Sunday, January 26, 2014



Done deal: Mata signs for Manchester United for a club-record £37.1million from Chelsea 
 
Got our man: Moyes recognised that United fans had admired Mata for a long time now
 
Juan Mata amekamilisha Uhamisho wa Dau la Pauni Milioni 37.1 kutoka Chelsea kwenda Manchester United.
Jana Mata alipimwa Afya yake huko Manchester na kusaini Mkataba unaoaminika kuwa unamalizika Juni 2018.
Mata, Miaka 25, anatarajiwa kucheza Mechi yake ya kwanza hapo Jumanne Uwanjani Old Trafford na Cardiff City kwenye Mechi ya Ligi Kuu England.
Juanderful: Mata has joined Man United - can he save their season?


Mata anakuwa Mchezaji wa pili kusainiwa na Meneja David Moyes baada kumsaini Marouane Fellaini kutoka Everton Mwezi Septemba kwa Dau la Pauni Milioni 27.5.
The grand tour: Mata and Moyes had a chat after the playmaker disembarked his helicopter
Nusu Jioni, Saa za Tanzania.
 
 



Karibu sana Manchester United
 
 

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog