Thursday, July 17, 2014


Mwinyi Kazimoto Mwitula (kulia) akifanya vitu vyake kwenye moja ya mechi za Taifa Stars siku za nyuma

Na Boniface Wambura, Dar es salaam

Imechapishwa Julai 17, 2014, saa 8:27 mchana

Kikosi cha Taifa Stars kimerejea jijini Dar es Salaam leo kutoka Mbeya ambapo Jumapili (Julai 20 mwaka huu) kitapambana na Msumbiji (Mambas) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Benchi la Ufundi la Taifa Stars pamoja na wachezaji kesho (Julai 19 mwaka huu) saa 5 asubuhi watakuwa na mkutano na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Protea Courtyard iliyopo Upanga Seaview jijini Dar es Salaam.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog