Thursday, March 13, 2014


RVP and De Jong enjoying dinner together. (Instagram via @robinvanpersie)
Robin van Persie akiwa na kiungo wa Ac Milan, Nigel De Jong wiki hii kwenye chakula cha jioni. Tetesi zinasema kuwa Ac Milan wanamtaka RVP hivyo wanamtumia De Jong kumshawishi. 

Eric Cantona was arrested in London
Mshambualiji wa zamani wa Man utd, Eric Cantona akihojiwa na polisi kwa tuhuma za kumshambulia mtu mmoja jijini London. 
Nicked! Cantona steps into the police car after being arrested in north London
Cantona akipanda kwenye gari la polisi kuelekea kituoni kwa mahojiano zaidi 

More woe: Manchester City fans file through Newcastle airport after their flight was diverted
Washabiki wa Man city wakiwa kwenye airport ya Newcastle baada ya kutua kutoka Barcelona walipokwenda kuangalia mechi dhidi ya FC Barcelona. Ndege iliyowabeba washabiki hawa ililazimika kutua kwenye uwanja wa ndege wa Newcastle baada ya uwanja wa ndege wa Manchester kuwa na hali mbaya ya hewa. 
What is that? Samuel Eto'o was pictured wearing a leather shirt and a hat depicting a dog
Eto'o akiwa kwenye pozi la furaha baada ya mechi wikiendi iliyopita

Success: Erik is just 10 months old but may now get all the treatment he needs
Cristiano Ronaldo amejitolea kulipa matibabu yote ya mtoto Erik Ortiz Cruz mwenye matatizo ya ubongo. Mtoto huyu anatakiwa kufanyiwa upasuaji utakao gharimu paundi 50,240 pesa ambazo zilikuwa nyingi kwa wazazi wake, lakini Ronaldo baada ya kusikia jambo hili aliamua kujitolea. 
Money to a good cause: Erik Ortiz Cruz and his mother in hospital together
Erik Ortiz Cruz akiwa na mama yake 
Care: Erik was born with a neurological disorder and he desperately needed the operation
Promise: Ronaldo said that he would celebrate with children who have Leukaemia if he won the Ballon d'Or
High speed: Beckham rides a motorbike as part of filming for a new advert that took place in Rio
David Beckam akiwa anaendesha pikipiki jijini Rio nchini Brazil wakati akifanya tangazo 

Striker pose: Liverpool's Daniel Sturridge enjoyed his Sunday off in this all-white gear
Daniel Sturridge akiwa kwenye pozi nyumbani kwake baada ya kutoka mazoezini. Sturridge anategemewa kuongoza mashambulizi wikiendi hii kwenye game la Man utd vs Liverpool. 

Star day out: (from left to right) Dylan Hartley, Rio Ferdinand, Owen Farrell and Michael Carrick pose with the triple crown trophy after England's victory over Wales
Dylan Hartley, Rio Ferdinand, Owen Farrell na Michael Carrick akiwa kwenye picha ya pamoja baada ya England kushinda dhidi ya Wales kwenye rugby

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog