Thursday, July 17, 2014


Hands off: Juventus are keen on keeping hold of star midfielder Arturo Vidal (left)
Hang`oki: Juventus wamesema hawatamuuza Arturo Vidal (kushoto).

Imechapishwa Julai 16, 2014, saa 2:39 usiku

KIUNGO wa Juventus, Arturo Vidal hauzwi majira haya ya kiangazi, mkurugenzi mkuu wa klabu hiyo, Giuseppe Marotta amesisistiza.
 Marotta alikuwa anaongea jana mchana wakati Juventus alikuwa inamtangaza kocha mpya wa klabu hiyo,  Massimiliano Allegri kufuatia kuondoka kwa Antonio Conte. 
Kumakuwepo tetesi nyingi wiki za karibuni zikimhusisha nyota huyo kujiunga na  Manchester United.
Key target: Chile international Vidal had been on Louis van Gaal's summer wish-list
Kwenye rada: Mchezaji huyo wa kimataifa wa Chile, Vidal amekuwa katika rada za kocha wa Man United Louis van Gaal.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog