Thursday, August 21, 2014

 


Wachezaji wa Coastal Union wakiwa uwanja wa ndege Tanga wakipanda ndege kuelekea Pemba kwa ajili ya kuweka kambi ya Mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi kuu soka Tanzania bara, safari hiyo imedhaminiwa na wafadhili wa timu hiyo
kiwanda cha Unga mkoani Tanga Pembe..


.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog