Tuesday, June 23, 2015


Staa wa East Afrika Jose Chameleone amerudi kwenye headlines kwa mara nyingine na safari hii ameachia Video ya nyimbo yake mpaya ya inayoitwa ‘Bwerere’.
Katika video hiyo  iliyofanyika Uganda imefanyika chini ya mtayarishaji Nolton pamoja na George.

waliotembelea blog