Sunday, April 19, 2015


Luis Suárez(kulia) Akishangilia bao lake la dakika ya mapemaLuis Suárez leo kafanya maajabu kwa kuifungia Timu ya Barca bao ndani ya dakika 1 na kuipa bao la kuongoza 1-0 dhidi ya Valencia.
Dakika za majeruhi Lionel Messi alifunga bao lake la 400 na kufanya mchezo kumalizika kwa bao 2-0.2-0

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog