Saturday, July 18, 2015


Anatakiwa Old Trafford
Manchester United kwa karibu sana wanafukuzia sahihi ya Fowadi  wa  Barcelona Pedro

 Arda Turan (katikati) na Gerard Pique wakati wa mzoezi

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho nae amekuwa akimwitaji mchezaji huyo Pedro anayeuzwa dau kama la
£22m

Kocha wa Man United  Louis van Gaal bado anaendelea kuwa bize kuboresha Kikosi chake.

Mchezaji wa zamani wa Timu ya  Bayern Munich Bastian Schweinsteiger na sasa Manchester United wakiwa kwenye mazoezi ambapo Kocha huyo ameamua kabla ya Msimu ujao kuanza kuboresha kikosi chake

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog