Thursday, August 21, 2014

1408571118014_wps_1_epa04360280_Arsenal_s_Mik 
Majanga: Kiungo wa Arsenal, Mikel Arteta atakaa nje ya uwanja kwa mechi mbili zijazo.
HABARI mbaya kwa mashabiki wa Asernal, Mikel Arteta atakaa nje ya uwanja katika mechi mbili zijazo baada ya kupata majeruhi ya kifundo cha mguu wakati wa mechi ya mtoano ligi ya mabingwa barani Ulaya jumanne ya wiki hii dhidi ya Besiktas.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog