Sunday, April 19, 2015


Liverpool wakiongozwa na Nahodha wao Steven Gerrard ambae Leo ni kumbukumbu ya Siku yake ya Kuzaliwa, ndio waliotangulia kufunga kwa Bao la Dakika ya 30 la Philippe Coutinho aliepokea pasi ya Raheem Sterling lakini Dakika 6 baadae Straika wa Aston Villa Christian Benteke alisawazisha Bao hilo baada ya kuikamata pasi safi ya Fabian Delph.Kipindi cha pili dakika ya 54 Fabian Delph aliwafungia bao la pili Aston Villa na kufanya 2-1.
Coutinho dakika ya 30 anaipachikia bao la kuongoza Liverpool kwa kufanya 1-0 dhidi ya Aston Villa.Gerrard akipagawa bada ya kipigo hicho.Steven GerrardNi Homa ya kipigo cha Nusu Fainali WembleyChristian Benteke aliisawazishia bao Aston Villa kwa kufanya 1-1 katika kipindi hicho cha kwanza dakika ya 36.Christian Benteke celebrates after scoringChristian Benteke celebrates scoring their first goalChristian Benteke celebrates after scoringChristian Benteke celebrates Aston Villa's first goalChristian Benteke celebrates his equalising goalChristian Benteke scoresRaha ya kupata bao
Hadi Mapumziko Aston Villa 1 Liverpool 1
Kipindi cha Pili, Dakika ya 54, Fabian Delph alianzisha muvu safi na kumpa Benteke aliemsogezea Grealish aliemrudishia Fabian Delph na kupiga Bao la Pili safi na la ushindi.
Fainali ya FA CUP itachezwa Mei 30 Uwanja wa Wembley.
Philippe Coutinho celebrates with team mates after scoringPhilippe Coutinho celebrates after putting Liverpool aheadPhilippe Coutinho celebrates after scoring the first goalPhilippe Coutinho celebrates after scoring the first goalPhilippe Coutinho scores the first goalPhilippe Coutinho scores the first goal for LiverpoolPhilippe Coutinho shoots and scores past Shay Given

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog