Wednesday, October 2, 2013

Dada akiwa amebebwa alipokuwa akivushwa kwa malipo kwenye dimbwi la maji ya mvua eneo la Magomeni Kagera, Dar es Salaam
Mbebaji akiwa amemwangusha dada huyo kwenye dimbwi
Dada akimkunja kijana aliyemdondosha kwenye dimbwi.
Wasamaria wema wakimsaidia dada kumtoa kwenye dimbwi

Dada akilia baada ya kuokolewa.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog