Monday, August 11, 2014



Mikel Arteta aliongoza Mtoko huo

Alex Oxlade-Chamberlain na Jack Wilshere wakiingia kwenye baa ya Novikov Bar.
Wachezaji wa Arsenal Arsenal Alexis Sanchez, Jack Wilshere, Mikel Arteta na wengine kibao walisherehekea Ushindi wa bao 3-0 dhidi ya Man City na kutwaa kombe la Community Shield.Wachezaji hao walionekana kwenye Ukumbi wa Bar wa Maraha huko Mayfair Novikov ukiwa ni Mtoka wa nguvu usiku huo wa Jana.
Alexis Sanchez, Mikel Arteta, Jack Wilshere, Alex Oxlade-Chamberlain, Wojciech Szczesny na wengine kibao walionekana katika Bar hiyo ya Novikov jana Jumapili.


Jembe jipya!! Alexis Sanchez

Sanchez akiwa na  girlfriend wake Laia Grassi kwenye Gari

Sanchez

Kipa Wojciech Szczesny na  girlfriend wake  Marina Luczenko

Szczesny na kipenzi chake jana usiku

Mr Arsenal: Arteta

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog