, Robert Kidiaba na Cheibane Traore pamoja na kocha Patrice Carteron walijibu maswali ya Waandishi wa Habari wa Tunisia kabla ya timu kwenda kupumzika hotelini kwa dakika 30 kisha kwenda kufanya mazoezi.


Sfaxien, timu pekee iliyoshinda Kombe la Shirikisho mara mbili tangu kutambulishwa kwa mfumo mpya mwaka 2004, maskani yake ipo katika mji uliozungukwa na bahari ya Mediterranean, Sfax.


Mechi ya marudiano itachezwa mjini Lubumbashi, DRC Jumamosi ijayo, ya Novemba 30 na mshindi atajinyakulia kitita cha dola za Kimarekani, 625 000 wakati mshindi wa pili atapata dola 432 000.

Mshindi pia atamenyana na mabingwa wa Ligi ya Mabingwa, Al Ahly ya Misri kuwania taji la Super Cup mechi itakayopigwa nchini Misri Februari 2014. Chanzo: binzubeiry
WAKATI Manchester United inashinda mataji na heshima binafsi za wachezaji wanakuwepo pia.
Na mambo hayakuwa tofauti Uwanja wa Old Trafford siku ya Alhamisi usiku baada ya wachezaji na viongozi kuitikitia wito wa chakula cha usiku cha UNICEF.
Suited and booted: Manchester United players, including (from left to right) Ashley Young, Rio Ferdinand, Anderson, Wilfried Zaha and Shinji Kagawa attended the club's UNICEF event
Couples retreat: Anders Lindegaard and Misse Beqiri (left) and Robin Van Persie and wife Bouchra pose for photos at the gala dinner
Couples retreat: Anders Lindegaard and Misse Beqiri (left) and Robin Van Persie and wife Bouchra pose for photos at the gala dinner
Couples retreat: Anders Lindegaard and Misse Beqiri (left) and Robin Van Persie and wife Bouchra pose for photos at the gala dinner
Boss is here: David Moyes, who's fortunes are improving at Old Trafford, was also at the event
Boss is here: David Moyes, who's fortunes are 
improving at Old Trafford, was also at the event
Looking smart: Wayne Rooney, involved in both of England's friendly defeats, steps onto the red carpet
Looking smart: Wayne Rooney, involved in both of
 England's friendly defeats, steps onto the red carpet
England duo: Defender Phil Jones and his partner Kaya Hall (left) along with Tom Cleverley and his girlfriend Georgina Dorset (right) at the event
England duo: Defender Phil Jones and his partner Kaya Hall (left) along with Tom Cleverley and his girlfriend Georgina Dorset (right) at the event
England duo: Defender Phil Jones and his partner Kaya Hall (left)
 along with Tom Cleverley and his girlfriend Georgina Dorset (right) at the event
Troublesome twins: Full-backs Rafael (left) and Fabio Da Silva (right) stand side by side
Troublesome twins: Full-backs Rafael
 (left) and Fabio Da Silva (right) stand side by side
Stalwarts: Experienced defender Patrice Evra with wife Sandra (left) and Nemanja Vidic and wife Ana (right) turn out in style
Stalwarts: Experienced defender Patrice Evra with wife Sandra (left) and Nemanja Vidic and wife Ana (right) turn out in style
Stalwarts: Experienced defender Patrice Evra with wife Sandr
a (left) and Nemanja Vidic and wife Ana (right) turn out in style
Words of wisdom: Rio Ferdinand speaks to the audience at the bid-only event
Words of wisdom: Rio Ferdinand speaks
 to the audience at the bid-only event
v
Belgium brothers: Adnan Januzaj (left) 
and Marouane Fellaini (right) look like a slightly odd couple...
Strong pairing: Central midfielders Michael Carrick (left) and Darren Fletcher (right) pose with wives Lisa and Hayley
Strong pairing: Central midfielders Michael Carrick (left) and Darren Fletcher (right) pose with wives Lisa and Hayley
Strong pairing: Central midfielders Michael Carrick 
(left) and Darren Fletcher (right) pose with wives Lisa and Hayley
Club legend: It wouldn't be a club do without player-coach and iconic midfielder Ryan Giggs
Club legend: It wouldn't be a club do without 
player-coach and iconic midfielder Ryan Giggs
Mysterious man: Popstar Peter Andre (left) and United striker Daniel Welbeck in attendance
Mysterious man: Popstar Peter Andre (left) and United striker Daniel Welbeck in attendance
Mysterious man: Popstar Peter Andre (left)
 and United striker Daniel Welbeck (right) in attendance

Connection: Spanish speaking duo Javier Hernandez (left) and David De Gea (right) show their faces
Connection: Spanish speaking duo Javier Hernandez
 (left) and David De Gea (right) show their faces



Wanamuziki kutoka Nigeria, Paul Okoye wa kwanza kulia, akizungumza na waandishi wa habari (hawako pichani) kuhusu tamasha watakalolifanya kesho Jumamosi. Novemba 23 katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Peter Okoye ambao kwa pamoja wanaunda kundi la P Square, wakiwa na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twisa ambao ni wadhamini wa wasanii hao pamoja na Lady Jay Dee mmoja wa wasanii watakaowasindikiza jukwaani wasanii hao.



Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation, Yesaya Mwakifulefule akipeana mkono na wasanii, Peter na Paul Okoye, maarufu kama P Square wakati walipowasili kwenda kutoa msaada katika kituo cha watoto wenye ulemavu wa usonji “Autism” (utindio wa ubongo) cha Msimbazi Mseto, jijini Dar es Salaam. 



MSANII Peter Okoye akimuweka vizuri katika bembea mmoja wa wanafunzi wenye ulemavu wa usonji katika shule ya Msimbazi Mseto jijini Dar es Salaam. Wa kwa nza kutoka kushoto ni mwalimu Mkuu wa shule hiyo Reuben Gadi na Mjumbe wa bodi ya shule hiyo Mtumwa Nindi, na wa kwanza kulia ni mfanyakazi wa Vodacom Tanzania Precious Hughes ambao ni wadhamini waliofanikisha wasanii hao kutua nchini.



Wasanii wa kundi la P Square (Peter na Paul Okoye) katikati wakimsikiliza Mtoto mwenye ulemavu wa Usonji, Erick wa shule ya msimbazi Mseto walipokwenda kushiriki kutoa msaada kwa kituo cha watoto hao. Wa kwanza kushoto ni mwalimu mkuu wa shule hiyo Reuben Gadi na kulia ni Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation, Yesaya Mwakifulefule pamoja na wafanyakazi wengine wa kampuni hiyo. 



Wasanii wa kundi la P Square wakikabidhi misaada mbalimbali kwa watoto wenye ulemavu wa usonji wa kituo cha Msimbazi Mseto cha jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation, Yesaya Mwakifulefule akishuhudia makabidhiano hayo, na katikati ni walimu wa shule hiyo wakipokea kwa pamoja misaada hiyo. 

Wasanii Peter na Paul Okoye Maarufu kama P square wakiwa pamoja na Mkuu wa Kitengo cha huduma za jamii Vodacom Foundation, Yessaya Mwakifulefule wakicheza pamoja na watoto wenye ulemavu wa usonji wa shule ya msingi ya Msimbazi mseto, wakati waliposhiriki kutoa msaada katika shule hicho kwa watoto hao wenye mahitaji maalum.
***********************************************************
· Waomba kuwapa ushirikiano wasanii wa muziki nchini
· Kufanya onesho kwa masaa mawili mfululizo
· Washiriki katika shughuli za kijamii

Baada ya kuwasili nchini usiku wa jana wanamuziki mapacha Peter na Paul Okoye maarufu kama “P – Square” wametoa wito kwa vyombo vya habari nchini kuwasaidia wasanii wandani na kuwa chachu ya mafanikio ya muziki kama vilivyo vyombo vya nchi nyingine, huku wakiahidi kufanya makubwa katika Shoo yao ya siku ya leo kwa mashabiki wao watakaojitokeza katika Viwanja vya Leaders Club.
Wakizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika hotel ya Hyatt jijini Dar wasanii hao wamesema wamefurahishwa na mapokezi waliyoyapata kutoka kwa jamii ya Watanzania na waandaaji wa Tamasha hilo na kuahidi burudani ya kipekee kwa Watanzania.
Peter Okoye ambaye ni mdogo wake na Paul alisema, vyombo vya habari vina mchango mkubwa katika kuwajenga wasanii huku akitoa wito kwa vyombo hivyo kuwa kichocheo cha kuwajenga wasanii na sio kuwabomoa.
“Vyombo vya nchini kwetu vimetufikisha hapa tulipo wamejitahidi kutujenga na kutusaidia kusikika Afrika nzima., Tutaona fahari kama vyombo vya hapa nchini pia vitajenga uwezo wa kuwasaidia wasanii wa ndani nao waweze kufika au hata kuzidi hapa tulipo, Tutafurahi siku tukiwaona wasanii kama kina Jay dee na Ben Pol wakija Nigeria kama sisi tulivyokuja nchini kwao, alisema Paul.
Paul Okoye ambaye ni kaka kwa Peter amesema “Tumefurahishwa sana na mapokezi tuliyoyapata tangu jana usiku hadi kufikia sasa, tumejisikia faraja kuwa katika nchi hii ya Tanzania watu wake ni wakarimu sana sifa hizi tumezisikia kwa watu mbalimbali na tumeshuhudia wenyewe tunawaahidi Mashabiki wetu kufanya Shoo ya uhakika., alisema Paul Okoye.
Kwa upande wa wadhamini wakuu wa Tamasha hilo Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa,alisema wamejisikia faraja kwa pamoja kufanikiwa kuwaleta wasanii hao ili watoe burudani kwa Watanzania na kuweza kushiriki katika shughuli mbalimbali za kijamii kama vile kutoa msada wa vyakula katika shule ya Msingi Msimbazi Mseto kwa kupitia mfuko wa kusaidia jamii wa Vodacom” Vodacom Foundation”. 
“Kwa upande wetu sisi kama waandaaji kila kitu kimekamilika kuanzia, masuala ya usalama na jukwaa vyote vimekamilika, Pamoja na mambo mengine tunatoa wito kwa Watanzania kuwai kufika maana onyesho litaanza saa 1 na kuwa sihii kuwa wastaarabu wakati wote wa Shoo hiyo na kujiepusha na vitendo vyovyote ambavyo vinaweza kusababisha uvunjifu wa amani.
Wasanii kutoka Bongo watakao toa burudani katika Tamasha hilo ni pamoja na wakongwe, Prof. Jay, Lady Jaydee, Jo Makini”mwamba wa kaskazini”pamoja na Ben Pol.
Wakati huo huo wasanii hao na kitengo cha huduma za jamii cha Vodacom Foundation wameshiriki katika kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watoto wenye ulemavu wa akili cha Msimbazi Mseto kilichopo jijini Dar es Salaam. Huku wakitoa wito kwa jamii ya Watanzania kuendelea kuwasaidia watu wote wasio na uwezo ili kujenga jamii yenye maisha sawa kwa wote.
Wanamuziki wa kundi la P-Square Peter na Paul baada ya kutua jijini Dar usiku wa kuamkia leo. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkrulu ambao ndio wadhamini wakuu wa onesho lao ambalo limeratibiwa na East Africa Radio na EATV.
 
 Hapa wakifanya mahojiano na kituo cha East Africa TV ambao ndio wenyeji wao.
Mahojiano na picha za hapa na pale zikiendelea.
Vijana wakielekea kupumzika tayari kwa kazi ya kesho






Ikiwa imebaki siku moja tu kabla ya show ya kihistoria inayosubiriwa na wengi kufanyika ndani ya viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam, tayari jukwaa litakalotumiwa na wasanii wanne kutoka hapa nyumbani na wale wakali wa kulishambulia jukwaa barani Afrika P~Square lipo katika maandalizi ya mwisho mwisho pamoja na kufunga mziki.
Jukwaa lina sehemu tatu za kupandia juu yaani ngazi na vijukwaa vidogo viwili kama winchi vilivyopo katikati ya stage. Imefungwa sound yenye mjumuiko wa spika zaidi ya sitini ambapo ufungaji wa sound unaendelea sambamba na kufunga stage ambayo inaweza kukamilika siku ya kesho.
Kumbuka kuwa wasanii watakao-perform jukwaa moja na P` Square ni Malkia wa Bongo fleva mwenye miaka kumi na tatu kwenye gemu Lady Jay Dee a.k.a Anaconda, King wa R&B Ben Paul, mwamba wa kaskazini Joh Makini na MC shupavu au Heavy weight Mc au Daddy Joseph Haule wa Mitulinga Mchawi wa Rhymes. Hii si ya kukosa kwasababu kwa mara ya kwanza utashuhudia show nzima ikidondoshwa kwa style ya kupiga live band.
Na hizi ni baadhi ya picha zikionesha jukwaa hilo likiwa liknaendelea kutengenezwa


Kundi la P-Square la nchini Nigeria ambalo huundwa na mapacha Peter na Paul Okoye, leo limekutana na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano uliopo katika hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro jijini Dar es Salaam kuzungumzia show yake ya Jumamosi hii Leaders Club.
IMG_7820
IMG_7825
Mkuu wa Masoko wa Vodacom Kelvin Twissa .
IMG_7839

Mkuu wa East Africa Radio, Nasser Kingu
P-Square wakiwa kwenye picha ya pamoja na wasanii wengine wakiwemo Profesa Jay, Ben Pol na Joh Makini P-Square wakiwa kwenye picha ya pamoja na wasanii wengine wakiwemo Profesa Jay, Ben Pol na Joh Makini
P-Square wakiongea na wasanii wa nyumbani baada ya kuwasiliana kwenye mkutano na waandishi wa habari
Peter Okoye akiongea na waandishi wa habariPeter Okoye
Peter Okoye (kulia) akisalimiana na Profesa Jay na Ben Pol
Ben Pol na Profesa Jay
IMG_7854
IMG_7835
IMG_7808
IMG_7804
IMG_7791
IMG_7790
IMG_7783
IMG_7789Source: BAZIRA

waliotembelea blog