Monday, January 13, 2014

Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Newala, Mkoani Mtwara, wakiwemo watu wengine watatu wameuawa na wanaosadikiwa kuwa ni majambazi. Chanzo kutoka Radio One Stereo.

Tunaahidi kuwaletea taarifa za tukio hilo kadri tutakavyokuwa tunazipata.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog